Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
- Thread starter
- #21
Mtanganyika, kama yuko hai kwanini usilete picha, kutuambia nyumba alipo au kama alivyofanya chenge tumsikie sauti yake? Mtafutieni gazeti la leo leo apige nalo picha halafu mnitumie mwanakijijiatklhnews.com
I still stand on the original story ni mfu tu ambaye hasikiki, haonekani, na hajulikani alipo. The burden of proof is on him to show that he is alive. Otherwise, ushahidi wote wa kimazingira unaonesha kuwa alishatutoka. Serikali inawezekana inajua hilo na haijui ianzie wapi kuwaambia watanzania.
I still stand on the original story ni mfu tu ambaye hasikiki, haonekani, na hajulikani alipo. The burden of proof is on him to show that he is alive. Otherwise, ushahidi wote wa kimazingira unaonesha kuwa alishatutoka. Serikali inawezekana inajua hilo na haijui ianzie wapi kuwaambia watanzania.