Balile: Magufuli katutenda, deni la nje lafikia shilingi Trillion 78

Mleta mada popote ulipo wewe ni mjinga na mnafiki wa kiwango Cha SGR.
 

Kipi kimekamilika?
 
Kwani deni linalipwa na pesa za nje?

Ni msaada tu ndio huwa za nje, borrowed zote ni za ndani. Unachanga unalipa... ukikamilisha mradi ni wako.

We ukikopa ukajenga nyumba then ukikamilisha mkopo ni bank imekujengea au we mwenyewe?
Asante sana umemswalika vizuri.
 
Balile ndio napo muonaga anapenda kujisifu kwa ujinga, cheap popularity, ana ujinga fulani wa asili Balile, hasa hapo aliposema eti yeye ndio alisema Katiba inasema nn baada ya Rais aliyeko madarakani kufariki, yaani eti watu wengine walikuwa hawajui ila yeye ndio alisema katiba inasemaje, yaani yeye Balile ndio alitamka Makamu wa Rais ndio atakuwa Rais kama katiba inavyosema, na wengine walikuwa hawajui katiba inasemaje, hapa kaandika ujinga wake wa asili wa kwao huko, everyone is stupid kwa degree fulani.

Balile alikuwa Pro Magufuli sanaaa akiwa hai, iweje asisema akiwa hai huu uozo wa mikopo ya hovyo na riba hatari hivi, hadi amekufa ndio kaandika, na data zilikuwepo, huu ni unafiki mbaya sana, Balile ni mnafiki sana, hapa anajionyesha kwa Mama Samia yeye ndio mzuri sanaa, subiri Mama Samia amalize muda wake, huyu huyu Balile atamuandika Mama Samia vibaya sana, ndio tabia ya watu wanafiki, hypocrite and stupid Balile.

Let's go back kwa mikopo mikubwa ya siri na hatari kabisa ya JPM.

Kiukweli kabisa, JPM aliharibu sana kwa mikopo mikubwa ya riba ya kibiashara kwa siri kabisa. Hata matumizi ya mikopo mikubwa hiyo kwa riba za kibiashara ilikuwa siri sana. Alituaminisha ni hela zetu wenyewe mara zote, kumbe ni uongo kabisa.

Kwa hili JPM katukaanga na kipindi kifupi 5yrs kakopa trillions 29 nyingi sana sanaa kwa siri na riba kubwa sana. This is crime aisee
 
Balile ni mnafiki sanaaa.kila kukicha alikua anampamba jiwe, leo kafa anajifanya kidume
 
Kinacho zungumziwa ni ule uongo wake eti ni hela ya ndani
 
Kama tunaweza kutumia ule wa kiraia wa Mwanza tunashindwaje kuutumia wa chato ambao umejificha kwenye macho ya wageni lakini bado unaweza kutumika kwa malengo yote mawili Kama ulivyo wa Mwanza kwa sasa.
 
Nani alikuambia kujenga miondombinu ndio kunakuza uchumi kiasi cha kulipa madeni makubwa? Mbona miondombinu imejengwa tangu uhuru na madeni yamezidi kuongezeka?
 
Achane upuuzi hakuna siri wala ajabu unakopa kufanya vitu vya maana sio unakopa kupambana na korona ambayo haIpo.
Under 50%??? leteni janja janja huyo Bi. Hangaya tutamnyoosha
 

Ingefaa kila kimoja uandike na fedha iliyotumika tuone tumepigwa au la
 
Kama unakiri majengo yapo Tena mazuri tupige hatua ya pili,ya tatu na baadae tuwe na Huduma Bora. Ulitaka x-ray zikafungwe kwenye miti? Tunaanza na miundo mbinu Kwanza tukishindwa kumalizia Ni ujinga wa Magufuli au Ni ujinga wetu!
 
Hoja ya kipuuzi kabisa! Unasema miaka uote hakuna kilichofanyika! Nini kikubwa cha pekee kikubwa alichofanya marehemu ambacho kilikuwa hakijafanyika?
Ka,Uliza maswali sensible bwana! In kingai voice.com
 
Wanafiki hawataingia mbinguni.
Huyu mpumbavu sana! Anajua Tanzania inaingiza shilingi ngapi kwa mwaka? Huo mradi wa SGR unacost shilingi ngapi ambazo serikali yetu isineweza kugharamia? Hivi Duniani swala la kukopa nalo ni la kushangaaa? Hata yeye mwenyew akiangalia huo uzi wake kila Raisi aliyeingia madarakani alichangia kuongeza deni.

Yaani huu uzi umejaa upumbavu mtupu.
 
Reactions: 1gb
Nani alikuambia kujenga miondombinu ndio kunakuza uchumi kiasi cha kulipa madeni makubwa? Mbona miondombinu imejengwa tangu uhuru na madeni yamezidi kuongezeka?

Mkuu Samahani Nikuulize Vitu Gani Vinafanya Uchumi Ukue Ukitoa Hiyo Miundombinu Unayo Ikataa.
 
Sijui kama umeelewa mada. Kama umeelewa basi unatatizo kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…