Kweli kabisaMwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania akiwa Arusha kwenye siku ya uhuru wa vyombo vya habari duniani amesema ripoti zinasema kulikuwa na anguko wa uhuru wa vyombo vya habari nchini kwa miaka sita mfululizo lakini sasa hali inatia matumaini.
Balile amesema anguko lilikuwa linaendelea kuelekea kusikojulikana mpaka Rais Samia alipoingia madarakani na kulilidhibiti.
Balile amesema Tanzania haitashuka tena kwenye uhuru wa vyombo vya habari.
View attachment 2209701
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania akiwa Arusha kwenye siku ya uhuru wa vyombo vya habari duniani amesema ripoti zinasema kulikuwa na anguko wa uhuru wa vyombo vya habari nchini kwa miaka sita mfululizo lakini sasa hali inatia matumaini.
Balile amesema anguko lilikuwa linaendelea kuelekea kusikojulikana mpaka Rais Samia alipoingia madarakani na kulilidhibiti.
Balile amesema Tanzania haitashuka tena kwenye uhuru wa vyombo vya habari.
View attachment 2209701
Anasema mama kadhibiti anguko la vyombo vya habari!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Ujanja mwingi huondoa maarifa!Sasa huyo Balile mbona anajifanya haelewi Kiswahili, mama "kadhibiti" au kaondoa udhibiti uliowekwa na Magufuli, mama karuhusu siyo "kadhibiti". Aache lugha za kijinga, awe mkweli na muwazi tu, asiwe kama panya kuuma na kupuliza.
Huko ndiko kuuma na kupuliza, aseme tu mama karuhusu uhuru wa vyombo vya habari na kavifungulia vilivyokuwa vimefungwa. Huko ni kucheza na maneno, nafsi huwa haisuti.Anasema mama kadhibiti anguko la vyombo vya habari!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Ujanja mwingi huondoa maarifa!