Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Nimejenga hoja kuwa kama kweli wanataka kukomesha mtandao wa wahalifu katika ngazi mbalimbali za serikali na utumishi wa umma, hususan kuanzia na BoT, wampe kinga aliyekuwa Gavana wa Benki hiyo Bw. Daud Balali.
Ni hoja ndefu, unaweza kuisoma kwenye Tanzania Daima. Je, serikali watakuwa tayari kumpa kinga Balali?
Nadhani ni wazo zuri sana kumpa kinga lakini iwe na masharti kusudi asiishie mitini na kinga hiyo huku tukiambulia patupu kuhusu fedha zetu. Kinga hiyo apewe kwa masharti kuwa atoe ukweli wote kuhusu upotezu wa pesa hizo bila kuacha neno, na atusaidie kwa kutupatia taarifa zitakazotuwezeksha kuwakamata washirika wake na kuweza kurudihs fedha hizo kutoka huko zilikopelekwa. Ingawa yeye ni mmoja wao, mimi ninaweza kumsamehe yeye kama chambo cha kushikia mafisadi wengine 10 na kumwacha yeye mmoja. Bila kinga tunaweza kuambulia kumkamata yeye tu na kuwaacha mafisadi walikubuhu wakiendelea kufisadi mitaani.
Unajua, tukitaka hili jambo liende vizuri ni kutaka serikali impe kingi, maana sasa hivi wametufanya yeye ndio mbaya wetu pekee na wengi tumechukizwa naye zaidi. Lakini naamini tukibadili mwelekeo na kusema Balali apewe kinga na maelezo niliyoyatoa kwenye makala hiyo utaona kuwa hawatakuwa na wa kumlaumu.
a. Wakikubali wampe kinga, watakuwa wamempa yeye kamba wakati wao watakuwa wameweka vichwa vyao kwenye vitanzi
b. Wakikataa kumpa kinga watajikuta wanaulizwa wataweza vipi kumlazimisha aseme ukweli wote.
Binafsi naamini kama fedha zilizoibiwa ni karibi trilioni moja, I'm willing to give him immunity for his involvement in the 133mln scandal in exchange for testimony on.
- EPA
-Twin Towers
-Mwananchi
- Meremeta
- Mkapa
- Mgonja
- Mramba
- Deep Green
- Meremeta
- Helikopta za Jeshi
- Rada
- n.k n.k
I think its a price we can pay. Hata FBI walipotaka kuwasambaratisha Mafia wa hapa ilibidi watoe kinga kwa baadhi ya mafioso kama kina Gotti na Selamme.
Vinginevyo goli la JK litaendelea kusimama.
Kujibu swali lako, Mwanasheria Mkuu na IGP wanaweza kutoa kinga kwa Balali kwa kutumia sheria ya Uhujumu Uchumi na Organized Crime ya 1984...
Mimi sitaki Libalali lipewe kinga kwa sababu mijizi mingine nayo itaona sawa tu kuiba ikijua kwamba itapewa kinga kuwasemea mijizi myenzie. Mimi nasema lifungwe huko Ukonga ili liwe fundisho kwa mijizi na mifisadi mingine
Mkuu wangu MMJ,
Wossap mkuu? Huko kuna nini kinaendelea mpaka umekuwa apaologist wa Balali kiasi hiki? Kinga gani anapewa mwizi aliyetuibia na kusababisha vifo vya watoto, wazee, vilema kwa kukosa dawa kutokana na mihela aliyochota? I do not care kuhusu wengine arudi yeye kwanza bongo kujibu mashitaka yake, ama sivyo abaki huko huko asituletee balaa bure!
Hakuna kinga hapa, hatunayo kwenye sheria zetu, huko US na Kennedy wanayo hiyo kinga kwenye sheria zao, sisi bongo hatuna na hatuihitaji, kwa sababu ripoti iko very clear nani ameiba na nani hakuiba, Idd Simba, Mbilinyi, na Ngasongwa walipoiba walikamatwa na kulazimishwa kujiuzulu hatukutumia kinga yoyote, sasa iweje leo maneno ya Ballali, yalete kinga? The ripoti is very clear kuwa Mgonja, Mramba, Meghji, wanahusika na huo wizi, sasa kinga ya nini? I can understand kilio cha kutolewa full report kwa public, lakini sio maneno ya kinga, mwambieni hakuna kinga hapa, ni yeye kujibu mashitaka yatakayomsibu,
Mkuu Nyani, ahsante kwa mchango mzito hapo juu, hatutaki kinga hapa, kwa sababu wezi wote tunawajua tayari ni kina nani, kamata wote halafu weka pale Sanamu Monument mmoja baada ya mwingine kila siku saa kumi jioni, tangazia wananchi halafu weka risasi 50, ambazo ni lazima zilipiwe na familia zao ili wasituletee hasara zaidi wakiwa wanalipa malipo ya halali ya wizi wao, hiyo ndio the only kinga tunaweza kuwa-offer, ni kuwatwanga shaba tu enough, au abaki huko huko lakini hatuwezi kupangiwa na mwizi what to do!
[9:4] If the idol worshipers sign a peace treaty with you, and do not violate it, nor band together with others against you, you shall fulfill your treaty with them until the expiration date. GOD loves the righteous.