Balile: Magufuli katutenda, deni la nje lafikia shilingi Trillion 78

Jibu hoja zake kwanza.
1. Kwa nini alitudanganya kuwa hatukopi bali tunajenga kwa kodi zetu wenyewe?
2. Kwa nini alikopa mikopo yenye riba kubwa ya kibiashara?
 
Nimewaza nikujibu nini,nikaona nikuache na upumbavu uliorithi kwa bibi yako!
 
🤣
 
London tena? We si umesema IMF na World Bank?!!

Au baada ya kukuambia wahusika ni UK, US na Swiss Financial Regulators ndo ukaamua kwenda ku-Google kuja kunipa "darasa"?

And guess what... in case you don't know, hicho ulichoongea hakina ukweli wowote!!
 
Mikopo yooote ya JPM tunajua ilifanya nini nakila mtanzania anaiona na iliyokamilika anaifaidi. Tunasubiri isiyokamilika kama JKN Hydro dam ikamilike mwezi ujao. (ingawa kwa huyu mama na akina January wake-nina mashaka!)
Unaweza kunitajia hapa hiyo iliyokamilika ambayo ni matunda ya JPM?!
 
Afadhali kuchelewa kuliko kutokufika kabisa, kwa maana nyingine afadhali ametueleza sasa kuliko kukaa kimya kabisa
 
Will be back in two hours, soma tena extended post.

Ungekuwa unafahamu masharti ya IMF na WB, pertaining DSA (Debt Sustainability Analysis) na frameworks zingine kabla ya kukopesha nchi maskini; ndio ungeelewa misingi ya hiyo ruling na makosa ya Credit Suisse.

Kuna commitment hapa za kutimiza first, laters.
 
Kwa hiyo ulitaka anyamaze ili wewe useme au? Kwa kuamua kuwajulisha watanzania wenzake hali halisi ya uchumi na changamoto za viongozi wetu wewe inakuuma nini hasa?? Watanzania wengi, ikiwemo wewe pengine ni wavivu sana wa kusoma vitu, mwenzetu ameingia tovuti ya BOT since 2000 to date na kutuwekea ugali ulioiva na nyama choma mezani sisi kazi yetu ni kula tuu, bado wewe unakereka daaah kweli bongo bahati mbaya aisee [emoji119][emoji119]
 
Yeye kafanya wajibu wake, hilo na wewe si ulifanya tatizo liko wapi hapo? Au ndo yale yale ya mimi mjuaji huku waungua na jua?
 
1.Mama yako alikudanganya mara ngapi ukavae viatu anakusubiri nje na hukumkuta ulipotoka? Japo ulilia sana je, uliwahi kumsema wapi?

2.Mkopo ni mkopo na riba ndo utaratibu wake, inategemea na urgency ya hela! Ukitaka upewe hela za haraka lazma ulipe riba kubwa unless ukakope falme za kiarabu ambako hawana riba!
Jibu hoja zake kwanza.
1. Kwa nini alitudanganya kuwa hatukopi bali tunajenga kwa kodi zetu wenyewe?
2. Kwa nini alikopa mikopo yenye riba kubwa ya kibiashara?
 
Jibu hoja, kwa nini akope kwenye mabenki ya biashara yenye riba za 6 % na zaidi? Kwa nini kukopa ilikuwa ni siri yake mwenyewe? Rais SSH ameweka wazi matumizi yoooteee ya mkopo wa juzi wa Trilioni 1.3 yaani kila mtanzania anajua, sasa ni kipi kilimfanya mwendazake kila kitu kiwe ni siri yake??
 
Kwani deni linalipwa na pesa za nje?

Ni msaada tu ndio huwa za nje, borrowed zote ni za ndani. Unachanga unalipa... ukikamilisha mradi ni wako.

We ukikopa ukajenga nyumba then ukikamilisha mkopo ni bank imekujengea au we mwenyewe?
You missed the point... Alisema fedha za ndani kwa maana kwamba hatujakopa na mara kwa mara alisikika akisema sisi ni matajiri.
 
Kwa nini miradi inasuasua wakati mwendazake alikopa Trilioni 29 in five years period? Mama SSH hiyo miradi kaikuta, sasa tuambie wewe hizo 29 Trilioni zilizokopwa kwenye commercial banks zimefanya kazi zipi na zipi?
 
Balile ameniacha hoi: Hivi ni kweli hata Mwanasheria Mkuu wa Serikali alikuwa hajui kama baada ya kifo cha JPM katiba inaelekeza Samia, yaani Makamu wa Rais ndiye alipaswa kuapishwa kuwa Rais mpaka yeye alipohojiwa TBC sijui na wapi?
 
Walinda legacy wamechachamaa! [emoji16][emoji16][emoji16]

Magufuli alikuwa anakopa utadhani hakuna kesho!

Aina ya mikopo aliyokuwa akichukua Magufuli siyo ya masharti nafuu ni kitanzi kitupu!

Kwan hilo deni lililokuepo kabla hajaingia lilisababishwa na nn !! S atleast maguful tunaona na vitu vilivofanyka!mtutolee utopolo
 
Acha mbwembwe...

Ungekuwa unafahamu basi ungeonesha ufahamu wako from the very first post!!

Nimekukosoa kwa jambo la wazi kabisa ndo unataka kuleta habari za masharti ya IMF...

Ni yupi unayetarajia kumdanganya kwamba masharti ya IMF ni mabaya zaidi kulinganisha na yale ya benki zilizo sekta binafsi?!
 

We ndo utueleezee vizuri unadhan imeenda wap!! Maana transaction zote za serikali n documented!! Kama unadhan kuna upotevu wa hela n sh ngap
 
Shida ya Magufuli alipenda pesa ya wazungu lakini masharti alikuwa hayapendi, ndio maana akaangukia kwenye mikopo umiza. Serikali inakopaje mikopo ya muda mfupi hivyo tena kwa riba ya 8%??

Huko alikoenda kama kuna kufa tena, afe tu again.

Ndiyo maana watu wanalilia KATIBA iliyojitosheleza!!! Haya mambo yasingetokea kama Bunge letu lilikuwa sio la mazuzu.
If we had strong institutions these poor decisions that Magufuli made would have been nipped in the bud!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…