No zinamwelewa lakini uchawa sasa ndo tatizoBalile naona kama vile kapanic na anaonyesha upeo mdogo sana dhidi ya Butiku!
Butiku aliongea kwa codes sana!
Aliposema " tunawajua" alimaanisha kuwa vyombo vya ulinzi na usalama vinajua Kila kitu!
Kumbukeni kuwa Butiku naye ni " Nyoka" anajua anachosema.
Sasa akili za kichawa chawa kama za Balile haziwezi kumwelewa Butiku !
Huyu anatumika na ccm?, anataka mzee wa watu ataje majina ili wamzingire.Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Mh Balile amepinga Kauli ya Mzee Butiku kwamba Waandishi wa habari wa Tanzania ni Waoga sana
Balile amesema yeye Mzee Butiku ndiye Mwoga kwani kama ana Majina ya Watekaji na Wauwaji wa Ally Mohamed Kibao ayapeleke kwa Waandishi wa habari aone kama hayatachapishwa magazetini
Balile amesema mzee Butiku ana Tabia ya Kutukana Waandishi wa habari ilhali yeye mwenyewe ofisi yake ya Mwalimu Nyerere Foundation haijulikani inafanya kazi gani kwa sasa
Source: East Africa Radio/ Tv
My take; Hata Mbuyu ulianza kama mchicha ππ₯
huyu tangu dp world hana thamani tenaMwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Mh Balile amepinga Kauli ya Mzee Butiku kwamba Waandishi wa habari wa Tanzania ni Waoga sana
Balile amesema yeye Mzee Butiku ndiye Mwoga kwani kama ana Majina ya Watekaji na Wauwaji wa Ally Mohamed Kibao ayapeleke kwa Waandishi wa habari aone kama hayatachapishwa magazetini
Balile amesema mzee Butiku ana Tabia ya Kutukana Waandishi wa habari ilhali yeye mwenyewe ofisi yake ya Mwalimu Nyerere Foundation haijulikani inafanya kazi gani kwa sasa
Source: East Africa Radio/ Tv
My take; Hata Mbuyu ulianza kama mchicha ππ₯
Kelele zike kipindi cha jpm sio kwa maslahi ya taifa bali ilikuwa ni njaa tu ndo iliyokuwa inawasumbua hawa waandishikamuulize balile chawa mkubwa wa mama kwa sasa hajui hata anachokisimamia kwa sasa
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Mh Balile amepinga Kauli ya Mzee Butiku kwamba Waandishi wa habari wa Tanzania ni Waoga sana
Balile amesema yeye Mzee Butiku ndiye Mwoga kwani kama ana Majina ya Watekaji na Wauwaji wa Ally Mohamed Kibao ayapeleke kwa Waandishi wa habari aone kama hayatachapishwa magazetini
Balile amesema mzee Butiku ana Tabia ya Kutukana Waandishi wa habari ilhali yeye mwenyewe ofisi yake ya Mwalimu Nyerere Foundation haijulikani inafanya kazi gani kwa sasa
Source: East Africa Radio/ Tv
My take; Hata Mbuyu ulianza kama mchicha ππ₯
Habari za kiuchunguzi kwa matukio ya aina hii sio kazi rahisi, hivyo waandishi pia waeleweke wakibaki kimya.Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri, Deodatus Balile amesema kuwa Mzee Batiku ana uoga na kuwa hatakiwi kulaumu vyombo vya habari kwa kushindwa kuwajibika ipasavyo kuripoti kwa kina masuala mbalimbali ikiwemo vitendo viovu vya utekaji na mauaji.
Anadai kuwa vyombo vya habari vinaweza kuchapisha taarifa ya wanaodaiwa kuhusika kufanya vitendo vya utekaji na mauaji endapo wakiwatajwa.
Akizungumza na 'Drive Show' ya East Africa Radio anasema kuwa vyombo vya habari havipo kwa ajili ya kuomba habari, hivyo kwa wahusika wa vitendo wakitajwa wataandikwa.
"Hili la Mzee Butiku, mimi nadhani hatugeuziani kibao lakini yeye ndiye anatuonesha msingi wa uoga, kwa sababu hatutatijie majina sisi tutaandika, sisi hatupo kuomba habari, yeye kama anawafahamu hatutajie" anasema Balile
"Anongeza Alikuwa kwenye Press conference alipaswa aseme ni fulani fulani harafu aone kama kama vyombo vya habari havitaandika, sasa yeye anafanya uoga anajificha mbele ya uoga na amekuwa na kawaida akitaka kufanya jambo pengine jamii imsikilize anatukana vyombo vya habari ndio anadhani kwamba labda hapo amepatia." anasema
Amesema kuwa haelewi Taasisi ya Mwalimu Nyerere Foundation kwa sasa inafanya nini. Anadai amekuwa akimuona Butiku akitoa matamko yanapotokea matukio.
"Kwanini yeye hataji lakini anaenda kusema vyombo vya habari vina uoga, mimi nadhani Mzee wetu tunamuheshimu sana tunaheshimu taasisi anayofanyia kazi ya Mwl. Nyerere Foundation japo mimi ukiniuliza sijui taasisi hiyo inafanya nini sasa hivi, uwa namuona akitokea matukio ndio naona hayo matamko"
Itakumbukwa Joseph Butiku ambaye ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini Taasisi ya Mwalimu Nyerere, alidai kuwa vyombo vya habari vimekuwa vikishindwa kutimiza wajibu wake kwa kufuatilia kwa kina baadhi ya mambo na kuyaripoti kwa umma.
Balile: Mzee Butiku aache uwoga atutajie majina ya Wauwaji wa Kibao aone kama hatutachapisha, aache kututukana Waandishi!
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Mh Balile amepinga Kauli ya Mzee Butiku kwamba Waandishi wa habari wa Tanzania ni Waoga sana Balile amesema yeye Mzee Butiku ndiye Mwoga kwani kama ana Majina ya Watekaji na Wauwaji wa Ally Mohamed Kibao ayapeleke kwa Waandishi wa habari aone kama...www.jamiiforums.com
Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF): Tumesikitishwa na kifo cha Ali Kibao. Rais aunde Tume ya Majaji kuchunguza wimbi la utekaji na mauaji
Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) limeeleza kusikitishwa na taarifa za kifo cha Kada wa Chama cha Demokrasi na Maendeleo (CHADEMA) na Mjumbe wa Sekretarieti, Ndugu Mohamed Ali Kibao. Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari leo, Mwenyekiti wa TEF, Deodatus Balile amewapa pole familia ya ndugu...www.jamiiforums.com
Katika watu wa hovyo kwenye habari ni wewe balile!Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Mh Balile amepinga Kauli ya Mzee Butiku kwamba Waandishi wa habari wa Tanzania ni Waoga sana
Balile amesema yeye Mzee Butiku ndiye Mwoga kwani kama ana Majina ya Watekaji na Wauwaji wa Ally Mohamed Kibao ayapeleke kwa Waandishi wa habari aone kama hayatachapishwa magazetini
Balile amesema mzee Butiku ana Tabia ya Kutukana Waandishi wa habari ilhali yeye mwenyewe ofisi yake ya Mwalimu Nyerere Foundation haijulikani inafanya kazi gani kwa sasa
My take; Hata Mbuyu ulianza kama mchicha ππ₯