Balaa la kuazimisha gari!!!

Balaa la kuazimisha gari!!!

Huwa nakereka sana na marafiki wanaopenda kuomba omba

Sjui mimi huwa nipoje,sinaga haraka na vitu vya watu

Lakin mwingine unakuta hata kuendesha vizuri hajui ila anakimbilia kuomba

Na hawa wajinga wa hv hata wakiharibu huwa hawana kawaida ya kutengeneza,yaan anaharibu na anakuacha tu hvyo kisera sera tu
Kweli mkuu heri nitembee kwa miguu/daladala kuliko kuazima gari la mtu
Bora upate ajali na gari lako utapaki kivulini mpk upate mkwanja wa matengenezo
Sasa ukute gari umeazima likaumia mby na mfukoni huna mapene
 
Mwez December kak ndio alikuw anatumia Gari yangu
/Ajawah milik gari asee ilikuw inaniuma sana sema ndio hvyo ukimaind anakuona dogo vp unajali mali kulko utu mambo alikuw ananikera nayo ni haya

1:-hana basic driving skills na utunzaj wa chombo kama yafuatayo (Gari ni 1.8L)

-anatembez gari hadi iwake taa ya mafuta wakat ni safar za stalehe na bado atawek mafuta ya 10,000
-breki za hapa na pale kila dk (hadi brek zikaish ndan ya mwezi)
-sometimes gari anaendeshea kwa end breki
-hana usafi wa ndan ya Gari /mimi gari iwe chafu nje sio kesi)
-anaweka mafuta ya 10,000/-
-anashindw kukadiria njia ya kupta mapamba yote shida
-ukimuelekez m-bish anaona anajua kuendesha
-hayupo sensitive anaweza tia gari wakat engine haijawaka (dashboard imewaka yeye anazan na engine iko on )


YAAN KUNA WATU WAZITO SAN JAPO YA YOTE ANAJITAHID UMAKN FULAN NJIA ILA NAMUONA AWEZ KU HANDLE EMERGENCY ISSUE.
Mkuu unakuta gari umejichanga kwa shida alafu mtu anakuletea tena mateso ya nafsi na gari yako
 
Kweli mkuu heri nitembee kwa miguu/daladala kuliko kuazima gari la mtu
Bora upate ajali na gari lako utapaki kivulini mpk upate mkwanja wa matengenezo
Sasa ukute gari umeazima likaumia mby na mfukoni huna mapene
Kuna jamaa wanajiamin kweli,pamoja na kuwepo kwa ajari nyingi sahv huko barabarani lakin unakuta mtu anaazima gari la million zaidi ya 60 anaenda nalo mikoani huko
 

Gari langu la kwanza lilikuwa ni carina niliipenda sana muda mwingi kivulini nalifuta vumbi na kitambaa laini, smtms naliangalia mpaka natabasam 😁 automatically

Laaaahaulaa balaa siku hiyo nimelewa mwamba akanimbia niazimishe ndinga nakuletea chapu kwa wenge la konyagi nikampa.(siazimagi la mtu wala sipendi kutoa gari langu)

Kesho yake napata taarifa mwamba kapinduka,kwenda mcheki yupo ICU.
Kwenda tazama ndinga daaaah! gari limepondeka kiasi kwamba unaweza kulibeba katika jaba 😂😂

Je ulishawahi kupata balaaa gani baada ya kuazima/ kuazimisha gari.. share nasi
Mimi sitaki hata kukumbuka,
Kilichoniuma si mwamba kulipga mzinga ila ni kulipiga mzinga halafu akakana kuwa si yeye aliyelipga mzinga yani ikanifanya nionekane najaribu kumpiga. Nilijua pesa ya kulipa hana lakini akakana yani yule jamaa na ulokole wake sikuamini masikio yangu
 
Mimi sitaki hata kukumbuka,
Kilichoniuma si mwamba kulipga mzinga ila ni kulipiga mzinga halafu akakana kuwa si yeye aliyelipga mzinga yani ikanifanya nionekane najaribu kumpiga. Nilijua pesa ya kulipa hana lakini akakana yani yule jamaa na ulokole wake sikuamini masikio yangu
Pole mkuu,kumpa mtu gari ni changamoto, Mara nyingi lazma litarudi na kasoro tu sivyo kama alivyochukua
 
Pole mkuu,kumpa mtu gari ni changamoto, Mara nyingi lazma litarudi na kasoro tu sivyo kama alivyochukua
Kabisa yan jamaa alilipga mzinga halafu likamwagka vioo vyote vya kushoto na taa ya mbele na nyuma upande wa kushoto, likachanika huo upande hadi linaonekana ndani. Halafu akaenda akalipaki baada ya siku 3 akanikana yule jamaa
 
Huwa nakereka sana na marafiki wanaopenda kuomba omba

Sjui mimi huwa nipoje,sinaga haraka na vitu vya watu

Lakin mwingine unakuta hata kuendesha vizuri hajui ila anakimbilia kuomba

Na hawa wajinga wa hv hata wakiharibu huwa hawana kawaida ya kutengeneza,yaan anaharibu na anakuacha tu hvyo kisera sera tu
Kanuni ya kwanza, usimuazime mtu gari ambaye hana gari. Yani hata kama atakuwa na Premio akakuomba umuazime Harrier yako we mpe kiroho safi. Kuna wale wauza sura mtu hana hata pikipiki ila anataka akaoshe kwa malaya wake aonekane anayaweza, kaotea ka laki 3 kake ka udalali anachukua gari yako kisela mwisho wa siku ni mimba. Huwa wengi wanaoazima magari hupenda masifa barabarani. Atakimbiza hovyo breki za hovyo kuovateki resi nyingi mara apige drift na Crown yako mwisho limemshinda kalibamiza ukutani balaa linakuwa zito na hana la kufanya.

Kanuni ya pili muhimu, mtu awe na hela yaku encounter any shortcoming. Barabarani kuna mengi kuna jamaa yangu huwa anaagiza gari na kuziuza baada ya kutumia kidogo tu. Jamaa hajawahi kuwa na gari chakavu hata siku moja, na gari zake kama sio mark x ni crown au brevis ndio huwa anatemebelea.. Kipindi flani akiwa anasubiria imports huwa mtu wa kusafiri safiri hivyo ana connection na wana wenye magari anaazimaga magari na watu wanam trust sababu ni smart sana. Kuna siku kachukua crown akapiga nayo Moro-Chuga kuna mahali alipiga jiwe akapasua gearbox. Aliagiza gearbox mpya akafunga na kuendelea na safari akarudisha gari ikiwa nzima kabisa. Ila sasa imagine angekuwa ni bishoo tu ana hela yake ya mafuta tu. Ndio unapigiwa simu ya breakdown unaanza kuumia tu na kujuta.

Kuna nidhamu flani kwa mtu ambaye anaujua uchungu wa gari na kulihudumia. Kuna watu smart unaweza muazima gari ila kama ni wale vijana jamii ya Chawa weka mbali na watoto.
 
Kabisa yan jamaa alilipga mzinga halafu likamwagka vioo vyote vya kushoto na taa ya mbele na nyuma upande wa kushoto, likachanika huo upande hadi linaonekana ndani. Halafu akaenda akalipaki baada ya siku 3 akanikana yule jamaa
Ulimpotezea/ulisamehe
 
Back
Top Bottom