BAKWATA yaishauri Serikali ifafanue mashaka katika Mkataba wa Uwekezaji wa bandari

BAKWATA yaishauri Serikali ifafanue mashaka katika Mkataba wa Uwekezaji wa bandari

Kifungu kipi hakijafafanuliwa?

Mali ya Umma huo umma umeiendesha kwa ufanisi? Mmefanikiwa nini kwenye kuiendesha nyie umma hadi kuifaidisha nchi?
UMMA ni nini ? Na Nchi ni nini ? Nchi sio ya UMMA (Sasa kama kuna kitu hakinufaishi UMMA kinanufaisha vipi Nchi)?!!!!!

UMMA kuwa mmiliki mpaka uendeshe wenyewe au kumpa mtu mmoja monopoly ? UMMA unashindwa kutoa Lease fupi fupi kwa watu tofauti ? Au kuna Bandari ngapi, zote lazima ziende kwa mtu mmoja ?

Hakuna watanzania wenye HATI Miliki kuliko wenzao kama kuna kelele za watu ambao hawajaridhika issue ni kueleweshena na kuongea kwa Hoja na pale ambapo wanasema upande mmoja hapafai kubadilishwa ili pawe sawa...; Ukiwaziba midomo watu hata kama jambo ni zuri kiasi gani na litakupa pesa kiasi gani UFA unaoujenga sasa Gharama zake za Kuuziba haziwezi kuwa equated na Pesa....
 
Baraza la Waislamu Tanzania limeitaka Serikali kufafanua maeneo yanayotiliwa shaka kuhusu uwekezaji bandari.
Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Baraza la Waislamu Tanzania (Bakwata), Nuru Mruma ametoa wito kwa Serikali kupokea maoni ya wananchi kuhusu sakata la Bandari, huku akiitaka ifafanue maeneo yote yanayotiliwa shaka.


Hayo ameyasema leo Alhamis Juni 29, 2023 akihutubia Baraza la Eid El-Adh'haa lililofanyika katika Msikiti wa Mfalme Mohammed wa VI wa Morocco jijini hapa.

"Pia Serikali inapaswa kutoa elimu kwa wananchi ili waendelee kuuelewa mradi huu (uwekezaji bandari)," amesema.

Mruma amesema kubainika kwa mradi huo kuliibua mjadala na taharuki kwa wananchi ambao hawakuwahi kuwa na taarifa sahihi kuhusu mradi huo.

Mruma ameitaka Serikali kupokea maoni ya wananchi na kutoa ufafanuzi kwenye maeneo yote yanayotiliwa mashaka.

Hiyo ni kauli ya kwanza kutoka Bakwata tangu uanze mjadala baada ya Serikali kusaini mkataba wa awali wa ushirikiano wa uwekezaji na uboreshaji bandari na Serikali ya Dubai kupitia kampuni ya Dubai Port World.
Sasa wameungana na Catholics ili wasiwe irrelevant
 
Mama kilemba kapokelewa Dubai konyeshwa tabasabu na waarabu wamemtembeza tembeza dubai ..akalainika akawa anachokumbuka nikuanguka sahihi tu.
😂
Na alisaini mikataba mingi sana. Sasa najiuliza kama mkataba mmoja tu ndio uko hivi, je ile mingine ina hali gani? Naomba zoezi la uvujishaji mikataba liwe endelevu. Mikataba yote ya hovyo ingevuja tu, tujue tulivyouzwa 😂😂😂. Kazi kwenu kamati ya kuvujisha mikataba, naamini hamtatuangusha. 😂😂
Tunawaaminia wazee wakuvujisha 😂
 
Wafafanue mara ngapi? Serikali wametoa maelezo mengi sana. Alianza Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, akaja mwanasheria aliyehusika , juzi kaongea Mwanasheria Mkuu

Tatizo sio Serikali kufafanua, Tatizo ni watu wamejaa ujinga na kutaka kusikia yale wanayotaka kusikia tu! Kwenye hili hata Serikali wakimleta malaika afafanue hataeleweka.

Serikali ndo inajua shida iko wapi na wanataka kuitatua iyo shida! Wameshaanza kuchukua hatua sasa hawatakiwi kurudi nyuma.

Watanzania ni watu wa kushikiwa masikio na wanapenda maneno sana bila kazi , na wanasiasa pamoja na wapenda sifa wanalijua hili hivyo wanajua sana kuwaendesha.

Wao hawajui dunia inaendaje, hawatoki nje kuona nchi zinafanikiwaje ila wamekalia maneno maneno na ujinga tu.


Kwenye hili Serikali iendelee na utekelezaji wa makubaliano na sasa waanze majadiliano ya HGA ili tusonge mbele.

Dunia haitusubiri
Kazungumze na Bakwata wenzako!! Sisi wengine tumeupokea ushauri wao kwa mikono miwili.
 
Umechanganyikiwa ?!!! [emoji1787]

Punguza jazba...

TICTS walikuwepo pale bandarini kwa miaka 22...uliujua undani wa mkataba wao ?!![emoji1787]

Swiss Port wako pale airport...unaujua undani wa mkataba wao ?!!!

Karibu Al Kasus hapa Chokocho [emoji106]
Binafsi sababu jana sikujua wala sikutaka kuuliza unanizuia kesho kama nitataka kujua ?

Nyie ndio wale sababu kulikuwa na Utumwa miaka mingi mgesema Utumwa uendelee yaani Sababu Mwarabu alichukua watumwa hata kesho akija Mmatumbi tumuache sababu Mwarabu alifanya
 
Wapi FaizaFoxy unalolote la kusema
Huyo bint mkongwe atakwambia kwanza hao BAKWATA siyo chombo kinachotambulika na waislam ni koloni la serikali kuwanyonya waislam but wakati huo huo anai-support serikali inayowanyonya kupitia BAKWATA kwenye issue ya DP World kwa sababu hiyo DP ni ya waislam wenzake waarabu.
 
Waziri mkuu kasha fafanua vizuri sana, kumbe hatukujua tulikua tunapotoshwa tu, hu wekazaji ni mzuri kwa bandari zetu.
Upunguani na unafiki, nadhani ni mambo ya hovyo ambayo hakuna binafamu yeyote mwenye utimame angependa yamkumbe.

Pole sana. Yawezekana siyo mapenzi yako kuwa hivyo.

Wenye akili timamu wanajua kuwa Waziri Mkuu hajafafanua hata hoja moja kati ya zile zinazohojiwa.
 
BAKWATA wako Sahihi kutaka kujua maslahi mapana ya nchi...

Mh.Waziri Mkuu amewafafanulia vyema tu....

Tumeelewa ufafanuzi wake....

#SiempreJMT[emoji120]
 
Huyo bint mkongwe atakwambia kwanza hao BAKWATA siyo chombo kinachotambulika na waislam ni koloni la serikali kuwanyonya waislam but wakati huo huo anai-support serikali inayowanyonya kupitia BAKWATA kwenye issue ya DP World kwa sababu hiyo DP ni ya waislam wenzake waarabu.
BAKWATA ndilo baraza letu kuu....

Halitunyonyi bali linasimamia maslahi ya kiimani ya waislamu nchini......

Tanzania haijaingia mkataba na DPW kwa sababu ya kidini....kwani hawaji kutangaza dini bali maslahi ya kibiashara na kiuchumi.....

Hivi tunakwenda shule kusomea upumbavu?!!![emoji1787][emoji1787]
 
Wafafanue mara ngapi? Serikali wametoa maelezo mengi sana. Alianza Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, akaja mwanasheria aliyehusika , juzi kaongea Mwanasheria Mkuu

Tatizo sio Serikali kufafanua, Tatizo ni watu wamejaa ujinga na kutaka kusikia yale wanayotaka kusikia tu! Kwenye hili hata Serikali wakimleta malaika afafanue hataeleweka.

Serikali ndo inajua shida iko wapi na wanataka kuitatua iyo shida! Wameshaanza kuchukua hatua sasa hawatakiwi kurudi nyuma.

Watanzania ni watu wa kushikiwa masikio na wanapenda maneno sana bila kazi , na wanasiasa pamoja na wapenda sifa wanalijua hili hivyo wanajua sana kuwaendesha.

Wao hawajui dunia inaendaje, hawatoki nje kuona nchi zinafanikiwaje ila wamekalia maneno maneno na ujinga tu.


Kwenye hili Serikali iendelee na utekelezaji wa makubaliano na sasa waanze majadiliano ya HGA ili tusonge mbele.

Dunia haitusubiri
Hivi ukomo wa huo uwekezaji ni muda gani?
 
Nani akose usingizi?

Endelea kujifurahisha nyuma ya keyboard wakati wenzako wako kazini kuhakikisha nchi inafaidika kiuchumi
Sasa mbona kutwa kucha wako kwenye vipaza sauti wakitoa maelekezo uchwara ambayo watu hawataki kuyasikia. Wewe mwenyewe chawa hulali sembuse hao unaowatumikia!
 
Hivi kuna mtu muongo Tanzania hii kumzidi Majaliwa ambaye alidanganya Magufuli yuko ikulu kumbe mwili wake unapigwa baridi mortuary!
Dah ile ilikuwa kali ila maskini labda na yeye alikuwa hajui chochote kama sisi tu, si hata bwana chalamila alisema ameongea nae kwenye simu eti anawasalimia
 
Baraza la Waislamu Tanzania limeitaka Serikali kufafanua maeneo yanayotiliwa shaka kuhusu uwekezaji bandari.
Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Baraza la Waislamu Tanzania (Bakwata), Nuru Mruma ametoa wito kwa Serikali kupokea maoni ya wananchi kuhusu sakata la Bandari, huku akiitaka ifafanue maeneo yote yanayotiliwa shaka.


Hayo ameyasema leo Alhamis Juni 29, 2023 akihutubia Baraza la Eid El-Adh'haa lililofanyika katika Msikiti wa Mfalme Mohammed wa VI wa Morocco jijini hapa.

"Pia Serikali inapaswa kutoa elimu kwa wananchi ili waendelee kuuelewa mradi huu (uwekezaji bandari)," amesema.

Mruma amesema kubainika kwa mradi huo kuliibua mjadala na taharuki kwa wananchi ambao hawakuwahi kuwa na taarifa sahihi kuhusu mradi huo.

Mruma ameitaka Serikali kupokea maoni ya wananchi na kutoa ufafanuzi kwenye maeneo yote yanayotiliwa mashaka.

Hiyo ni kauli ya kwanza kutoka Bakwata tangu uanze mjadala baada ya Serikali kusaini mkataba wa awali wa ushirikiano wa uwekezaji na uboreshaji bandari na Serikali ya Dubai kupitia kampuni ya Dubai Port World.
Kwa niaba ya serikali anakuja Lord denning na Faizafoxy kutoa ufafanuzi!!
 
Wafafanue mara ngapi? Serikali wametoa maelezo mengi sana. Alianza Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, akaja mwanasheria aliyehusika , juzi kaongea Mwanasheria Mkuu

Tatizo sio Serikali kufafanua, Tatizo ni watu wamejaa ujinga na kutaka kusikia yale wanayotaka kusikia tu! Kwenye hili hata Serikali wakimleta malaika afafanue hataeleweka.

Serikali ndo inajua shida iko wapi na wanataka kuitatua iyo shida! Wameshaanza kuchukua hatua sasa hawatakiwi kurudi nyuma.

Watanzania ni watu wa kushikiwa masikio na wanapenda maneno sana bila kazi , na wanasiasa pamoja na wapenda sifa wanalijua hili hivyo wanajua sana kuwaendesha.

Wao hawajui dunia inaendaje, hawatoki nje kuona nchi zinafanikiwaje ila wamekalia maneno maneno na ujinga tu.


Kwenye hili Serikali iendelee na utekelezaji wa makubaliano na sasa waanze majadiliano ya HGA ili tusonge mbele.

Dunia haitusubiri

Mpaka sasa hawajafafanua chochote ni polojo ndio maana maswali bado yapo ,wmkuu wanajadili faida ,faida zinajulikana tatizo mambo ya mkataba ndio wamekwepa kufafanua vifungu vyenye utata mfano je dubai ni nchi adimfanye naye IGA
 
Sasa mbona kutwa kucha wako kwenye vipaza sauti wakitoa maelekezo uchwara ambayo watu hawataki kuyasikia. Wewe mwenyewe chawa hulali sembuse hao unaowatumikia!
Wanafanya kama sehemu ya demokrasia tu na wala haimaanishi kuwa wanakosa usingizi.
 
Mpaka sasa hawajafafanua chochote ni polojo ndio maana maswali bado yapo ,wmkuu wanajadili faida ,faida zinajulikana tatizo mambo ya mkataba ndio wamekwepa kufafanua vifungu vyenye utata mfano je dubai ni nchi adimfanye naye IGA
Umesoma hata Katiba ya Nchi za Falme ya Kiarabu?

Kwa mujibu wa Katiba ya United Arab Emirates nchi zinazounda umoja huo zinaweza kuingia mikataba na nchi nyingine. Muwe mnasoma wajinga nyie
Screenshot_20230629-140716_PDF Reader.jpg
 
Wafafanue mara ngapi? Serikali wametoa maelezo mengi sana. Alianza Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, akaja mwanasheria aliyehusika , juzi kaongea Mwanasheria Mkuu

Tatizo sio Serikali kufafanua, Tatizo ni watu wamejaa ujinga na kutaka kusikia yale wanayotaka kusikia tu! Kwenye hili hata Serikali wakimleta malaika afafanue hataeleweka.

Serikali ndo inajua shida iko wapi na wanataka kuitatua iyo shida! Wameshaanza kuchukua hatua sasa hawatakiwi kurudi nyuma.

Watanzania ni watu wa kushikiwa masikio na wanapenda maneno sana bila kazi , na wanasiasa pamoja na wapenda sifa wanalijua hili hivyo wanajua sana kuwaendesha.

Wao hawajui dunia inaendaje, hawatoki nje kuona nchi zinafanikiwaje ila wamekalia maneno maneno na ujinga tu.


Kwenye hili Serikali iendelee na utekelezaji wa makubaliano na sasa waanze majadiliano ya HGA ili tusonge mbele.

Dunia haitusubiri
Wewe chawa hamna ambaye hakujui muda mwengine mtulize akili sio kushabikia kila jambo la CCM tu alimradi.
 
Back
Top Bottom