Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
- Thread starter
-
- #21
Waache watuzuge tu, wataona maajabuserikali haijui alipo na haijui kama ni mzima au mfu; jamaa alikuwa mgonjwa na hadi leo serikali haijasema kama alipata nafuu au anaendeleaje kwa sababu hawajui alipo; nimepitia sehemu mbalimbali ambako anadaiwa alikuwepo na kweli hayupo. Siyo Boston wala DC.. ila wanasema "yupo".
Tangu alipotoweka hajapigwa picha akiwa hospitali, hajazungumza na chombo chochote cha habari, na hakuna kiongozi (akiwemo waziri wa fedha) ambaye anajua alipo.
Sasa, mimi katika kupiga mahesabu yangu na kuangalia vyanzo mbalimbali inaonekana jamaa hayupo tena - amekufa. Sasa hilo haliwezi kuwa jambo la ajabu, ni bora tuambieane ukweli tu ili tukubali yaishe.
serikali haijui alipo na haijui kama ni mzima au mfu; jamaa alikuwa mgonjwa na hadi leo serikali haijasema kama alipata nafuu au anaendeleaje kwa sababu hawajui alipo; nimepitia sehemu mbalimbali ambako anadaiwa alikuwepo na kweli hayupo. Siyo Boston wala DC.. ila wanasema "yupo".
Tangu alipotoweka hajapigwa picha akiwa hospitali, hajazungumza na chombo chochote cha habari, na hakuna kiongozi (akiwemo waziri wa fedha) ambaye anajua alipo.
Sasa, mimi katika kupiga mahesabu yangu na kuangalia vyanzo mbalimbali inaonekana jamaa hayupo tena - amekufa. Sasa hilo haliwezi kuwa jambo la ajabu, ni bora tuambieane ukweli tu ili tukubali yaishe.
Serikali ilizusha mama wa mmoja wa council ya manispaa ya Kigoma anaumwa Malaria kali, ikamvisha na madrip kabisa kuonekana amezidiwa siku ya uchaguzi. Kumbe lengo lilikuwa asipige kura.
Serikali ya Tanzania kama iliweza kuwaita Jamboforums member ma gaidi itashindwa kusema Balali amezidiwa? Balali wasn't sick anyway. Ile ilikuwa ni strategic planning ya Jakaya and Lowassa na Rostam kuficha swala zima la EPA. Balali angetapika tuu ukweli, so swala likawa wewe potea na million zako kadhaa kisha tuachie sisi hii nightmare. And guess what, they were right. EPA will remain a mistry.
na miye namba yangu wanayo... anaweza kupiga simu na kuacha ujumbe na kusema tarehe na kusema some of the current events kama earthquake ya China au kimbunga cha Mynmar 1 248 686 2010
kama Balali alinyamzishwa kusema ukweli Tanzania kwa nini asiuseme sasa hivi? itamchukua dakika ngapi kujirecord akizungumzia kila kitu na kupost video youtube? Hapa Balali naye sio muungwana na hana uchungu na anachozushiwa uko Tanzania.
Who is Balali? Jee huyu Jamaa ana ndugu? Alizaliwa wapi Balali? Jee wanae Balali wako nchi gani? CCM inaonekana iliweka mtu wa mazingaombwe pale Bank Kuu, mtu ambae hana ndugu wala marafiki wa kutambua alipo.
Wakikosea wakafanya hivi basi wataibua mjadala mpana zaidi. Tutahoji uraia wa wengi!Usije ukashangaa siku wanatangaza tamati yake wakaongezea kuwa hakuwa Mtanzania.
MKJ sasa huwezi kufikia conclusion kwa kutumia Logic, huwezi sema kama A is equal to B and B is equal to C then A=B. No it's not that simple. Tumeshaona baadhi ya vigogo wengi huko African and America wanapotea for years mpaka watu wana conclude kwamba wamekufa. Kumbe wapo katika nchi nyingine.
I know it sound like dark, it smell like dark, and it look like dark, but guess what it is not dark. It just rain. Balali yupo fine anadunda kama kawaida. CCM wanajua Balali siku atakayo tua tuu airport that will be the end of CCM, Chama Cha Mapinduzi kitapasuka into two peaces.
Balali analawyer wake hapo Dar kwa nini CCM hawataki kwenye kuangalia document zake alizomkabidhi Lamwai wake? Balali know kabisa EPA=Uchaguzi wa uraisi wa 2005=Rostam=JK sasa JK anajivisha joho linaloitwa Mr clean, sasa ukiunganisha hiyo picha JK anasound Mr. Dirty, na yeye hawezi likubali hilo. Kwani siku Balali atakapo tua ndio AU and EU watajua who is JK.
Sijasema Balali ni clean, hawezi kwenda Youtube akasema jamani wa Tanzania haya ndio yaliyotokea. Balali alishachukua chake akanunua zake mansion huko ng'ambo kama wenzie.
CCM ilimwambia kwamba mzee potea kwenye ramani na kisha tuachie hili. Swala la kushangaza watu wengi hatujui kabisa ni nani huyu Balali.
Who is Balali? Jee huyu Jamaa ana ndugu? Alizaliwa wapi Balali? Jee wanae Balali wako nchi gani? CCM inaonekana iliweka mtu wa mazingaombwe pale Bank Kuu, mtu ambae hana ndugu wala marafiki wa kutambua alipo.
Mkuu Mtanganyika hiyo ndo habari yenyewe ya kuwa yuko mafichoni.Na huenda hata akawa jijini anatembea na gari tinted kwa ulinzi maalum.
Sisiem wanatapatapa kweli maana kila risasi wanayolenga kuua sauti za wapenda maendeleo ya Taifa hili inaenda pembeni.Ufisadi wa EPA wameshindwa kuufunika,muafaka unakwenda mrama,Richmond watu wanasubiri maelezo,Mkapa anasubiriwa naye ajitetee,nyumba za serikali zirudishwe n.k.
Kwa hiyo kuonekana kwa Balali wanahisi itakuwa TSUNAMI humo chamani maana atataja wote waliokula
I personally nawajua watoto wa Balali(Samahani siwezi kwenda in details)...kwa kifupi... serikali haijawahi kumtafuta Balali na sidhani kama itamtafuta kamwe....!!!