Mkuu unakuta gari umejichanga kwa shida alafu mtu anakuletea tena mateso ya nafsi na gari yako
Huu ushauri ni muhimu sana.Kanuni ya kwanza, usimuazime mtu gari ambaye hana gari. Yani hata kama atakuwa na Premio akakuomba umuazime Harrier yako we mpe kiroho safi. Kuna wale wauza sura mtu hana hata pikipiki ila anataka akaoshe kwa malaya wake aonekane anayaweza, kaotea ka laki 3 kake ka udalali anachukua gari yako kisela mwisho wa siku ni mimba. Huwa wengi wanaoazima magari hupenda masifa barabarani. Atakimbiza hovyo breki za hovyo kuovateki resi nyingi mara apige drift na Crown yako mwisho limemshinda kalibamiza ukutani balaa linakuwa zito na hana la kufanya.
Kanuni ya pili muhimu, mtu awe na hela yaku encounter any shortcoming. Barabarani kuna mengi kuna jamaa yangu huwa anaagiza gari na kuziuza baada ya kutumia kidogo tu. Jamaa hajawahi kuwa na gari chakavu hata siku moja, na gari zake kama sio mark x ni crown au brevis ndio huwa anatemebelea.. Kipindi flani akiwa anasubiria imports huwa mtu wa kusafiri safiri hivyo ana connection na wana wenye magari anaazimaga magari na watu wanam trust sababu ni smart sana. Kuna siku kachukua crown akapiga nayo Moro-Chuga kuna mahali alipiga jiwe akapasua gearbox. Aliagiza gearbox mpya akafunga na kuendelea na safari akarudisha gari ikiwa nzima kabisa. Ila sasa imagine angekuwa ni bishoo tu ana hela yake ya mafuta tu. Ndio unapigiwa simu ya breakdown unaanza kuumia tu na kujuta.
Kuna nidhamu flani kwa mtu ambaye anaujua uchungu wa gari na kulihudumia. Kuna watu smart unaweza muazima gari ila kama ni wale vijana jamii ya Chawa weka mbali na watoto.
Huu ndio uzuri wa Jf, na kila mtu anamiliki ndinga.... sasa tusio na magari tunakomenti wapi..😎
Mkuu hata baiskel hujawahi azima/azimisha ikarudi na pancha kibao
Hakuna ubaya mkuu wangu, ndiomaana kuna memba amekomenti kwamba mimi ya yeye tulaiki tu kwasababu hatuna cha kukomenti...😊☺JF ina member 620k+
Post ndani ya uzi hazifiki hata 100.
Walichangia mpaka sasa hawavuki hata 30.
Kuna ubaya watu 30 kuwa na magari kati ya watu 620k+?
Chawa ndo nongwa maigizo mengi mfukoni anaten mbili! Bora mwenye mkwanja na hawanaga rough uendeshajiKanuni ya kwanza, usimuazime mtu gari ambaye hana gari. Yani hata kama atakuwa na Premio akakuomba umuazime Harrier yako we mpe kiroho safi. Kuna wale wauza sura mtu hana hata pikipiki ila anataka akaoshe kwa malaya wake aonekane anayaweza, kaotea ka laki 3 kake ka udalali anachukua gari yako kisela mwisho wa siku ni mimba. Huwa wengi wanaoazima magari hupenda masifa barabarani. Atakimbiza hovyo breki za hovyo kuovateki resi nyingi mara apige drift na Crown yako mwisho limemshinda kalibamiza ukutani balaa linakuwa zito na hana la kufanya.
Kanuni ya pili muhimu, mtu awe na hela yaku encounter any shortcoming. Barabarani kuna mengi kuna jamaa yangu huwa anaagiza gari na kuziuza baada ya kutumia kidogo tu. Jamaa hajawahi kuwa na gari chakavu hata siku moja, na gari zake kama sio mark x ni crown au brevis ndio huwa anatemebelea.. Kipindi flani akiwa anasubiria imports huwa mtu wa kusafiri safiri hivyo ana connection na wana wenye magari anaazimaga magari na watu wanam trust sababu ni smart sana. Kuna siku kachukua crown akapiga nayo Moro-Chuga kuna mahali alipiga jiwe akapasua gearbox. Aliagiza gearbox mpya akafunga na kuendelea na safari akarudisha gari ikiwa nzima kabisa. Ila sasa imagine angekuwa ni bishoo tu ana hela yake ya mafuta tu. Ndio unapigiwa simu ya breakdown unaanza kuumia tu na kujuta.
Kuna nidhamu flani kwa mtu ambaye anaujua uchungu wa gari na kulihudumia. Kuna watu smart unaweza muazima gari ila kama ni wale vijana jamii ya Chawa weka mbali na watoto.
Yeah mwenye mkwanja yuko smart. Gari kazizoea hana kipengele.Chawa ndo nongwa maigizo mengi mfukoni anaten mbili! Bora mwenye mkwanja na hawanaga rough uendeshaji
Nimekumbuka nilivokuwa napenda kufanya ngono kwenye gari enzi za ujana wangu. Ule ni ulevi nashkuru Mungu niliachaHakuna kitu kinaharibu na kuchakaza gari haraka kama kutumiwa na mikono mingi
Kila mtu ana uendeshaji wake.. Kwahiyo kila ukimpa mmoja atafanya settings zake nknk . lakini mbaya zaidi ni ishu za kiroho hasa kumpa mtu gari halafu akaenda kubebea matunguli ama kufanyia ngono ndani yake! Hakuna nuksi kubwa kama hiyo
Ni ushauri kuntuu, si kila mshkaji unampa funguo!! Mtu anakwambia tu nitaweka weseHuu ushauri ni muhimu sana.
Nimependa zaidi ushauri huu:
"Mpe gari mtu mwenye uwezo wa kulitengeneza endapo atakutana na majang
Lazima aje kwangu akae miezi 2 kama hawezi kulipa.Huwa nakereka sana na marafiki wanaopenda kuomba omba
Sjui mimi huwa nipoje,sinaga haraka na vitu vya watu
Lakin mwingine unakuta hata kuendesha vizuri hajui ila anakimbilia kuomba
Na hawa wajinga wa hv hata wakiharibu huwa hawana kawaida ya kutengeneza,yaan anaharibu na anakuacha tu hvyo kisera sera tu
Hiyo hapana naonaga km uzinzi nafanya mbele ya wifeNimekumbuka nilivokuwa napenda kufanya ngono kwenye gari enzi za ujana wangu. Ule ni ulevi nashkuru Mungu niliacha
Unamdekeza sana gari likiharibika sidhani kama atakuchangiaMwez December kak ndio alikuw anatumia Gari yangu
/Ajawah milik gari asee ilikuw inaniuma sana sema ndio hvyo ukimaind anakuona dogo vp unajali mali kulko utu mambo alikuw ananikera nayo ni haya
1:-hana basic driving skills na utunzaj wa chombo kama yafuatayo (Gari ni 1.8L)
-anatembez gari hadi iwake taa ya mafuta wakat ni safar za stalehe na bado atawek mafuta ya 10,000
-breki za hapa na pale kila dk (hadi brek zikaish ndan ya mwezi)
-sometimes gari anaendeshea kwa end breki
-hana usafi wa ndan ya Gari /mimi gari iwe chafu nje sio kesi)
-anaweka mafuta ya 10,000/-
-anashindw kukadiria njia ya kupta mapamba yote shida
-ukimuelekez m-bish anaona anajua kuendesha
-hayupo sensitive anaweza tia gia wakat engine haijawaka (dashboard imewaka yeye anazan na engine iko on )
-kuwash android engine ikiw off
YAAN KUNA WATU WAZITO SAN JAPO YA YOTE ANAJITAHID UMAKN FULAN NJIA ILA NAMUONA AWEZ KU HANDLE EMERGENCY ISSUE.
Kuna watu wako careless sanaMwez December kak ndio alikuw anatumia Gari yangu
/Ajawah milik gari asee ilikuw inaniuma sana sema ndio hvyo ukimaind anakuona dogo vp unajali mali kulko utu mambo alikuw ananikera nayo ni haya
1:-hana basic driving skills na utunzaj wa chombo kama yafuatayo (Gari ni 1.8L)
-anatembez gari hadi iwake taa ya mafuta wakat ni safar za stalehe na bado atawek mafuta ya 10,000
-breki za hapa na pale kila dk (hadi brek zikaish ndan ya mwezi)
-sometimes gari anaendeshea kwa end breki
-hana usafi wa ndan ya Gari /mimi gari iwe chafu nje sio kesi)
-anaweka mafuta ya 10,000/-
-anashindw kukadiria njia ya kupta mapamba yote shida
-ukimuelekez m-bish anaona anajua kuendesha
-hayupo sensitive anaweza tia gia wakat engine haijawaka (dashboard imewaka yeye anazan na engine iko on )
-kuwash android engine ikiw off
YAAN KUNA WATU WAZITO SAN JAPO YA YOTE ANAJITAHID UMAKN FULAN NJIA ILA NAMUONA AWEZ KU HANDLE EMERGENCY ISSUE.
Mfukoni anaten mbili,huku anaweka rehani m15 ya mtuHata mimi tabia ya kuombana magari siipendi, halafu mtu anakuazima gari, ana hela ya mafuta tu. Anajua kumiliki gari ni mafuta
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah nmerud home jion wife ananibia kalikwangua gari kidogo alipokuwa analitoa nje …….nlikaa nje kama lisaa hasira zipungue nsije mchenjia…..inauma sana wazeee😅😅 simuachii tena ndinga
Gari langu la kwanza lilikuwa ni carina niliipenda sana muda mwingi kivulini nalifuta vumbi na kitambaa laini, smtms naliangalia mpaka natabasam 😁 automatically
Laaaahaulaa balaa siku hiyo nimelewa mwamba akanimbia niazimishe ndinga nakuletea chapu kwa wenge la konyagi nikampa.(siazimagi la mtu wala sipendi kutoa gari langu)
Kesho yake napata taarifa mwamba kapinduka,kwenda mcheki yupo ICU.
Kwenda tazama ndinga daaaah! gari limepondeka kiasi kwamba unaweza kulibeba katika jaba 😂😂
Je ulishawahi kupata balaaa gani baada ya kuazima/ kuazimisha gari.. share nasi
jamaa yako alipona?Daaah acha kabisa mkuu gari kuchek liko chemba limefunikwa lote kwa rubega la kimasai tu, just imagine maumivu take sasa
Hawa nao,mi wife kuna wakati nilikuwa na CR40 alikuwa anatoa nje akalimenya kwa ubavuni, nikamuuliza akajibu "baba nanii hilo geti dogo bana itabidi ulitanuege" 😂😂😂Dah nmerud home jion wife ananibia kalikwangua gari kidogo alipokuwa analitoa nje …….nlikaa nje kama lisaa hasira zipungue nsije mchenjia…..inauma sana wazeee😅😅 simuachii tena ndinga