Baleke kwa Nabi ni benchi

Baleke kwa Nabi ni benchi

Hata huyo Inonga mwenyewe atapata namba iwapo tu Job na Bacca wawe na majeraha. Kinyume na hapo, na yeye benchi linamhusu.
Hata hivyo wakafanye nini huko kwenye timu ndogondogo hizo. Hadhi yao ni kucheza timu kubwa 1 hadi 10 kwa ubora na mashindano makubwa Afrika.

Nabi mwenyewe hawezi kubali kufundisha watu walio juu ya uwezo wake. Sawa na mwl wa s/m mwenye Cheti umwambie akafundishe wanafunzi wa form six ambao ki uhalisia wanapaswa kumfundisha yeye . Sidhani kama atakubali
 
Hawezi kupata namba kwasababu sio hadhi yake kuchezea timu ndogo
Hata hivyo wakafanye nini huko kwenye timu ndogondogo hizo. Hadhi yao ni kucheza timu kubwa 1 hadi 10 kwa ubora na mashindano makubwa Afrika.

Nabi mwenyewe hawezi kubali kufundisha watu walio juu ya uwezo wake. Sawa na mwl wa s/m mwenye Cheti umwambie akafundishe wanafunzi wa form six ambao ki uhalisia wanapaswa kumfundisha yeye . Sidhani kama atakubali
Huwa napenda sana aina hii ya utani wa jadi. Hakuna kutukanana, wala nini. Tunajibizana kwa hoja za utani, maisha yanaendelea.

Hongereni sana watani wenzangu kwa kuiheshimisha jamii forums. Watoto wakiona umeandika tofauti na akili zao za kitoto, wanakimbilia kutukana baba zao! Na wakati kuna baadhi ga hoja humu ni za utani tu.
 
Nabi hana uwezo wakuwafundisha Baleke na Chama, level zake nikina Kibwana
We sema kweli!!
JamiiForums-1916240379.jpg
 
Punguza ushabiki akili zinakupungua!

Inonga Hana namba Yanga, Utopolo tuko kikazi zaidi tunahesabu pointi hatuchezi kufurahisha jukwaani kama Inonga kakalia masifa timu yake wanaitoboa tu ukuta mbovu !

Mayele hakuna straika wa kumlinganisha nae angalia jinsi ana kipaji mwaka Jana kakiwasha sana na mwaka huu moto wake ni WA gesi Mpole kakata pumzi! Hao ndondo kina Baleke si level ya Mayele rudisha akili yako kichwani! Mchezaji anastahili kukaa nyuma ya Mayele ni Abdul Sopu wa Azam dogo anajua kutafuta goli na ana kipaji halisi ana mbio ana chenga anapasua ukuta Sasa Eng Hersi sijui hamuoni au? Abdul Sopu ndie mbadala wa Feisal sio Mudathir maana Mudathir ni kiungo mkabaji namba kumi Yanga Iko wazi baada ya Feitoto kutimka na nafasi ni ya Sopu kwa akili zangu za utopoloni! Sipati picha combination ya Mayele, Musonda na Sopu hatoki mtu hata Barcelona wanakaa!!

Yanga Si timu ya kubeza meza hiyo dawa japo ni chungu!

Chukua clip za mechi za Yanga vs Al Hilal Kisha hesabu ni mara ngapi Al Hilal walijiangusha kisha hesabu dakika ngapi zilipotea halafu angalia kujiangusha kwao kuliharibu ladha ya mpira kiasi Gani na kuliwasumbua wachezaji wa Yanga kwa kiasi Gani ule haukuwa mpira be smart.

Yanga haikutolewa na Al Hilal kwa kuzidiwa mpira Bali Al Hilal kucheza mchezo wa kuanguka na Si mchezo wa soka na ndo Maana wametolewa pia na wao! Tulijua kwa dizaini Ile hawafiki popote.

Mwakani tutawafunga midomo Maana Winner Takes All Yani Yanga ni mabingwa Kila kitu ni chetu , mtanyamaza tu Yanga Iko na action tu nyie makelele tu timu hamna! Kombe hamna, Kocha hamna, pesa hamna!!

Tunahitaji kuripoti CAF kuwa kombe la klabu bingwa kuanzia Sasa zicheze timu bingwa tu nchini mwao tuone kama Simba itacheza Maana Simba si bingwa Tanzania , kwani Simba ni bingwa wa nchi Gani? ifikie mahali Makolo fc muone aibu kujitapa sana mko klabu bingwa wakati hata harufu ya kombe la ubingwa Tanzania bara hamuijui!! Kweli mikia wote mbumbumbu!!

Yanga tunakiwasha home and away hata ulete Real Madrid, Brazil , Nigeria, Bulgaria, sijui Denmark au Bayern wakicheza fair , open football kwa Mkapa wanakaa!

Siku hizi "tatu mzuka fc" mmekoma Raja kawakomesha hamsemi Tena kwa Mkapa hatoki mtu!

Acha kubeza timu ambayo huwezi kuifunga tangu Nabi atue Jangwani!

Kaoge ulale ndiyo shida ya kula ugali wa shemeji mchana kutwa kubwabwaja .
 
Yanga mnaokoteza magarasa tokea Congo hamuishi kujisifia hapa.
 
Hapa ndo unazidi kuonesha u hamnazo wa mautopolo. Sasa kama Yanga ndiye bingwa wa Tz imekuwaje tena acheze kombe la loosers halafu asiye bingwa hadi sasa Yuko robo fainali ya klabu bingwa?

Ndipo ujue sasa hata huo ubingwa wenu mnaupata kwa mipango ya nje ya uwanja (janjajanja) .GSM kudhamini ligi ya NBC mwaka jana na baadhi ya vilabu ktk ligi Moja nayo ni sababu nyingine .
Kati ya Yanga na Simba nani msimu huu anashiriki mashindano ya Kimataifa kama losser?

Wakati sakhor anashinda gori bora la mwaka CAF alifunga akiwa kwenye mashindano gani?
 
Punguza ushabiki akili zinakupungua!

Inonga Hana namba Yanga, Utopolo tuko kikazi zaidi tunahesabu pointi hatuchezi kufurahisha jukwaani kama Inonga kakalia masifa timu yake wanaitoboa tu ukuta mbovu !

Mayele hakuna straika wa kumlinganisha nae angalia jinsi ana kipaji mwaka Jana kakiwasha sana na mwaka huu moto wake ni WA gesi Mpole kakata pumzi! Hao ndondo kina Baleke si level ya Mayele rudisha akili yako kichwani! Mchezaji anastahili kukaa nyuma ya Mayele ni Abdul Sopu wa Azam dogo anajua kutafuta goli na ana kipaji halisi ana mbio ana chenga anapasua ukuta Sasa Eng Hersi sijui hamuoni au? Abdul Sopu ndie mbadala wa Feisal sio Mudathir maana Mudathir ni kiungo mkabaji namba kumi Yanga Iko wazi baada ya Feitoto kutimka na nafasi ni ya Sopu kwa akili zangu za utopoloni! Sipati picha combination ya Mayele, Musonda na Sopu hatoki mtu hata Barcelona wanakaa!!

Yanga Si timu ya kubeza meza hiyo dawa japo ni chungu!

Chukua clip za mechi za Yanga vs Al Hilal Kisha hesabu ni mara ngapi Al Hilal walijiangusha kisha hesabu dakika ngapi zilipotea halafu angalia kujiangusha kwao kuliharibu ladha ya mpira kiasi Gani na kuliwasumbua wachezaji wa Yanga kwa kiasi Gani ule haukuwa mpira be smart.

Yanga haikutolewa na Al Hilal kwa kuzidiwa mpira Bali Al Hilal kucheza mchezo wa kuanguka na Si mchezo wa soka na ndo Maana wametolewa pia na wao! Tulijua kwa dizaini Ile hawafiki popote.

Mwakani tutawafunga midomo Maana Winner Takes All Yani Yanga ni mabingwa Kila kitu ni chetu , mtanyamaza tu Yanga Iko na action tu nyie makelele tu timu hamna! Kombe hamna, Kocha hamna, pesa hamna!!

Tunahitaji kuripoti CAF kuwa kombe la klabu bingwa kuanzia Sasa zicheze timu bingwa tu nchini mwao tuone kama Simba itacheza Maana Simba si bingwa Tanzania , kwani Simba ni bingwa wa nchi Gani? ifikie mahali Makolo fc muone aibu kujitapa sana mko klabu bingwa wakati hata harufu ya kombe la ubingwa Tanzania bara hamuijui!! Kweli mikia wote mbumbumbu!!

Yanga tunakiwasha home and away hata ulete Real Madrid, Brazil , Nigeria, Bulgaria, sijui Denmark au Bayern wakicheza fair , open football kwa Mkapa wanakaa!

Siku hizi "tatu mzuka fc" mmekoma Raja kawakomesha hamsemi Tena kwa Mkapa hatoki mtu!

Acha kubeza timu ambayo huwezi kuifunga tangu Nabi atue Jangwani!

Daah!! Kumbe kweli bana niwawili tu huko kwenu
 
Daah!! Kumbe kweli bana niwawili tu huko kwenu
Hiyo sijui wenye akili wawili TU utopoloni tayari imechacha masimba tatu mzuka fc tafuteni msemo mwingine wa kujifariji, kombe hamna, kocha hamna, wachezaji wazee kina Onyango pesa hamna! Mmebaki matusi na kelele tu!

tarehe 16 April kama Kawa tutawabutua na Wydad mnapigwa nje ndani tatu mzuka Kwa mara ingine!

Hivi kwasasa Makolo fc mna kipi Cha kujivunia mnacheza klabu bingwa wakati hata kombe la ubingwa wa ndondo cup hamna!!

Pole sana mikia fc wote!
 
Kuna wakati Ushabiki wa jambo ukizidi huleta upofu wa kufikiri na kudadavua mambo. Hao Wachezaji wa Yanga wangekua na Uwezo Uwanjani Yanga ingekua inacheza Champions League lkn kwakuwa ni Magarasa yanayobebwa na Mipango ya Nje ya Uwanja yapo Loosers Cup.
Tumia akili ya Mpira kufikiri, huwez Mlinganisha Inonga na Job au Mwamnyeto kwa kifupi pale Yanga hakuna beki wa kumweka Inonga kwenye mbao ndefu. Baleke na Mayele ni 50/50 time will tell
Bora usemee wee.
 
Back
Top Bottom