2010 Messi alikuwa na mafanikio binafsi kumshinda Sneijder au IniestaVvd hakuwa na sifa za mchezaji mwenye mafanikio binafsi kama messi ...mkuu
Hahaaa team cr7 mna shida sana...kwani si hata modrick amechukua tuzo akiwa laliga au ?!!......
Lengo langu lilikuwa ni kumjibu jamaa ili aweze kufahamu kuwa messi hawezi kuhama team na kwenda,katika team/keague ambazo sio hadhi yake. ......
So unataka messi ahame barca team ambayo ina hadhi,kubwa duniani kwa sasa team ambayo haichezi mbali na unyakuaji vikombe then akacheze wapi !!???
Yani Vvd ni beki halafu unataka tumshindanishe magoli na assist na Messi? Embu acheni Masihara basi, kwani wakati Modric anachukua Ballon d'ior Ronaldo hakua anamzidi Modric magoli? Kwenye ligi na uefa? pengine hata assist alikua anamzidi sasa why kigezo hicho mkiongelee sasa hivi
Hakuna mtu anaecheza kwa kuzungukwa kama Messi, Ibra aliondoka barca kwa sababu ya Messi, Et'oo nae, pia Gaucho aliondoka kwa sababu ya Messi, usitake kudanganya umma. Tena Messi ali shine sana sababu ya kina Xavi na Iniesta sababu kila kitu uwanjani walikua wana ki simplify wao tena bora hata sasa hivi ndio anaonekana kupambana saaana sababu zile huduma zimekata ndio maana hata barca nzima ime shake, issue ya Cr7 kua bora lazima a graph yake ishuke kidogo kwa sababu ya umri umeanza kumtupa mkono, akili inataka lakini mwili unamkataliaUkweli mtupu pale madrid alikia anapikiwa timu nzima ilikua inamtii yeye lakini pale Juve kila mtu anataka kuwa star huwez fananisha wale kina kheidira, pjanic na kina kroos, Modrich nk
Kwaiyo ile Ballon d'or aliokabizi jana Luka Modrich kwa Messi ilikua ya mwaka gani?
Acha uzwazwa wewe unavyosema timu kubwa hyo Barca ambayo andunje yupo na hawezi kuhama ukumbuke biggest team ni real Madrid lakini RONALDO kahama na kaenda timu nyingine ambayo ni kubwa tu na kadhihirisha uwezo wake Sasa andunje aende tu Liverpool pale tuone maajabu yake ,alafu uwe unaelewa acha kuwa na kichwa kugumu Kama samaki ngogo elewa
Mbona hajawahi kufikia level ya Vvd [emoji23][emoji23][emoji23] kwenye hizi awards, halafu kumbuka Alves ni right beki anaweza kupanda na ku attack kama winga kama anavyofanya Anold pale liverpool, sasa Vvd ni beki wa kati unataka naye ashindane magoli na mshambuliaji danh mambo mengine acheni utani basiKwani beki ndio hatakiwi kuwa na magoli wala assist..unamjua dani alves..unaijua Habari/balaa lake ??..
Hahaa mkuu wewe vipi aisee !!!!!
Hakuna mtu anaecheza kwa kuzungukwa kama Messi, Ibra aliondoka barca kwa sababu ya Messi, Et'oo nae, pia Gaucho aliondoka kwa sababu ya Messi, usitake kudanganya umma. Tena Messi ali shine sana sababu ya kina Xavi na Iniesta sababu kila kitu uwanjani walikua wana ki simplify wao tena bora hata sasa hivi ndio anaonekana kupambana saaana sababu zile huduma zimekata ndio maana hata barca nzima ime shake, issue ya Cr7 kua bora lazima a graph yake ishuke kidogo kwa sababu ya umri umeanza kumtupa mkono, akili inataka lakini mwili unamkatalia
Ronaldo katengenezwa kubalance tu, tena baada ya kwenda Madrid, na asingeenda asingeambulia kitu angetengenezwa mmadrid mwingine ili kubalance na mcatalonia[emoji23] Kwani wakati Cr7 anachukua hizo ballon d'ior 5 huyo true inspiration alikua wapi? Kama Messi mnamuona ndio kila kitu kwenye mpira basi kwa kua Ronaldo kaweza ku mchallenge basi andunje hana jipya tena angekua anashinda yeye kila mwaka mfululizo bila kuachia
[emoji23][emoji23][emoji23] usijitie upofu ntakujia na takwimu umuone huyo shoga falaMashabiki wa andunje naombeni neno lolote kuhusiana na hii pichaView attachment 1280117
Hao uliowataja ndo akina nani? Binafsi ukitaja Ballon D'or picha inakuja ya MESSI tu maana ndo mwenye nyingiKwani wakati Cr7 anachukua 5 Ballon D'or na Modric.. Messi alikua wapi? Au hakuwepo duniani?
Mbona hajawahi kufikia level ya Vvd [emoji23][emoji23][emoji23] kwenye hizi awards, halafu kumbuka Alves ni right beki anaweza kupanda na ku attack kama winga kama anavyofanya Anold pale liverpool, sasa Vvd ni beki wa kati unataka naye ashindane magoli na mshambuliaji danh mambo mengine acheni utani basi
We jamaa nakushangaa sana fact gani unataka? Mtu beki unamshindanishaje na mshambuliaji upande wa assist na magoli, embu fikiri tu kwa akili za kawaida mkuu, mtu kazi yake uwanjani ni safu ya ulinzi halafu uende ukampambanishe na mtu ambaye safu yake ni ushambuliaji huoni kama ni ni vitu viwili tofauti yani pumba na mchele kabisaInatakiwa ulete fact usiseme pengine unaanzaje kuleta nadharia katika vitu serious aise
Hao uliowataja ndo akina nani? Binafsi ukitaja Ballon D'or picha inakuja ya MESSI tu maana ndo mwenye nyingi
Andaa tuzo kisha mpe wewe uyo Mo salahKafanya nini msimu uliopita..kuchukua La Liga??..Mo Salah alitalkiwa kupewa tatizo muislam na Muafrika
We jamaa nakushangaa sana fact gani unataka? Mtu beki unamshindanishaje na mshambuliaji upande wa assist na magoli, embu fikiri tu kwa akili za kawaida mkuu, mtu kazi yake uwanjani ni safu ya ulinzi halafu uende ukampambanishe na mtu ambaye safu yake ni ushambuliaji huoni kama ni ni vitu viwili tofauti yani pumba na mchele kabisa
Ndio maana nimekuuliza swali jepesi, ballon d'ior iliyopita Ronaldo alimzidi Modric magoli lakini hichi hakikutumika kama kigezo cha kumnyima Modric tuzo sasa wewe unaanzaje kuleta habari za magoli na assist kama vigezo wa Vvd na Messi
Ni shoga aliwahi kukuomba mashine?[emoji23][emoji23][emoji23] usijitie upofu ntakujia na takwimu umuone huyo shoga fala
Najua umenielewa ila kawaida yenu ni lazima mjitoe ufahamu, swali langu lilikua jepesi tu kua wakati wachezaji wengine (Ronaldo na Modric) wanachukua hii tuzo huyu Messi alikua wapi? mbona swali lipo wazi na linaeleweka.Hao uliowataja ndo akina nani? Binafsi ukitaja Ballon D'or picha inakuja ya MESSI tu maana ndo mwenye nyingi
[emoji23] Eti baada ya kwenda Madrid, wakati Ballon d'or yake ya kwanza kaichukulia Manchester united, au nayo hao madrid walimsaidia kumpa.Ronaldo katengenezwa kubalance tu, tena baada ya kwenda Madrid, na asingeenda asingeambulia kitu angetengenezwa mmadrid mwingine ili kubalance na mcatalonia
Afu hiyo ni kawaida tu, chibu vs kiba mmoja katengenezwa. US vs Russia baada ya Russia kufifia sasa ni US vs China lakin ukweli ni kwamba US ndo super power