Balaa la kuazimisha gari!!!

Balaa la kuazimisha gari!!!

Kanuni ya kwanza, usimuazime mtu gari ambaye hana gari. Yani hata kama atakuwa na Premio akakuomba umuazime Harrier yako we mpe kiroho safi. Kuna wale wauza sura mtu hana hata pikipiki ila anataka akaoshe kwa malaya wake aonekane anayaweza, kaotea ka laki 3 kake ka udalali anachukua gari yako kisela mwisho wa siku ni mimba. Huwa wengi wanaoazima magari hupenda masifa barabarani. Atakimbiza hovyo breki za hovyo kuovateki resi nyingi mara apige drift na Crown yako mwisho limemshinda kalibamiza ukutani balaa linakuwa zito na hana la kufanya.

Kanuni ya pili muhimu, mtu awe na hela yaku encounter any shortcoming. Barabarani kuna mengi kuna jamaa yangu huwa anaagiza gari na kuziuza baada ya kutumia kidogo tu. Jamaa hajawahi kuwa na gari chakavu hata siku moja, na gari zake kama sio mark x ni crown au brevis ndio huwa anatemebelea.. Kipindi flani akiwa anasubiria imports huwa mtu wa kusafiri safiri hivyo ana connection na wana wenye magari anaazimaga magari na watu wanam trust sababu ni smart sana. Kuna siku kachukua crown akapiga nayo Moro-Chuga kuna mahali alipiga jiwe akapasua gearbox. Aliagiza gearbox mpya akafunga na kuendelea na safari akarudisha gari ikiwa nzima kabisa. Ila sasa imagine angekuwa ni bishoo tu ana hela yake ya mafuta tu. Ndio unapigiwa simu ya breakdown unaanza kuumia tu na kujuta.

Kuna nidhamu flani kwa mtu ambaye anaujua uchungu wa gari na kulihudumia. Kuna watu smart unaweza muazima gari ila kama ni wale vijana jamii ya Chawa weka mbali na watoto.
Huu ushauri ni muhimu sana.

Nimependa zaidi ushauri huu:
"Mpe gari mtu mwenye uwezo wa kulitengeneza endapo atakutana na majanga".
 
Kuna jamaa mmoja aliazima gari ya kazi aende nayo kazi Fulani, aisee amerudisha vitu mule ndani hakuna siyo spana siyo Nini, afu kibaya zaidi sijui alifanyaje injia mlio umebadilika kabisa unalia kama kopo la chooni tupu ukidondosha, afu kwenye gear zote wallah! dooh ikabidi tu nivunje ukimya kumuuliza akasema hajaviona na gari nilimpa siyo nzima nk. Mie fresh tu, baada ya muda nikamdaka kwenye gari ya mtu mwingine ya kazi, flash yangu ime, jerk imo, spana nk, akaona aibu na nilivichukua mpaka leo hakuna urafiki.
 
Mkuu hata baiskel hujawahi azima/azimisha ikarudi na pancha kibao

JF ina member 620k+

Post ndani ya uzi hazifiki hata 100.

Walichangia mpaka sasa hawavuki hata 30.

Kuna ubaya watu 30 kuwa na magari kati ya watu 620k+?
Hakuna ubaya mkuu wangu, ndiomaana kuna memba amekomenti kwamba mimi ya yeye tulaiki tu kwasababu hatuna cha kukomenti...😊☺
 
Kanuni ya kwanza, usimuazime mtu gari ambaye hana gari. Yani hata kama atakuwa na Premio akakuomba umuazime Harrier yako we mpe kiroho safi. Kuna wale wauza sura mtu hana hata pikipiki ila anataka akaoshe kwa malaya wake aonekane anayaweza, kaotea ka laki 3 kake ka udalali anachukua gari yako kisela mwisho wa siku ni mimba. Huwa wengi wanaoazima magari hupenda masifa barabarani. Atakimbiza hovyo breki za hovyo kuovateki resi nyingi mara apige drift na Crown yako mwisho limemshinda kalibamiza ukutani balaa linakuwa zito na hana la kufanya.

Kanuni ya pili muhimu, mtu awe na hela yaku encounter any shortcoming. Barabarani kuna mengi kuna jamaa yangu huwa anaagiza gari na kuziuza baada ya kutumia kidogo tu. Jamaa hajawahi kuwa na gari chakavu hata siku moja, na gari zake kama sio mark x ni crown au brevis ndio huwa anatemebelea.. Kipindi flani akiwa anasubiria imports huwa mtu wa kusafiri safiri hivyo ana connection na wana wenye magari anaazimaga magari na watu wanam trust sababu ni smart sana. Kuna siku kachukua crown akapiga nayo Moro-Chuga kuna mahali alipiga jiwe akapasua gearbox. Aliagiza gearbox mpya akafunga na kuendelea na safari akarudisha gari ikiwa nzima kabisa. Ila sasa imagine angekuwa ni bishoo tu ana hela yake ya mafuta tu. Ndio unapigiwa simu ya breakdown unaanza kuumia tu na kujuta.

Kuna nidhamu flani kwa mtu ambaye anaujua uchungu wa gari na kulihudumia. Kuna watu smart unaweza muazima gari ila kama ni wale vijana jamii ya Chawa weka mbali na watoto.
Chawa ndo nongwa maigizo mengi mfukoni anaten mbili! Bora mwenye mkwanja na hawanaga rough uendeshaji
 
Hakuna kitu kinaharibu na kuchakaza gari haraka kama kutumiwa na mikono mingi
Kila mtu ana uendeshaji wake.. Kwahiyo kila ukimpa mmoja atafanya settings zake nknk . lakini mbaya zaidi ni ishu za kiroho hasa kumpa mtu gari halafu akaenda kubebea matunguli ama kufanyia ngono ndani yake! Hakuna nuksi kubwa kama hiyo
Nimekumbuka nilivokuwa napenda kufanya ngono kwenye gari enzi za ujana wangu. Ule ni ulevi nashkuru Mungu niliacha
 
Huu ushauri ni muhimu sana.

Nimependa zaidi ushauri huu:
"Mpe gari mtu mwenye uwezo wa kulitengeneza endapo atakutana na majang
Ni ushauri kuntuu, si kila mshkaji unampa funguo!! Mtu anakwambia tu nitaweka wese
 
Huwa nakereka sana na marafiki wanaopenda kuomba omba

Sjui mimi huwa nipoje,sinaga haraka na vitu vya watu

Lakin mwingine unakuta hata kuendesha vizuri hajui ila anakimbilia kuomba

Na hawa wajinga wa hv hata wakiharibu huwa hawana kawaida ya kutengeneza,yaan anaharibu na anakuacha tu hvyo kisera sera tu
Lazima aje kwangu akae miezi 2 kama hawezi kulipa.
 
Usiazimishe gari mtu aise tena kama huyo mtu yeye hana gari, au gari yake ni cheap kuliko yako. Huwa hawajali wanataka kuvimba, kuna kipindi leseni iliisha so nikawa na dereva sasa dereva anataka weka ligi na boda na bajaji. Ilidi nimwambie aise kushindana na chombo ya milioni 2 wakati wewe unaendesha 32m ni ufala mkubwa
 
Mwez December kak ndio alikuw anatumia Gari yangu
/Ajawah milik gari asee ilikuw inaniuma sana sema ndio hvyo ukimaind anakuona dogo vp unajali mali kulko utu mambo alikuw ananikera nayo ni haya

1:-hana basic driving skills na utunzaj wa chombo kama yafuatayo (Gari ni 1.8L)

-anatembez gari hadi iwake taa ya mafuta wakat ni safar za stalehe na bado atawek mafuta ya 10,000
-breki za hapa na pale kila dk (hadi brek zikaish ndan ya mwezi)
-sometimes gari anaendeshea kwa end breki
-hana usafi wa ndan ya Gari /mimi gari iwe chafu nje sio kesi)
-anaweka mafuta ya 10,000/-
-anashindw kukadiria njia ya kupta mapamba yote shida
-ukimuelekez m-bish anaona anajua kuendesha
-hayupo sensitive anaweza tia gia wakat engine haijawaka (dashboard imewaka yeye anazan na engine iko on )
-kuwash android engine ikiw off

YAAN KUNA WATU WAZITO SAN JAPO YA YOTE ANAJITAHID UMAKN FULAN NJIA ILA NAMUONA AWEZ KU HANDLE EMERGENCY ISSUE.
Unamdekeza sana gari likiharibika sidhani kama atakuchangia
 
Mwez December kak ndio alikuw anatumia Gari yangu
/Ajawah milik gari asee ilikuw inaniuma sana sema ndio hvyo ukimaind anakuona dogo vp unajali mali kulko utu mambo alikuw ananikera nayo ni haya

1:-hana basic driving skills na utunzaj wa chombo kama yafuatayo (Gari ni 1.8L)

-anatembez gari hadi iwake taa ya mafuta wakat ni safar za stalehe na bado atawek mafuta ya 10,000
-breki za hapa na pale kila dk (hadi brek zikaish ndan ya mwezi)
-sometimes gari anaendeshea kwa end breki
-hana usafi wa ndan ya Gari /mimi gari iwe chafu nje sio kesi)
-anaweka mafuta ya 10,000/-
-anashindw kukadiria njia ya kupta mapamba yote shida
-ukimuelekez m-bish anaona anajua kuendesha
-hayupo sensitive anaweza tia gia wakat engine haijawaka (dashboard imewaka yeye anazan na engine iko on )
-kuwash android engine ikiw off

YAAN KUNA WATU WAZITO SAN JAPO YA YOTE ANAJITAHID UMAKN FULAN NJIA ILA NAMUONA AWEZ KU HANDLE EMERGENCY ISSUE.
Kuna watu wako careless sana
 

Gari langu la kwanza lilikuwa ni carina niliipenda sana muda mwingi kivulini nalifuta vumbi na kitambaa laini, smtms naliangalia mpaka natabasam 😁 automatically

Laaaahaulaa balaa siku hiyo nimelewa mwamba akanimbia niazimishe ndinga nakuletea chapu kwa wenge la konyagi nikampa.(siazimagi la mtu wala sipendi kutoa gari langu)

Kesho yake napata taarifa mwamba kapinduka,kwenda mcheki yupo ICU.
Kwenda tazama ndinga daaaah! gari limepondeka kiasi kwamba unaweza kulibeba katika jaba 😂😂

Je ulishawahi kupata balaaa gani baada ya kuazima/ kuazimisha gari.. share nasi
Dah nmerud home jion wife ananibia kalikwangua gari kidogo alipokuwa analitoa nje …….nlikaa nje kama lisaa hasira zipungue nsije mchenjia…..inauma sana wazeee😅😅 simuachii tena ndinga
 
Dah nmerud home jion wife ananibia kalikwangua gari kidogo alipokuwa analitoa nje …….nlikaa nje kama lisaa hasira zipungue nsije mchenjia…..inauma sana wazeee😅😅 simuachii tena ndinga
Hawa nao,mi wife kuna wakati nilikuwa na CR40 alikuwa anatoa nje akalimenya kwa ubavuni, nikamuuliza akajibu "baba nanii hilo geti dogo bana itabidi ulitanuege" 😂😂😂
Simple ivo wala hana habari
 
Back
Top Bottom