Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Kwa mtazamo wako, kati ya Dodoma na Chato wapi palistahili kuanza kujengwa sehemu ya kutua ndege kubwa? Maana challenge kubwa leo hii ya Dodoma ni kwamba kuna baadhi ya ndege haziwezi kutua pale, leo hii ikitokea Putin anakuja TZ itamlazimu Rais akampokee DSM or (Chato!!!!)!! Uwanja wa chato haukuwa na sababu ya kuharakishwa kwa namna jamaa aliuharakisha...Unaona kama anataka kwenda China si lazima apande ndege kwenda dar ndo achukue fulaiti ya China! Mkuu sisi tumezunguka nchi hii! Watu wa mikoa hiyo ya Geita na mikoa jirani watautumia uwanja maana wako vizuri! Ukitaka kujua nenda huko geita ukaone watu walivyo na pesa! Usifikiri kupanda mwendo kasi ndo ujanja!