Balile naona kama vile kapanic na anaonyesha upeo mdogo sana dhidi ya Butiku!
Butiku aliongea kwa codes sana!
Aliposema " tunawajua" alimaanisha kuwa vyombo vya ulinzi na usalama vinajua Kila kitu!
Kumbukeni kuwa Butiku naye ni " Nyoka" anajua anachosema.
Sasa akili za kichawa chawa kama za Balile haziwezi kumwelewa Butiku !
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Mh Balile amepinga Kauli ya Mzee Butiku kwamba Waandishi wa habari wa Tanzania ni Waoga sana
Balile amesema yeye Mzee Butiku ndiye Mwoga kwani kama ana Majina ya Watekaji na Wauwaji wa Ally Mohamed Kibao ayapeleke kwa Waandishi wa habari aone kama hayatachapishwa magazetini
Balile amesema mzee Butiku ana Tabia ya Kutukana Waandishi wa habari ilhali yeye mwenyewe ofisi yake ya Mwalimu Nyerere Foundation haijulikani inafanya kazi gani kwa sasa
Balile asimlaumu Mzee Butiku. Yeye na NGO yake wamefanya uchunguzi gani na kufichua siri gani? Investigative Journalism hakuna kabisa ! Wamebaki kuhongwa semina na kulipwa mamilioni ili waandike makala za udaku na uchawa tu !! Makala za watangazaji tu !
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Mh Balile amepinga Kauli ya Mzee Butiku kwamba Waandishi wa habari wa Tanzania ni Waoga sana
Balile amesema yeye Mzee Butiku ndiye Mwoga kwani kama ana Majina ya Watekaji na Wauwaji wa Ally Mohamed Kibao ayapeleke kwa Waandishi wa habari aone kama hayatachapishwa magazetini
Balile amesema mzee Butiku ana Tabia ya Kutukana Waandishi wa habari ilhali yeye mwenyewe ofisi yake ya Mwalimu Nyerere Foundation haijulikani inafanya kazi gani kwa sasa
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Mh Balile amepinga Kauli ya Mzee Butiku kwamba Waandishi wa habari wa Tanzania ni Waoga sana
Balile amesema yeye Mzee Butiku ndiye Mwoga kwani kama ana Majina ya Watekaji na Wauwaji wa Ally Mohamed Kibao ayapeleke kwa Waandishi wa habari aone kama hayatachapishwa magazetini
Balile amesema mzee Butiku ana Tabia ya Kutukana Waandishi wa habari ilhali yeye mwenyewe ofisi yake ya Mwalimu Nyerere Foundation haijulikani inafanya kazi gani kwa sasa
Balile aache Uongo.... At the same time alishafika bei. Kama hawaogopi, mbona hakuna Gazeti leonlililoandika habari za Chadema na Samia Must Go aka SAMIA MUST FALL.
Mzee alitahiriwa bila ganzi tuwe wakweli...ni nani ataweza kuongea kama Butiku ? Anakwambia unachokiogopa ndo kitakuua....sema wanasiasa wanakwambia uandamane na familia zao ziko ulaya.....inafikirisha.
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri, Deodatus Balile amesema kuwa Mzee Batiku ana uoga na kuwa hatakiwi kulaumu vyombo vya habari kwa kushindwa kuwajibika ipasavyo kuripoti kwa kina masuala mbalimbali ikiwemo vitendo viovu vya utekaji na mauaji.
Anadai kuwa vyombo vya habari vinaweza kuchapisha taarifa ya wanaodaiwa kuhusika kufanya vitendo vya utekaji na mauaji endapo wakiwatajwa.
Akizungumza na 'Drive Show' ya East Africa Radio anasema kuwa vyombo vya habari havipo kwa ajili ya kuomba habari, hivyo kwa wahusika wa vitendo wakitajwa wataandikwa.
"Hili la Mzee Butiku, mimi nadhani hatugeuziani kibao lakini yeye ndiye anatuonesha msingi wa uoga, kwa sababu hatutatijie majina sisi tutaandika, sisi hatupo kuomba habari, yeye kama anawafahamu hatutajie" anasema Balile
"Anongeza Alikuwa kwenye Press conference alipaswa aseme ni fulani fulani harafu aone kama kama vyombo vya habari havitaandika, sasa yeye anafanya uoga anajificha mbele ya uoga na amekuwa na kawaida akitaka kufanya jambo pengine jamii imsikilize anatukana vyombo vya habari ndio anadhani kwamba labda hapo amepatia." anasema
Amesema kuwa haelewi Taasisi ya Mwalimu Nyerere Foundation kwa sasa inafanya nini. Anadai amekuwa akimuona Butiku akitoa matamko yanapotokea matukio.
"Kwanini yeye hataji lakini anaenda kusema vyombo vya habari vina uoga, mimi nadhani Mzee wetu tunamuheshimu sana tunaheshimu taasisi anayofanyia kazi ya Mwl. Nyerere Foundation japo mimi ukiniuliza sijui taasisi hiyo inafanya nini sasa hivi, uwa namuona akitokea matukio ndio naona hayo matamko"
Itakumbukwa Joseph Butiku ambaye ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini Taasisi ya Mwalimu Nyerere, alidai kuwa vyombo vya habari vimekuwa vikishindwa kutimiza wajibu wake kwa kufuatilia kwa kina baadhi ya mambo na kuyaripoti kwa umma.
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Mh Balile amepinga Kauli ya Mzee Butiku kwamba Waandishi wa habari wa Tanzania ni Waoga sana Balile amesema yeye Mzee Butiku ndiye Mwoga kwani kama ana Majina ya Watekaji na Wauwaji wa Ally Mohamed Kibao ayapeleke kwa Waandishi wa habari aone kama...
Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) limeeleza kusikitishwa na taarifa za kifo cha Kada wa Chama cha Demokrasi na Maendeleo (CHADEMA) na Mjumbe wa Sekretarieti, Ndugu Mohamed Ali Kibao. Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari leo, Mwenyekiti wa TEF, Deodatus Balile amewapa pole familia ya ndugu...
Kwann mkuu visubiri kupewa taarifaa na wasitafute taarifaa wao km wao Kwa kina zaidii na kuitolea ufafanuzi na kuanzisha kampenzi Kwenye vyombo vyao vinavyopingaa hv vitendo vya utekajii
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri, Deodatus Balile amesema kuwa Mzee Batiku ana uoga na kuwa hatakiwi kulaumu vyombo vya habari kwa kushindwa kuwajibika ipasavyo kuripoti kwa kina masuala mbalimbali ikiwemo vitendo viovu vya utekaji na mauaji.
Anadai kuwa vyombo vya habari vinaweza kuchapisha taarifa ya wanaodaiwa kuhusika kufanya vitendo vya utekaji na mauaji endapo wakiwatajwa.
Akizungumza na 'Drive Show' ya East Africa Radio anasema kuwa vyombo vya habari havipo kwa ajili ya kuomba habari, hivyo kwa wahusika wa vitendo wakitajwa wataandikwa.
"Hili la Mzee Butiku, mimi nadhani hatugeuziani kibao lakini yeye ndiye anatuonesha msingi wa uoga, kwa sababu hatutatijie majina sisi tutaandika, sisi hatupo kuomba habari, yeye kama anawafahamu hatutajie" anasema Balile
"Anongeza Alikuwa kwenye Press conference alipaswa aseme ni fulani fulani harafu aone kama kama vyombo vya habari havitaandika, sasa yeye anafanya uoga anajificha mbele ya uoga na amekuwa na kawaida akitaka kufanya jambo pengine jamii imsikilize anatukana vyombo vya habari ndio anadhani kwamba labda hapo amepatia." anasema
Amesema kuwa haelewi Taasisi ya Mwalimu Nyerere Foundation kwa sasa inafanya nini. Anadai amekuwa akimuona Butiku akitoa matamko yanapotokea matukio.
"Kwanini yeye hataji lakini anaenda kusema vyombo vya habari vina uoga, mimi nadhani Mzee wetu tunamuheshimu sana tunaheshimu taasisi anayofanyia kazi ya Mwl. Nyerere Foundation japo mimi ukiniuliza sijui taasisi hiyo inafanya nini sasa hivi, uwa namuona akitokea matukio ndio naona hayo matamko"
Itakumbukwa Joseph Butiku ambaye ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini Taasisi ya Mwalimu Nyerere, alidai kuwa vyombo vya habari vimekuwa vikishindwa kutimiza wajibu wake kwa kufuatilia kwa kina baadhi ya mambo na kuyaripoti kwa umma.
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Mh Balile amepinga Kauli ya Mzee Butiku kwamba Waandishi wa habari wa Tanzania ni Waoga sana Balile amesema yeye Mzee Butiku ndiye Mwoga kwani kama ana Majina ya Watekaji na Wauwaji wa Ally Mohamed Kibao ayapeleke kwa Waandishi wa habari aone kama...
Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) limeeleza kusikitishwa na taarifa za kifo cha Kada wa Chama cha Demokrasi na Maendeleo (CHADEMA) na Mjumbe wa Sekretarieti, Ndugu Mohamed Ali Kibao. Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari leo, Mwenyekiti wa TEF, Deodatus Balile amewapa pole familia ya ndugu...
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Mh Balile amepinga Kauli ya Mzee Butiku kwamba Waandishi wa habari wa Tanzania ni Waoga sana
Balile amesema yeye Mzee Butiku ndiye Mwoga kwani kama ana Majina ya Watekaji na Wauwaji wa Ally Mohamed Kibao ayapeleke kwa Waandishi wa habari aone kama hayatachapishwa magazetini
Balile amesema mzee Butiku ana Tabia ya Kutukana Waandishi wa habari ilhali yeye mwenyewe ofisi yake ya Mwalimu Nyerere Foundation haijulikani inafanya kazi gani kwa sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.