Balile: Kwa miaka sita mfululizo Tanzania ilikuwa na anguko la uhuru wa vyombo vya habari mpaka Rais Samia ulipolidhibiti

Balile: Kwa miaka sita mfululizo Tanzania ilikuwa na anguko la uhuru wa vyombo vya habari mpaka Rais Samia ulipolidhibiti

Watu kama Balile wanajiingiza katika upumbavu huu...Magufuli ni rais bora aliyekuwa anafuata sana sheria.Kama tuliruhusu sheria kandamizi kubaki mtawalaumu sana wanaofuata sheria...Kiongozi asiyefuata sheria au tunategemea atumie busara zake sio sawa.Pambaneni sheria zibadilike ili atakayeenda kinyume tumtafsiri moja moja kama dikteta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania akiwa Arusha kwenye siku ya uhuru wa vyombo vya habari duniani amesema ripoti zinasema kulikuwa na anguko wa uhuru wa vyombo vya habari nchini kwa miaka sita mfululizo lakini sasa hali inatia matumaini.

Balile amesema anguko lilikuwa linaendelea kuelekea kusikojulikana mpaka Rais Samia alipoingia madarakani na kulilidhibiti.

Balile amesema Tanzania haitashuka tena kwenye uhuru wa vyombo vya habari.

View attachment 2209701
Kweli kabisa
 
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania akiwa Arusha kwenye siku ya uhuru wa vyombo vya habari duniani amesema ripoti zinasema kulikuwa na anguko wa uhuru wa vyombo vya habari nchini kwa miaka sita mfululizo lakini sasa hali inatia matumaini.

Balile amesema anguko lilikuwa linaendelea kuelekea kusikojulikana mpaka Rais Samia alipoingia madarakani na kulilidhibiti.

Balile amesema Tanzania haitashuka tena kwenye uhuru wa vyombo vya habari.

View attachment 2209701
Screenshot_20220503-193948.png


Balile atakuwa amepata ujumbe wake
 
Sasa huyo Balile mbona anajifanya haelewi Kiswahili, mama "kadhibiti" au kaondoa udhibiti uliowekwa na Magufuli, mama karuhusu siyo "kadhibiti". Aache lugha za kijinga, awe mkweli na muwazi tu, asiwe kama panya kuuma na kupuliza.
Anasema mama kadhibiti anguko la vyombo vya habari!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Ujanja mwingi huondoa maarifa!
 
Anasema mama kadhibiti anguko la vyombo vya habari!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Ujanja mwingi huondoa maarifa!
Huko ndiko kuuma na kupuliza, aseme tu mama karuhusu uhuru wa vyombo vya habari na kavifungulia vilivyokuwa vimefungwa. Huko ni kucheza na maneno, nafsi huwa haisuti.

Neno kudhibiti lina sehemu zake siyo katika huo upupu unaousema wewe.
 
Huyu jamaa kipindi cha miaka 6 iliyopita si alikuwa anasifia kila kitu[emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom