Tena ambayo ingeisha uchumi ungepaa kama taiMatumizi ya fedha hizo za mkopo yameonekana kupitia miradi mbalimbali ya maendeleo nchi nzima
JPM Anastahili pongezi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena ambayo ingeisha uchumi ungepaa kama taiMatumizi ya fedha hizo za mkopo yameonekana kupitia miradi mbalimbali ya maendeleo nchi nzima
JPM Anastahili pongezi
Yaani uwanja wa chato utakuja kuwa na msaada? mko serious kweli? umewauliza wakongo kuhusu uwanja wa Mobutu?Yeah japo mnaponda ila aheri kufanya vitu vinavyoonekana! Hautakuwa na maana leo ila mbeleni utakuja kusaidia watu!
Kwani angetaka hela zile aweke mfukoni au agawane na jamaa zake angeshindwa?
Mkopo una riba.Asante sana umemswalika vizuri.
Kikwete wanajidai kumkumbuka lakini wawaambia hakuna Rais dhaifu kama kikwete katika nchi hii hata Mama anamzidi! Ni mtu ambaye alikuwa hajui hata anafanya nini?Watu wengine wajinga Sana mkuu anadhani anadanganya watoto tofauti ya Deni hili na Yale anayodhani yalikuwa madogo Ni fedha ilitumika kufanyia Nini, Kuna wakati tulifika mahali tukawa tunakopa ili kulipa mishahara. Kwa ujumla bin adamu Hana shukurani.
Nakubaliana sana na weweKuna tofauti ya kukopa kwa riba na kutumia fedha zako za mapato yako.
Tofauti ni kwamba mkopo una gharama ya ziada iitwayo riba.
Haikuwa sahihi kuaminisha uma kuwa ni fedha za ndani ilihali ni mikopo. Pale raisi wetu JPM alitupotosha hata tukimtetea kwa nguvu zote ila ukweli ni kuwa katika hili alikosea.
Yeye si Mungu ni binadamu, anafanya makosa. Nadhani Katiba yetu ina udhaifu sana kuruhusu mtu mmoja kuamua mwelekeo wa nchi.
Mkuu si Kama umemuelewa vizuri ndugu Balile,tatizo siyo miradi mingi ya maendeleo slitoianzisha ndugu MAGUFULI,tatizo ni kutuaminisha kuwa miradi yote inayotekelezwa na awamu ya 5 ni fedha zetu za ndani,hatukopi kwa MABEBERU Tena tutembee kifua mbele sisi Ni Donor cantry,Tupe na thamani ya miradi iliyotokana na deni, kama uwiano wa deni na uchumi kukua ni 30% huko kutendwa kunatokeaje?
Anzia upanuzi wa bandari, SGR, Upanuzi wa highways, mabarabara ya mitaa, stand za mabasi nchi nzima, New mwendokasi roads, vituo vya afya nchi nzima, Hospitali za wilaya nchi nzima, Mashule, Ndege, upanuzi wa viwanja, ujenzi wa Dodoma plus Ikulu ya Chamino, usambazaji umeme kila kijiji, vivutio vya utalii, Hydropower ya Nyerere na vingine vingi. Ulitegemea hela haitumiki?
Then go back angalia uwiano wa uchumi na ukuaji wa madeni! Njoo kwenye probability means of return. Angalia makusanyo per annual sio kuandika kinafiki.
Unafiki mtupu! Kwani wakati JPM yupo hiyo tovuti ya BoT haikuwepo?Lakini ameanika.ukweli
Akili hizi yaani unaanza kujenga halafu unafikiria chakufanyiaKwa ulie fikia ukomo wa kufikiri Kama wewe hauna faida, kwa waliofungua akili na kuwa na mawazo chanya unafaida kubwa Sana Ni suala la kuamua tu.
Tuna kikosi Cha anga pale Mwanza vipi kikihamishiwa chato tukaachana na huo uwanja wa kiraia.
Nchi yetu Haina uwanja mkubwa wa kijeshi ndio huo hapo sasa tunashindwa kuutumia.
Tusijiruhusu kuwa Ziro brain kuwa na mawazo hasi na lawama kibao,tuwaze chanya tusonge mbele.
Wewe hujui hivi wewe unafikiri Chato ni kijiji? Endelea kusikiliza wapuuzi hapa! Chato ina miji kama Katoro kuna watu wanahela ya kupanda ndege na wanafata bidhaa China!Yaani uwanja wa chato utakuja kuwa na msaada? mko serious kweli? umewauliza wakongo kuhusu uwanja wa Mobutu?
Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
Tatizo lako hujui maana ya pesa za ndani. Nyumbani kwako ukikopa benki ukajenga nyumba na kulipa deni kwa mshahara wako utasema benk ilikujengea??????????????????????????????????????????????? hebu ujisumbue kidogo kufikiri bhana
Wewe unatabia ya kuona watu wa Chato na Geita hawana hela ya kupanda ndege! Nakujulisha tu huko vijana wanapesa kuliko hata huko uliko! Tembea chi hii ni kubwa usikariri maisha!Akili hizi yaani unaanza kujenga halafu unafikiria chakufanyia
Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
Wewe kufuata bidhaa China unaona ni ishu sana hadi mletewe uwanja wa ndege?? kuwa serious wewe jamaaWewe hujui hivi wewe unafikiri Chato ni kijiji? Endelea kusikiliza wapuuzi hapa! Chato ina miji kama Katoro kuna watu wanahela ya kupanda ndege na wanafata bidhaa China!
Baba la uongo, wanawe walikuwa hawa akina Polepole, Bashiru, Kabudi, Bashite! Akawarithisha hiyo tabia hadi watu wenye heshima zao kwenye jamii kama akina Majaliwa, Dorothy, Mpango na wafuata upepo wengineSijapata kuona Rais Muongo kama Hayati [emoji3][emoji3][emoji3]
Unaona kama anataka kwenda China si lazima apande ndege kwenda dar ndo achukue fulaiti ya China! Mkuu sisi tumezunguka nchi hii! Watu wa mikoa hiyo ya Geita na mikoa jirani watautumia uwanja maana wako vizuri! Ukitaka kujua nenda huko geita ukaone watu walivyo na pesa! Usifikiri kupanda mwendo kasi ndo ujanja!Wewe kufuata bidhaa China unaona ni ishu sana hadi mletewe uwanja wa ndege?? kuwa serious wewe jamaa
Sidhani Kama Swali Lako Litajibika, Kwa mtazamo wangu ni irrelevant ktk context ya development financing.Kwani deni linalipwa na pesa za nje?
Ni msaada tu ndio huwa za nje, borrowed zote ni za ndani. Unachanga unalipa... ukikamilisha mradi ni wako.
We ukikopa ukajenga nyumba then ukikamilisha mkopo ni bank imekujengea au we mwenyewe?
Jamaa wa hovyo ni yule anae pewa taarifa za hovyo nakuzipokea kama zilivyo Kama wewe..
Naweza kusema wewe na mleta mada ni watu wa hovyo sana kuwahi kutokea jf.View attachment 1987985
Nimesikitika sana kusikia mikopo ilikopwa kwa masharti ya kibiashara na ya mda mfupi kiasi hicho huku huku Aliyekuwa Rais anadanganya.Magufuli katutenda deni la taifa, trilioni 78 Samia msalabani
Jamhuri October 26, 2021
Na Deodatus Balile
Kazi hii ya uandishi wa habari moja ya majukumu yake ni kuanika ukweli minong’ono inapotawala katika jamii.