Mkanganyiko kukanganya
JF-Expert Member
- Jun 26, 2022
- 1,204
- 5,053
- Thread starter
-
- #41
Kweli mkuu heri nitembee kwa miguu/daladala kuliko kuazima gari la mtuHuwa nakereka sana na marafiki wanaopenda kuomba omba
Sjui mimi huwa nipoje,sinaga haraka na vitu vya watu
Lakin mwingine unakuta hata kuendesha vizuri hajui ila anakimbilia kuomba
Na hawa wajinga wa hv hata wakiharibu huwa hawana kawaida ya kutengeneza,yaan anaharibu na anakuacha tu hvyo kisera sera tu
π€£ π€£ π€£ Ni jambo ni jema alipona. Mtalipana huko mbele kwa mbele.Mwana alipona hakunilipa, mshkaji wa magetoni tu
Mkuu unakuta gari umejichanga kwa shida alafu mtu anakuletea tena mateso ya nafsi na gari yakoMwez December kak ndio alikuw anatumia Gari yangu
/Ajawah milik gari asee ilikuw inaniuma sana sema ndio hvyo ukimaind anakuona dogo vp unajali mali kulko utu mambo alikuw ananikera nayo ni haya
1:-hana basic driving skills na utunzaj wa chombo kama yafuatayo (Gari ni 1.8L)
-anatembez gari hadi iwake taa ya mafuta wakat ni safar za stalehe na bado atawek mafuta ya 10,000
-breki za hapa na pale kila dk (hadi brek zikaish ndan ya mwezi)
-sometimes gari anaendeshea kwa end breki
-hana usafi wa ndan ya Gari /mimi gari iwe chafu nje sio kesi)
-anaweka mafuta ya 10,000/-
-anashindw kukadiria njia ya kupta mapamba yote shida
-ukimuelekez m-bish anaona anajua kuendesha
-hayupo sensitive anaweza tia gari wakat engine haijawaka (dashboard imewaka yeye anazan na engine iko on )
YAAN KUNA WATU WAZITO SAN JAPO YA YOTE ANAJITAHID UMAKN FULAN NJIA ILA NAMUONA AWEZ KU HANDLE EMERGENCY ISSUE.
Na ujamaa haujafa tupo tu πππ€£ π€£ π€£ Ni jambo ni jema alipona. Mtalipana huko mbele kwa mbele.
Kuna jamaa wanajiamin kweli,pamoja na kuwepo kwa ajari nyingi sahv huko barabarani lakin unakuta mtu anaazima gari la million zaidi ya 60 anaenda nalo mikoani hukoKweli mkuu heri nitembee kwa miguu/daladala kuliko kuazima gari la mtu
Bora upate ajali na gari lako utapaki kivulini mpk upate mkwanja wa matengenezo
Sasa ukute gari umeazima likaumia mby na mfukoni huna mapene
Pole mwamba Mungu mwema utapata tu ndinga miaka hii ni wala walaTusio ma magari tunalike wenye nayo
Mimi sitaki hata kukumbuka,
Gari langu la kwanza lilikuwa ni carina niliipenda sana muda mwingi kivulini nalifuta vumbi na kitambaa laini, smtms naliangalia mpaka natabasam π automatically
Laaaahaulaa balaa siku hiyo nimelewa mwamba akanimbia niazimishe ndinga nakuletea chapu kwa wenge la konyagi nikampa.(siazimagi la mtu wala sipendi kutoa gari langu)
Kesho yake napata taarifa mwamba kapinduka,kwenda mcheki yupo ICU.
Kwenda tazama ndinga daaaah! gari limepondeka kiasi kwamba unaweza kulibeba katika jaba ππ
Je ulishawahi kupata balaaa gani baada ya kuazima/ kuazimisha gari.. share nasi
Nilikula hasara, ila sikuumia sna nafsi niliamini nitapata lingine:;Duh hasara
Pole mkuu,kumpa mtu gari ni changamoto, Mara nyingi lazma litarudi na kasoro tu sivyo kama alivyochukuaMimi sitaki hata kukumbuka,
Kilichoniuma si mwamba kulipga mzinga ila ni kulipiga mzinga halafu akakana kuwa si yeye aliyelipga mzinga yani ikanifanya nionekane najaribu kumpiga. Nilijua pesa ya kulipa hana lakini akakana yani yule jamaa na ulokole wake sikuamini masikio yangu
Nilishapoaga mkuu, Mungu mwemaPole sana...
Na haifai hata kidogo!! Kama gari huna bora achana na kuomba ya watu!!!Kifupi hii tabia ya kuazimana magari sijawahi kuipenda hata siku moja...
Kabisa yan jamaa alilipga mzinga halafu likamwagka vioo vyote vya kushoto na taa ya mbele na nyuma upande wa kushoto, likachanika huo upande hadi linaonekana ndani. Halafu akaenda akalipaki baada ya siku 3 akanikana yule jamaaPole mkuu,kumpa mtu gari ni changamoto, Mara nyingi lazma litarudi na kasoro tu sivyo kama alivyochukua
Daaah aisee huo ushujaa sijui wanautoa wapi πππ hao ni manguliKuna jamaa wanajiamin kweli,pamoja na kuwepo kwa ajari nyingi sahv huko barabarani lakin unakuta mtu anaazima gari la million zaidi ya 60 anaenda nalo mikoani huko
Maanina zake afie mbeleKabisa yan jamaa alilipga mzinga halafu likamwagka vioo vyote vya kushoto na taa ya mbele na nyuma upande wa kushoto, likachanika huo upande hadi linaonekana ndani. Halafu akaenda akalipaki baada ya siku 3 akanikana yule jamaa
Kanuni ya kwanza, usimuazime mtu gari ambaye hana gari. Yani hata kama atakuwa na Premio akakuomba umuazime Harrier yako we mpe kiroho safi. Kuna wale wauza sura mtu hana hata pikipiki ila anataka akaoshe kwa malaya wake aonekane anayaweza, kaotea ka laki 3 kake ka udalali anachukua gari yako kisela mwisho wa siku ni mimba. Huwa wengi wanaoazima magari hupenda masifa barabarani. Atakimbiza hovyo breki za hovyo kuovateki resi nyingi mara apige drift na Crown yako mwisho limemshinda kalibamiza ukutani balaa linakuwa zito na hana la kufanya.Huwa nakereka sana na marafiki wanaopenda kuomba omba
Sjui mimi huwa nipoje,sinaga haraka na vitu vya watu
Lakin mwingine unakuta hata kuendesha vizuri hajui ila anakimbilia kuomba
Na hawa wajinga wa hv hata wakiharibu huwa hawana kawaida ya kutengeneza,yaan anaharibu na anakuacha tu hvyo kisera sera tu
Ulimpotezea/ulisameheKabisa yan jamaa alilipga mzinga halafu likamwagka vioo vyote vya kushoto na taa ya mbele na nyuma upande wa kushoto, likachanika huo upande hadi linaonekana ndani. Halafu akaenda akalipaki baada ya siku 3 akanikana yule jamaa
Nilimpotezea urafiki uliishua hapoUlimpotezea/ulisamehe