Mkuu wangu MMJ,
Wossap mkuu? Huko kuna nini kinaendelea mpaka umekuwa apaologist wa Balali kiasi hiki? Kinga gani anapewa mwizi aliyetuibia na kusababisha vifo vya watoto, wazee, vilema kwa kukosa dawa kutokana na mihela aliyochota? I do not care kuhusu wengine arudi yeye kwanza bongo kujibu mashitaka yake, ama sivyo abaki huko huko asituletee balaa bure!
Hakuna kinga hapa, hatunayo kwenye sheria zetu, huko US na Kennedy wanayo hiyo kinga kwenye sheria zao, sisi bongo hatuna na hatuihitaji, kwa sababu ripoti iko very clear nani ameiba na nani hakuiba, Idd Simba, Mbilinyi, na Ngasongwa walipoiba walikamatwa na kulazimishwa kujiuzulu hatukutumia kinga yoyote, sasa iweje leo maneno ya Ballali, yalete kinga? The ripoti is very clear kuwa Mgonja, Mramba, Meghji, wanahusika na huo wizi, sasa kinga ya nini? I can understand kilio cha kutolewa full report kwa public, lakini sio maneno ya kinga, mwambieni hakuna kinga hapa, ni yeye kujibu mashitaka yatakayomsibu,
Mkuu Nyani, ahsante kwa mchango mzito hapo juu, hatutaki kinga hapa, kwa sababu wezi wote tunawajua tayari ni kina nani, kamata wote halafu weka pale Sanamu Monument mmoja baada ya mwingine kila siku saa kumi jioni, tangazia wananchi halafu weka risasi 50, ambazo ni lazima zilipiwe na familia zao ili wasituletee hasara zaidi wakiwa wanalipa malipo ya halali ya wizi wao, hiyo ndio the only kinga tunaweza kuwa-offer, ni kuwatwanga shaba tu enough, au abaki huko huko lakini hatuwezi kupangiwa na mwizi what to do!