Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muwe makini Yanag wasiwazidi dau, maana kazi ya kuresearch anawaachia nyie ila yeye anaweka mzigo tu.Vyovyote itakavyokuwa Simba TUTASAJILI ZAIDI YAKE
tumeanza mazungumzo na mshambuliaji mmoja kutoka Kongo.
Inonga amesuka dili
Yanga pesa zipo kwa sasa, hakuna bakuli tenaKwa akili ya mchezaji utoke simba uende yanga utakuwa na akili kweli
Yanga pesa zipo kwa sasa, hakuna bakuli tena
Mudi akitoa ofa ya mshahara milioni 10 na Gsm atoe ofa ya milioni 20 hapo kuna kubaki Simba ?
Homework ya kutafuta wachezaji wazuri anaachiwa simba lakini Yanga huwa anakuja kuweka mzigo tu, Muda huo Simba wana negotiate Yanga anatia mzigo
Sehemu sahihi ni kwenda kwenye mshahara wa kumuandalia mchezaji maisha yenye nafuu baada ya kustaafu.
Hao kina Morrison, Kakolonya, ni zamani wakati Yanga imefulia, kwasa sasa mambo yamenyooka.Ilikuwa zaman miqson bwalya kakolanya Morrison
Hzo timu kila anayekula na hela huiba mchezaji
Unatunga uongo kwa maslahi ya nani, au ni chawa wa mwamediVyovyote itakavyokuwa Simba TUTASAJILI ZAIDI YAKE
tumeanza mazungumzo na mshambuliaji mmoja kutoka Kongo.
Inonga amesuka dili
Unafikiri mchezaji anaangalia hayo watu wanaangalia wapi kwenye mpunga mrefu mkuuKwa akili ya mchezaji utoke simba uende yanga utakuwa na akili kweli
Kelvin yondani, Ibrahim Ajib, Amis Tambwe, na wengineo wengi! Walitoka simba na wakacheza kwa kiwango cha juu kabisa kwenye timu ya Wananchi! Na walikuwa na akili zao timamu.Kwa akili ya mchezaji utoke simba uende yanga utakuwa na akili kweli