BAKWATA yaishauri Serikali ifafanue mashaka katika Mkataba wa Uwekezaji wa bandari

BAKWATA yaishauri Serikali ifafanue mashaka katika Mkataba wa Uwekezaji wa bandari

Wafafanue mara ngapi? Serikali wametoa maelezo mengi sana. Alianza Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, akaja mwanasheria aliyehusika , juzi kaongea Mwanasheria Mkuu

Tatizo sio Serikali kufafanua, Tatizo ni watu wamejaa ujinga na kutaka kusikia yale wanayotaka kusikia tu! Kwenye hili hata Serikali wakimleta malaika afafanue hataeleweka.

Serikali ndo inajua shida iko wapi na wanataka kuitatua iyo shida! Wameshaanza kuchukua hatua sasa hawatakiwi kurudi nyuma.

Watanzania ni watu wa kushikiwa masikio na wanapenda maneno sana bila kazi , na wanasiasa pamoja na wapenda sifa wanalijua hili hivyo wanajua sana kuwaendesha.

Wao hawajui dunia inaendaje, hawatoki nje kuona nchi zinafanikiwaje ila wamekalia maneno maneno na ujinga tu.


Kwenye hili Serikali iendelee na utekelezaji wa makubaliano na sasa waanze majadiliano ya HGA ili tusonge mbele.

Dunia haitusubiri
Umeandika kama una busara, kumbe upimbi tu. Sijui watu wengine huwa mna shida gani.
 
TICTS walikuwepo bandarini kwa miaka 22....ulifafanuliwa ?!!!
Tofautisha 1990s na mwaka 2023!

Vizazi vya kijima vimeshakuwa phased out tuko kwenye information age. Yani hata kitendo cha Biden kujikwa huko marekani ni within minutes Africa nzima inajua.
 
Tofautisha 1990s na mwaka 2003!

Vizazi vya kijima vimeshakuwa phased out tuko kwenye information age. Yani hata kitendo cha Biden kujikwa huko marekani ni within minutes Africa nzima inajua.
Screenshot_20230629_140416_Instagram.jpg
 
Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
1. Makubaliano yawe ya muda wa miaka mingapi kwani kuna mradi gani kapewa DPA kwenye haya makubaliano?

2. Hoja zako namba 2 hadi 7 zipo kwenye kifungu kipi cha haya makubaliano?
 
Nchi zote wamewakataa DP World ila sisi viherehere ndio tunakumbatia huo mkataba ili watu flani wapige hela.

Magu alikataaga upuuzi wa aina hii ndio maana hata mikopo ya gharama nafuu walikuwa wanambania.
 
Kifungu kipi hakijafafanuliwa?

Mali ya Umma huo umma umeiendesha kwa ufanisi? Mmefanikiwa nini kwenye kuiendesha nyie umma hadi kuifaidisha nchi?
Wafafanue mara ngapi? Serikali wametoa maelezo mengi sana. Alianza Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, akaja mwanasheria aliyehusika , juzi kaongea Mwanasheria Mkuu

Tatizo sio Serikali kufafanua, Tatizo ni watu wamejaa ujinga na kutaka kusikia yale wanayotaka kusikia tu! Kwenye hili hata Serikali wakimleta malaika afafanue hataeleweka.

Serikali ndo inajua shida iko wapi na wanataka kuitatua iyo shida! Wameshaanza kuchukua hatua sasa hawatakiwi kurudi nyuma.

Watanzania ni watu wa kushikiwa masikio na wanapenda maneno sana bila kazi , na wanasiasa pamoja na wapenda sifa wanalijua hili hivyo wanajua sana kuwaendesha.

Wao hawajui dunia inaendaje, hawatoki nje kuona nchi zinafanikiwaje ila wamekalia maneno maneno na ujinga tu.


Kwenye hili Serikali iendelee na utekelezaji wa makubaliano na sasa waanze majadiliano ya HGA ili tusonge mbele.

Dunia haitusubiri
unaakili timamu kweli mpaka sasa waziri mkuu hasemi ukomo wa muda halafu bado unaendelea kukaza fuvu
 
Serikali inatakiwa ifafanue kifungu hadi kifungu kwenye huo mkataba sababu watu wengi wameusoma huo mkataba.
Kutoa matamshi ya jumlajumla tu hawataeleweka.
 
Wafafanue mara ngapi? Serikali wametoa maelezo mengi sana. Alianza Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, akaja mwanasheria aliyehusika , juzi kaongea Mwanasheria Mkuu

Tatizo sio Serikali kufafanua, Tatizo ni watu wamejaa ujinga na kutaka kusikia yale wanayotaka kusikia tu! Kwenye hili hata Serikali wakimleta malaika afafanue hataeleweka.

Serikali ndo inajua shida iko wapi na wanataka kuitatua iyo shida! Wameshaanza kuchukua hatua sasa hawatakiwi kurudi nyuma.

Watanzania ni watu wa kushikiwa masikio na wanapenda maneno sana bila kazi , na wanasiasa pamoja na wapenda sifa wanalijua hili hivyo wanajua sana kuwaendesha.

Wao hawajui dunia inaendaje, hawatoki nje kuona nchi zinafanikiwaje ila wamekalia maneno maneno na ujinga tu.


Kwenye hili Serikali iendelee na utekelezaji wa makubaliano na sasa waanze majadiliano ya HGA ili tusonge mbele.

Dunia haitusubiri

manyumbu wanataka kuwasikia viongozi wa chadema wanasema na mapadri na wachungaji na wao ndio wanamiminika mitandaoni kutukana na kukebehi ukimuuliza kuhusu mkataba hajui chochote. kwa taarifa yenu mkataba na Dp world utafanyika na hakuna wa kuizua kelele za chura hazimzuii simba kunywa water
 
Baraza la Waislamu Tanzania limeitaka Serikali kufafanua maeneo yanayotiliwa shaka kuhusu uwekezaji bandari.

Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Baraza la Waislamu Tanzania (Bakwata), Nuru Mruma ametoa wito kwa Serikali kupokea maoni ya wananchi kuhusu sakata la Bandari, huku akiitaka ifafanue maeneo yote yanayotiliwa shaka.

Hayo ameyasema leo Alhamis Juni 29, 2023 akihutubia Baraza la Eid El-Adh'haa lililofanyika katika Msikiti wa Mfalme Mohammed wa VI wa Morocco jijini hapa.

"Pia Serikali inapaswa kutoa elimu kwa wananchi ili waendelee kuuelewa mradi huu (uwekezaji bandari)," amesema.

Mruma amesema kubainika kwa mradi huo kuliibua mjadala na taharuki kwa wananchi ambao hawakuwahi kuwa na taarifa sahihi kuhusu mradi huo.

Mruma ameitaka Serikali kupokea maoni ya wananchi na kutoa ufafanuzi kwenye maeneo yote yanayotiliwa mashaka.

Hiyo ni kauli ya kwanza kutoka Bakwata tangu uanze mjadala baada ya Serikali kusaini mkataba wa awali wa ushirikiano wa uwekezaji na uboreshaji bandari na Serikali ya Dubai kupitia kampuni ya Dubai Port World.
Hongera BAKWATA kwa kuliona hilo mbarikiwe sana.
 
Back
Top Bottom