Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Kwa nini mnalazimisha mtu atawale kama Magu? Nyie jamaa vipi? Unadhani walioweka ukomo wa uongozi ni wajinga? Miaka yako 10 tawala vile unaamini, ikiisha unapisha mwingine atawale anavyoamini, mazuri yako atayaendeleza and mabaya yatapigwa chini, na itaendelea hivyo!!Zuzu mwingine (in Assad voice).
Hivi unadhani mabeberu ata kwa kupitia private banks yanakopesha nchi maskini bila ya IMF na WB kufanya stress test kama unaweza kulipa madeni yako huko mbele based on your tax collections.
Samia siyo Magu na hawezi kutawala kama Magu, huo ndiyo ukweli!! Na baada ya Samia atakuja mwingine naye hatatawala kama Samia!! Huu upuuzi wenu wa kumgeuza Magu SI Unit ya kutawala TZ hakuna ataufuata!! Kwanza bora hata ya Samia anajitahidi kuendeleza mamiradi hewa ya Magu, Magu yeye kutwa alikuwa anapita kuwatukana watangulizi wake...