Balile: Magufuli katutenda, deni la nje lafikia shilingi Trillion 78

Balile: Magufuli katutenda, deni la nje lafikia shilingi Trillion 78

Hahaha Nani atatumia uwanja wa chato
Kwa ulie fikia ukomo wa kufikiri Kama wewe hauna faida, kwa waliofungua akili na kuwa na mawazo chanya unafaida kubwa Sana Ni suala la kuamua tu.

Tuna kikosi Cha anga pale Mwanza vipi kikihamishiwa chato tukaachana na huo uwanja wa kiraia.

Nchi yetu Haina uwanja mkubwa wa kijeshi ndio huo hapo sasa tunashindwa kuutumia.

Tusijiruhusu kuwa Ziro brain kuwa na mawazo hasi na lawama kibao,tuwaze chanya tusonge mbele.
 
Magufuli hakutakiwa akope mahela yote haya wakati kuna mihela yetu mingi tu ACACIA walikamatwa ready handed wametuibia kwenye madini. alitakiwa akomae kudai mipesa yetu trilion 424, ambazo ni nyingi mno kiasi kwamb kama zingegawiwa kwa watanzania zinatosha kumnunulia kila Mtanzania Noah mojamoja😁
 
Ni siasa tu ile kama ambavyo baba yenu mpendwa alikuwa anaunda tume ya uchunguzi kwa kila jambo hata yalioko dhahiri kabisa
I have only one baba Sina baba mwingine!

Halafu mimi Sina mavyama mzee baba, sicommemt based on uvyama ila nasoma na kucomment ninachoelewa. Sifungwi na Chama au mlengo flani kutoa mawazo yangu.

Magufuli ana mazuri yake na mabaya yake, the same to warangulizi wake. Kuzungumzia mabaya yake haimaanishi hakuwa na mazuri. Alikuwa nayo mengi sana ninaweza kuyataja hapa Hadi nikajaza page kadhaa.
 
Magufuli hakutakiwa akope mahela yote haya wakati kuna mihela yetu mingi tu ACACI walikamatwa ready handed wametuibia kwenye madini. alitakiwa akomae kudai mipesa yetu trilion 424, ambazo ni nyingi mno kiasi kwamb kama zingegawiwa kwa watanzania zinatosha kumnunulia kila Mtanzania Noah mojamoja😁
Tatizo lako unaleta mizaha kwenye mambo ya msingi!
 
Zama zile ukiandika habari kama hii yatakupata mzito, hivyo Sasa ndio muda sahihi wa kuandika na hakuna tatizo kufanya hivyo.
Mwandishi wa namna hiyo ni mchumia tumbo tu. Mwandishi mweledi angeandika tu. Mbona waliandika report moja hivi ya kiuchunguzi hadi JPM akawasifia.

Baada ya zile sifa naamini walidhani sasa uteuzi upo njiani, wakawa wanasubiri! Leo ndio anaibuka kivingine kwa makusudi yale yale
 
I have only one baba Sina baba mwingine!

Halafu mimi Sina mavyama mzee baba, sicommemt based on uvyama ila nasoma na kucomment ninachoelewa. Sifungwi na Chama au mlengo flani kutoa mawazo yangu...
Ni jambo zuri kuwa neutral ila personally i get so irritated na watu wanaomdiss hayati knowing that the guy did some good stuff!
 
Unaona sasa aggressiveness umetafsiri Kama kufanya vurugu hahahahaha

Kazi ipo!
You wanna be aggressive then you want peace! Hivyo vitu haviwezekani kwenye nchi ya demokrasia ya mfukoni kama bongo!
 
Ok sahihi, tufanye JPM alikopa saaaana...
Sasa Mama amechukua hatua gani kuhakikisha tunauwezo wa ndani kulipa hayo madeni baadala ya kukopa tena na kuendeleza miradi ya kimkakati tuliyoanzisha kwa speed?..
 
Mwandishi wa namna hiyo ni mchumia tumbo tu. Mwandishi mweledi angeandika tu. Mbona waliandika report moja hivi ya kiuchunguzi hadi JPM akawasifia. Baada ya zile sifa naamini walidhani sasa uteuzi upo njiani, wakawa wanasubiri! Leo ndio anaibuka kivingine kwa makusudi yale yale
Sio kuchumia tumbo mkuu...'mkono usiyouweza ubusu' kwa nyakati zile ilikuwa lazima 'ku-lay low' ili kuendelea kufanya kazi yako maisha yaende.

If you can't fight them then join them.
 
Kwa ulie fikia ukomo wa kufikiri Kama wewe hauna faida, kwa waliofungua akili na kuwa na mawazo chanya unafaida kubwa Sana Ni suala la kuamua tu...
Sema uwanja ubadirishwe matumizi!

Maana lengo la uwanja kujengwa ilikuwa uwe wa safari za kawaida za ndege na ATCL walikuwa wameshaanzisha root , unapokuja kubadirisha matumizi Hilo ni suala lingine Sasa.

Halafu nani kakwambia miradi ya Jeshi Kama uwanja wa ndege huo ujengwe na kila kampuni. Unajua sensitivity ya uwanja Wa ndege wa kijeshi?

Unadhani Jeshi ni Kama kula unaamua tu
 
And alikuwa anakopa kwa siri as if hiyo hela angelipa kutoka mifukoni mwake, akiwa majukwaani anawatukana mabeberu, Usiku anawapigia simu kuwakopa hela!! Trl 29 kwa miaka 5 ni nyingi sana, and sijui kafanyia nini hiyo hela, maana mamiradi yake yote yapo under 50% ya utekelezaji
Nashangaa wachangiaji hapa, wameanza kumshutumu Balile!
Ulichokiandika hiki mkuu, ndiyo hoja kuu. Watetezi, wajikite kwenye hoja hii!
 
Sio kuchumia tumbo mkuu...'mkono usiyouweza ubusu' kwa nyakati zile ilikuwa lazima 'ku-lay low' ili kuendelea kufanya kazi yako maisha yaende.

If you can't fight them then join them.
Aendelee ku join, vinginevyo ni unafiki tu. Kuna watu humu huwa mnamsema Pascal Mayalla kwamba alikuwa anajipendekeza, ila kwangu naona Pascal Mayalla kuwa ni miongoni mwa waandishi waliosomamia ukweli na kuusema iwe wakati wa JPM ama wakati mwingine. Tunawataka waandishi kama hao. Penye pahala pa kusema, pascal husema na pahala pa kupongeza hupongeza bila kujali.
 
Back
Top Bottom