Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo ndio swali kubwa lakini watu hawatakuelewa wao watadhani kuwa unataka tu kumuumbua mwendazakeHayati alitwambia tunajenga hivyo vitu kwa pesa za ndani - Sasa deni la Taifa inakuwaje limekuwa kubwa namna hii?
Tupe na thamani ya miradi iliyotokana na deni, kama uwiano wa deni na uchumi kukua ni 30% huko kutendwa kunatokeaje?
Anzia upanuzi wa bandari, SGR, Upanuzi wa highways, mabarabara ya mitaa, stand za mabasi nchi nzima, New mwendokasi roads, vituo vya afya nchi nzima, Hospitali za wilaya nchi nzima, Mashule, Ndege, upanuzi wa viwanja, ujenzi wa Dodoma plus Ikulu ya Chamino, usambazaji umeme kila kijiji, vivutio vya utalii, Hydropower ya Nyerere na vingine vingi. Ulitegemea hela haitumiki?
Then go back angalia uwiano wa uchumi na ukuaji wa madeni! Njoo kwenye probability means of return. Angalia makusanyo per annual sio kuandika kinafiki.
Asante sana umemswalika vizuri.Kwani deni linalipwa na pesa za nje?
Ni msaada tu ndio huwa za nje, borrowed zote ni za ndani. Unachanga unalipa... ukikamilisha mradi ni wako.
We ukikopa ukajenga nyumba then ukikamilisha mkopo ni bank imekujengea au we mwenyewe?
Balile ni mnafiki sanaaa.kila kukicha alikua anampamba jiwe, leo kafa anajifanya kidumeMzee wakati wa Mwendazake hiyo tovuti ya BoT si ilikuwepo, mbona hukuitumia na kuleta taarifa kama hizi? Nakumbuka kuna wakati gazeti lako lilisifiwa hadharani na JPM kwa kuibua uozo sijui bandarini ama wapi lakini hili ambalo unasema linatutoa utumbo hukulisema. Leo ndio umeliona, kweli ya Mungu mengi.
Shida ya mwendazake na wapambe wake ni uongooo kuupa kiti sebuleniHayati alitwambia tunajenga hivyo vitu kwa pesa za ndani - Sasa deni la Taifa inakuwaje limekuwa kubwa namna hii?
Kinacho zungumziwa ni ule uongo wake eti ni hela ya ndaniNafikiri alikopa kulingana pia na uwezo wa nchi! Unajua ukuaji wa uchumi ndo uwezo wa kukopesheka pia! Na utambue miaka yote tumekopa lakini kilichokuwa kinafanyika cha maana hakikuwepo! Ila kwa vile wote mmegeuka wakosoaji wa Maguguli ili kumlinda mama! Mwambie apambane asisingizie Madeni hata Marekani wanamadeni ya kutisha!
Kama tunaweza kutumia ule wa kiraia wa Mwanza tunashindwaje kuutumia wa chato ambao umejificha kwenye macho ya wageni lakini bado unaweza kutumika kwa malengo yote mawili Kama ulivyo wa Mwanza kwa sasa.Sema uwanja ubadirishwe matumizi!
Maana lengo la uwanja kujengwa ilikuwa uwe wa safari za kawaida za ndege na ATCL walikuwa wameshaanzisha root , unapokuja kubadirisha matumizi Hilo ni suala lingine Sasa.
Halafu nani kakwambia miradi ya Jeshi Kama uwanja wa ndege huo ujengwe na kila kampuni. Unajua sensitivity ya uwanja Wa ndege wa kijeshi?
Unadhani Jeshi ni Kama kula unaamua tu
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Kama upi?Walinda legacy wamechachamaa! [emoji16][emoji16][emoji16]
Magufuli alikuwa anakopa utadhani hakuna kesho!
Aina ya mikopo aliyokuwa akichukua Magufuli siyo ya masharti nafuu ni kitanzi kitupu!
Ni swala la muda tutajua ukweli. Ila mtoa mada be fair usilete hoja zisizo na mashiko. Hata wakati JPM nchi ilipopokea mkopo ilikuwa ikitangazwa. Pili Deni aliliorithi JPM lilikuwa kwa kasi sana maana lilikuwa limeiva JPM focus ilikuwa si kulipa deni kwanza bali ilikuwa ni kujenga uwezo wa ndani ilituweze kulipa madeni. Miundombinu ilijengwa ililenga kukuza uchumi wa taifa ili siku zijazo liwe na uwezo kulipa madeni yake. Kumbuka Kenya walipofikia yaani wanakopa hela ili kulipa deni.
Achane upuuzi hakuna siri wala ajabu unakopa kufanya vitu vya maana sio unakopa kupambana na korona ambayo haIpo.And alikuwa anakopa kwa siri as if hiyo hela angelipa kutoka mifukoni mwake, akiwa majukwaani anawatukana mabeberu, Usiku anawapigia simu kuwakopa hela!! Trl 29 kwa miaka 5 ni nyingi sana, and sijui kafanyia nini hiyo hela, maana mamiradi yake yote yapo under 50% ya utekelezaji
Mkuu 50% ya project ni kubwa! Sema unachuki na JPM ndo maana hauoni alichofanya JPM hakujipendekeza kwao walikuja wenyewe baada ya kuona mziki wake! Angalia project kama zifuatazo
•Tanzania haikuwahi kuw ana Radar tokea uhuru amejenga nne kwa mkupuo Dar,mwanza,mbeya na klimanjaro
•Tanzania haikuwahi kuwa na Mahakama zakisasa tokea uhuru mahakama standard zilikuwa ni zile za kanda! Leo tunazungumzia mahaka zenye miundombinu ya kisasa!
•Nchi hii ilikuwa na hospital kubwa za kanda nyinhi za mashirika ya dini leo hii tuna hospital kubwa za hadhi ya kitaifa kule Musoma, mtwara,mbeya n.k Wao waliopita hawakufanya haya si kwa kuwa hawakuweza tu bali hata utendaji wao haukuwa katika viwango vya JPM!
•Vituo vya afya,hospital za wilaya, masoko.
•Uanzishwaji wa masoko ya madini mfano soko la dhahabu Geita limeinbiza takribani trilion tatu kwa miaka miwili na nusu!
•Upanuzi wa bandari hapo Dar, mtwara ma tanga!
•Ufufuami wa treni kutokea Dar mpaka moshi/arusha!
•Ujenzi wa flyover,busisi,mto wami n.k
Hayo ni ambo yanahitami usimamizi na fedha kwa hiyo kama matokeo yanaonekana kukopa kwake hakuna shida! Hata nyumbani kwako ukikopa benki ili ujenge nyumba na ukajenga kwa ubora na ikaonekana hakuna mtu atakaye kulaum! Ila kwa vile mmezoea maneno sio utendaji endeleeni kumsifia huyu mama ambaye hana hata historia ya utendaji kwenye maisha yake, kitu pekee kimemfikisha hapo ni kubebwa na siasa!
Kama unakiri majengo yapo Tena mazuri tupige hatua ya pili,ya tatu na baadae tuwe na Huduma Bora. Ulitaka x-ray zikafungwe kwenye miti? Tunaanza na miundo mbinu Kwanza tukishindwa kumalizia Ni ujinga wa Magufuli au Ni ujinga wetu!Hizo hospital za kanda unazoengelea ulishawahi kuzitembelea au unaziona kwenye picha,
Majengo yake ni uchafu mtupu, je kuna huduma gani za maana katika majengo hayo?.
Mbona mbeya alishindwa kuifanya iwe kama Bugando,Kcmc na Muhimbili?.
Tumekulia maisha ya umaskini hivyo hudhani gorofa/jengo ndiyo kiwango cha huduma.
Jamaa vitu vyake vyote alivyovifanya uongo ulikuwa mwingi sana, wala hakuwa na uchungu na fedha ya nchi yetu bali aliangalia kuufurahisha moyo wake uliojaa maisha ya sifa.
Ka,Uliza maswali sensible bwana! In kingai voice.comHoja ya kipuuzi kabisa! Unasema miaka uote hakuna kilichofanyika! Nini kikubwa cha pekee kikubwa alichofanya marehemu ambacho kilikuwa hakijafanyika?
Huyu mpumbavu sana! Anajua Tanzania inaingiza shilingi ngapi kwa mwaka? Huo mradi wa SGR unacost shilingi ngapi ambazo serikali yetu isineweza kugharamia? Hivi Duniani swala la kukopa nalo ni la kushangaaa? Hata yeye mwenyew akiangalia huo uzi wake kila Raisi aliyeingia madarakani alichangia kuongeza deni.Wanafiki hawataingia mbinguni.
Nani alikuambia kujenga miondombinu ndio kunakuza uchumi kiasi cha kulipa madeni makubwa? Mbona miondombinu imejengwa tangu uhuru na madeni yamezidi kuongezeka?
Sijui kama umeelewa mada. Kama umeelewa basi unatatizo kubwaTupe na thamani ya miradi iliyotokana na deni, kama uwiano wa deni na uchumi kukua ni 30% huko kutendwa kunatokeaje?
Anzia upanuzi wa bandari, SGR, Upanuzi wa highways, mabarabara ya mitaa, stand za mabasi nchi nzima, New mwendokasi roads, vituo vya afya nchi nzima, Hospitali za wilaya nchi nzima, Mashule, Ndege, upanuzi wa viwanja, ujenzi wa Dodoma plus Ikulu ya Chamino, usambazaji umeme kila kijiji, vivutio vya utalii, Hydropower ya Nyerere na vingine vingi. Ulitegemea hela haitumiki?
Then go back angalia uwiano wa uchumi na ukuaji wa madeni! Njoo kwenye probability means of return. Angalia makusanyo per annual sio kuandika kinafiki.