Balaa jingine, Wataalamu wadai Gonorea halitibiki tena…..!

Balaa jingine, Wataalamu wadai Gonorea halitibiki tena…..!

Sio kwamba natoka nje ya mada...
hebu nieleze kuhusu Muarobaini, inadaiwa au niseme imethibitika kutibu malaria na maradhi mengine yapatayo 40, (hayumkini ndio maana ukaitwa muarobaini) mbona naambiwa dawa za malaria zinatokana na mmea wa cinchona (sijui kama niko sahihi, maana hizi habari ni za vijiwe vya kahawa) je Muarobaini umeshawahi kufanyiwa extract ili kupata component inayoweza kutibu japo maradhi ya aina mbili?
muarobaini una quinine ndani yake ambayo ni antimalaria, ila hii active component iko pamoja na toxic chemicals nyingine nyingi sana ndio maana huwa haruhusiwi mtu kuinywa kavu kavu ingawa huku mtaani watu hunywa tu bila kujua. kilichofanyika walinakili strucutre ya quinine kutoka kwenye mwarobaini na kutengeneza convetional compound at lab level na ndio inayotumiwa sasa.

kwasababu ya resistance ya hawa plasmodium basi imebidi iwepo combined formula ndio dawa mseto sasa yenye dawa 3 lkn na yenyewe bado ina changamoto kwenye bio-availability na metabolism so sasa natafitiwa kwa kuwekewa polymers kama nanoa carriers ili iweze kupelekwa kwenye target na zaid iweze ku cross blood - brain barrier na parasite barrier.pia kutarget ili kuweza kumuua plasmodium akiwa kwenye first life cycle yaani kwenye vector gut.
 
Mkuu Kiranga hebu fafanua kidogo hapo kwenye bold.

Bacteria wanafanya evolution, wana mutate kushindana na dawa, wanaoshindwa na dawa wanakufa, wanabakisha wenye tendency ya kushinda dawa, ambao nao vizazi vyao vinakuwa na nguvu zaidi ya kuzishinda dawa, mpaka wanatokea sugu kabisa ambao dawa haiwaui.

Kila mutation yenye uwezo mkubwa zaidi wa kuishinda dawa inakuwa na nafasi kubwa zaidi ya kuzaliana, baada ya muda dawa inakuwa haifanyi kazi inabidi kutafuta dawa mpya.

Evolution is more evident in bacteria because of their small sizes, it doesn't take millions of years to manifest itself, it take a couple of years, decades at best.
 
83113530.jpg


Hakuna anayependa kupata maradhi ya zinaa, lakini kama kwa bahati mbaya utapata ugonjwa kama Gonorea au Pangusa, magonjwa ambayo awali yalionekana kama yanayotibika kirahisi, hivi sasa wataalamu wa tiba huko kwa wenzetu wamethibitisha kwamba, maradhi hayo huenda ikawa ngumu kutibika kama ilivyodhaniwa.

Utafiti uliofanywa hivi karibuni huko nchini Marekani umebaini kwamba zile dawa zilizokuwa zikiaminiwa kwamba zinatibu magonjwa ya zinaa kama hayo niliyoyataja zimeonekana kushindwa kukabiliana na magonjwa hayo. Kwa mujibu wa wataalamu hao walisema kwamba huu ni wakati wa kuchukua tahadhari kabla ya hatari.

“Tishio hili sio la kubeza, kwani Gonorea ni gonjwa la pili linaloongoza nchini Marekani” Walisema wataalamu hao. Inadaiwa kwamba takriban watu 600,000 waliripotiwa kuugua ugonjwa huo kwa mwaka nchini Marekani na mojawapo ya athari walizopata watu waliougua ugonjwa huo ni matatizo katika mfumo wa uzazi, na kwa upande wa wanawake wataalamu hao walieleza kwamba, wanaweza kuwaambukiza watoto wao wakati wa kujifungua.

“Ni vyema hivi sasa watu wakachukua tahadhari ili kuepuka magonjwa hayo ya zinaa, kwani athari zake ni kubwa kuliko inavyodhaniwa” walisema wataalamu hao………….

Haya sasa, wale waliokuwa wakiona kuwa Ukimwi ni tishio, kimbembe kingine hiki hapa.

Someni hapa
:
http://www.nejm.org/doi/full/10.1056/NEJMp1112456

Naomba Mods msipeleke hii post Jukwaa la JF Doctor, kwani inahusika sana hapa MMU……..

bongo kwishey
 
muarobaini una quinine ndani yake ambayo ni antimalaria, ila hii active component iko pamoja na toxic chemicals nyingine nyingi sana ndio maana huwa haruhusiwi mtu kuinywa kavu kavu ingawa huku mtaani watu hunywa tu bila kujua. kilichofanyika walinakili strucutre ya quinine kutoka kwenye mwarobaini na kutengeneza convetional compound at lab level na ndio inayotumiwa sasa.

kwasababu ya resistance ya hawa plasmodium basi imebidi iwepo combined formula ndio dawa mseto sasa yenye dawa 3 lkn na yenyewe bado ina changamoto kwenye bio-availability na metabolism so sasa natafitiwa kwa kuwekewa polymers kama nanoa carriers ili iweze kupelekwa kwenye target na zaid iweze ku cross blood - brain barrier na parasite barrier.pia kutarget ili kuweza kumuua plasmodium akiwa kwenye first life cycle yaani kwenye vector gut.

Ahsante sana mwalimu.

Sasa nishajua kwa nini huwa nakukuta pale maeneo OCEAN ROAD............
 
Bacteria wanafanya evolution, wana mutate kushindana na dawa, wanaoshindwa na dawa wanakufa, wanabakisha wenye tendency ya kushinda dawa, ambao nao vizazi vyao vinakuwa na nguvu zaidi ya kuzishinda dawa, mpaka wanatokea sugu kabisa ambao dawa haiwaui.

Kila mutation yenye uwezo mkubwa zaidi wa kuishinda dawa inakuwa na nafasi kubwa zaidi ya kuzaliana, baada ya muda dawa inakuwa haifanyi kazi inabidi kutafuta dawa mpya.

Evolution is more evident in bacteria because of their small sizes, it doesn't take millions of years to manifest itself, it take a couple of years, decades at best.

Ahsante kwa shule mkuu.... Kiranga

Jf kweli ni kitivo cha fikra pevu
 
Last edited by a moderator:
Sio kwamba natoka nje ya mada...
hebu nieleze kuhusu Muarobaini, inadaiwa au niseme imethibitika kutibu malaria na maradhi mengine yapatayo 40, (hayumkini ndio maana ukaitwa muarobaini) mbona naambiwa dawa za malaria zinatokana na mmea wa cinchona (sijui kama niko sahihi, maana hizi habari ni za vijiwe vya kahawa) je Muarobaini umeshawahi kufanyiwa extract ili kupata component inayoweza kutibu japo maradhi ya aina mbili?
ni kweli dawa za malaria zinatokana na cinchona na asili ya mmea huu ni america ya kusini na quinine inatolewa kutoka humo. huu muarobaini asili ni india na ndo maana unaitwa azadirachta indica. kiukweli hakuna studies za kuaminika zinazoonyesha kwamba muarubaini unatibu malaria ila unatumika zaidi kwenye magonjwa ya ngozi/vipodozi na kuhifadhia nafaka kama dawa ya asili ya kuua wadudu . miarobaini ipo mingi sana dar ila ukitaka kuona cinchona nenda lushoto. bila kusahau hii dawa ya alu moja ya ingredients zako zinatokana na mmea uitwao artemisa affra (kitu kama hicho) ambao hupatikana huko china. hivi mababu zetu walikuwa wanatumia dawa gani kwa ajili ya malaria?
 
Gono inayoambukizwa toka kwa mbwa huwa ngumu sana kutibika.Hata hapa Tz wako wanaougua hii.Nilishangaa jinsi wabongo walivyobuni tiba.Wanachoma dawa ya kutibu ng'ombe inaitwa OTC inj.Ila huenda hata hii inaweza kudunda.Mwenyezi Mungu atunusuru!
 
kwani Gono nalo laua baada ya siku ngapi.....
Sijui lina ua baada ya muda gani, sema lina kero za hapa na pale.
Nakumbuka zamani kipindi kile UDA wana mabasi aina ya Mercedes Benz, tulikuwa ndani ya UDA likapita kwenye korongo moja kubwa kwa ule mtikisiko kichwa cha m.b.o.o cha abiria aliyekuwa amesimama karibu kikadondoka, watu tukashtuka mno, jamaa akatuambia alianza kuliwa na gono muda mrefu na sasa ndio kichwa kimekatika.
Kwa hiyo sio ugonjwa wa kuudharau.
 
kwa hiyo gfsonwin unashauri kwamba ni vyema tukageukia mitishamba badala ya kutegemea hayo madawa ya wazungu.

Sijui kama nimekuelewa lakini mwalimu maana hiyo lugha uliyotumia mie nimetoka kapa si unajua mie nimesoma Ngumbaru, kingeleza noti richabo........LOL

Hiyo sio ngeli Mutambuzi ni pharmacology!!
 
Halafu kuna watu bado wanabishia "evolution by natural selection through mutation".
unajua nini Kiranga most of pple huwa wanafikiri mutation ni kwenye growth cells tu na kwamba gametic cells hazihusiki kumbe wanajidanganya.

mfano bacteria kwa umbo lao dogo wanapronounced mutation tenda ndani ya muda mdogo sana ukilinganisha na higher organisms na hii ni sawa kwa lower organisms. katika challenge kubwa sana ambayo wataalam wa science ya viumbe hai wanakutana nayo ni prediction ya gene mutation na end result yake. tungeweza kulifanya hivi nafikiri tungekuwa sasa kila tatizo limetibika ila bado ili limekuwa ni fumbo sana na tena gumu.

binafsi huwa wala sipotez muda kutaka kumwaminisa mtu juu ya mutation na ultimate result yake na kwann tunasema vijidudu vinajaenga resistance. wakati mwingine hueleweki hata na baadhi ya wana sayansi.
 
Last edited by a moderator:
Mtambuzi bora umetujuza na mwenye kusikia na asikie.

Wazee wa kugegeda ovyo kazi kwenu.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Mtambuzi free drug zina matatizo sana kwenye utendaji kazi wake hasa kwenye pharmacokinetics, drud metabolism and bio-availability. iko hivi dawa nyingi sana kwasasa zina prove failure hasa antibiotics kama vile tetracycline na ampicilline. tatizo kubwa linatokana na bioavailability na crossing of some barriers especially blood-brain barrier.

sasa unakuta drug metabolism iko poor, ukija kwenye crossing ya barriers bado kuna limitation zake na sasa ukienda kwenye bio-availability na yenyewe kuna limitation zake. haya yote yanaifanya free drug ingwa ina active ingredients za kuweza kuponya ila haziwez kuwa na dose staili ili ziweze kutibu. ndio maana sasa dunia imeamia kwenye ulimwengu wa NANOMEDICINE na hapa nia ni kuongeza uwezo wa dawa kutumika kwa dose inayotakiwa kwa kulenga target tu. yani ina ongeza value kwenye active ingredients zilizoko kwenye free drug na kuzifanya ziwe na uwezo wa kwenda kwenye target na kuponya ama kuua vijidudu vya magonjwa instead ya kuzunguka mwili mzima kama zilivyo free drugs.

anyways ni shule ndefu sana nikianza hapa tutakesha but naamini utakuwa umepata idea kwann wanasema ivyo.


Mwalimu hapa inabidi utumie teaching aid .. Umeniacha mbaliiiiii


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom