Balance ya maendeleo ikikosekana Dar itakuwa kimbilio la kila mtu mpaka wasio na ajira

Balance ya maendeleo ikikosekana Dar itakuwa kimbilio la kila mtu mpaka wasio na ajira

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
Kama umebahatika kuingia mikoani na vitongoji ndani ndani unaona kabisa watu wanaishi tu basi ila tu sababu wapo kutafuta mkate na ukiangalia kila familia iliyopo mkoani kazi ya ndugu 1-9 wote wapo Dar.

Sababu zinazopelekea Dar kila mtu kuwepo ni kutobalance huduma na maendeleo vyuo vizuri vipo Dar, huduma safi zote zipo Dar, miundombinu yote hipo Dar, rasilimali zilipo tanzania mnufaika ni Dar.

Ukifika mikoa inayopakana na nchi mbalimbali zinazotuzunguka unaona kabisa zilvochoka ila kwa nchi za wenzetu ni tofauti kabisa.
 
Mpaka leo Wale wadada wakihaya pale Mwananyamala hawataki kurudi Bukoba
 
Mbona Dodoma serikali imehamia ila watu hawakimbilii?

Dodoma itakuwa na miundombinu bora
 
Mbona Dodoma serikali imehamia ila watu hawakimbilii?
Dodoma itakuwa na miundombinu bora

Dodoma sio solution kuwa umebalance.kuna sehemu zenye uitaji wa kupeleka maendeleo ila zinaachwa.
maendeleo yanachangiwa na watu si serikali.bali serikali inawajibu kuangalia
 
Dodoma sio solution kuwa umebalance.kuna sehemu zenye uitaji wa kupeleka maendeleo ila zinaachwa.
maendeleo yanachangiwa na watu si serikali.bali serikali inawajibu kuangalia
Ujue sababu kubwa ni kwamba Dsm ina watu wengi ni sawa na watu wote wa Mwanza na Dodoma. Na Dsm yote ni kama jiji, hakuna vijiji.
 
Ujue sababu kubwa ni kwamba Dsm ina watu wengi ni sawa na watu wote wa Mwanza na Dodoma. Na Dsm yote ni kama jiji, hakuna vijiji.
Sio tatizo ila kuna siku tutashindwa kuzibiti dar kama tulivochelewa .leo unaona dodoma kama hatua zingechuliwa miaka 20 iliyopita tusingekuwa tuna lalamika .hiyo miaka 20 dar ilikuweje ukilinganisha na sasa
 
Back
Top Bottom