Lakini kutoweka balcony unaokoa pesa nyingi pia eneo.Hiyo ni plan ya nyumba za nchi za baridi.
Kule balcony ni kujitesa, balcony ya nini wakati kuna baridi ya kuua mtu.
Njoo bongo bwana, upepo mwanana, bila balcony hujafaidi breeze ya the Indian Ocean.
Balcony inakaa juu inamaliza eneo gani?Lakini kutoweka balcony unaokoa pesa nyingi pia eneo.
Katika ramani hii, ilipo sebule chini juu ni chumba cha kulala sasa balcony ingekuwa ni extension.Hio balcony inachukua nafasi gani kwenye hio 1/4 eka kiasi cha kushindwa kuiweka kwenye ramani? Halafu balcony si iko ghorofa ya juu sasa inamalizaje nafasi?
Ni kweli lakini ukiwa na nafasi lazima kuishi kwenye nyumba in style.Lakini kutoweka balcony unaokoa pesa nyingi pia eneo.
Ramani za kwenye baridi, tangu awali hawakuplan balcony. Wangetaka ingepatikana bila extension.Katika ramani hii, ilipo sebule chini juu ni chumba cha kulala sasa balcony ingekuwa ni extension.
Maintain eye gani hapa kama ni kusafisha madirisha kwa nje unapanda na tractor la Kijiko.Dada unajenga vipi ghorofa bila balcony? Yaan ushindwe kuangalia mandhari ya nje ukiwa nje n kupunga upepo? Wengine hufanya hadi sherehe hapo kwenye balcony
Pia nyumba bila balcony haiwezi kuonekana nzuri
Gharama ya kukodi kijiko kwa siku ni 700,000/- bado hujamlipa Operator kwa siku 50,000/- yote ya nini kwanini usiweke balcony sasaMaintain eye gani hapa kama ni kusafisha madirisha kwa nje unapanda na tractor la Kijiko.
Ushajiuliza usafi wamadirisha utakuwaje nduguLakini kutoweka balcony unaokoa pesa nyingi pia eneo.
Sawa ndugu unajua michango ya watu wengi humu kila mtu anachangia kutokana na maisha yake ndio maana mimi naweza kujiuliza mara zote za kufanya usafi atakuwa na pesa? Hii yote niumasikini wetu.Wapo wasafisha madirisha unawakodi. Wana vifaa maalum.