Ballon d'Or : Christiano Ronaldo ashinda tuzo ya mchezaji bora wa Dunia 2016

Ballon d'Or : Christiano Ronaldo ashinda tuzo ya mchezaji bora wa Dunia 2016

Fifa ballondor ni January

Aliyoshinda ni la jarida la France

Tuzo gani kila mtu yupo kwake,messi yupo Qatar,Griezman alikuwa anacheza dhidi ya Villarreal ,..January ndio kila kitu FIFA award
 
Fifa ballondor ni January

Aliyoshinda ni la jarida la France

Tuzo gani kila mtu yupo kwake,messi yupo Qatar,Griezman alikuwa anacheza dhidi ya Villarreal ,..January ndio kila kitu FIFA award
January asipo chukua Cr 7 nahamia Aleppo Syria, yaani kitendo cha yeye kushind UCL na EUROPA cup of nations , na Messi kukosa penalt yake dhid ya Chile.
Basi mwaka ndio uliishia pale
 
January asipo chukua Cr 7 nahamia Aleppo Syria, yaani kitendo cha yeye kushind UCL na EUROPA cup of nations , na Messo kukosa penalt yake dhid ya Chile.
Basi mwaka ndio uliishia pale
Jamani Messi akipoteza huwa nafurahi balaa.
Napenda kusikia Messi akipoteza ila kombe la Dunia (2014) huruma ya kibinadamu ilinijea sijui kwanini!
Ndiyo siku pekee niliyomuonea huruma Messi maishani mwangu.
 
Jamani Messi akipoteza huwa nafurahi balaa.
Napenda kusikia Messi akipoteza ila kombe la Dunia (2014) huruma ya kibinadamu ilinijea sijui kwanini!
Ndiyo siku pekee niliyomuonea huruma Messi maishani mwangu.
Yeah it seems mi na wewe we have alot in common, (japo tofauti zetu kubwa ni kubwa hasa [emoji28] )

Kibinadamu nilimuonea huruma kidoogo 2014, ila mwaka huu alivo kosa penalt na Chile nilipata ka ubinadamu fulani. But yeaah i dont care anyway Messi have to lose for me to be happy.
 
Yeah it seems mi na wewe we have alot in common, (japo tofauti zetu kubwa ni kubwa hasa [emoji28] )

Kibinadamu nilimuonea huruma kidoogo 2014, ila mwaka huu alivo kosa penalt na Chile nilipata ka ubinadamu fulani. But yeaah i dont care anyway Messi have to lose for me to be happy.

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
...coz there is no way
 
Jamani Messi akipoteza huwa nafurahi balaa.
Napenda kusikia Messi akipoteza ila kombe la Dunia (2014) huruma ya kibinadamu ilinijea sijui kwanini!
Ndiyo siku pekee niliyomuonea huruma Messi maishani mwangu.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] umeonyesh kias gan unamchukia jamaa....ila umenifurahish upande mwingin kwa support ya mtu mbaayaa Cr7
 
Ilikuwa lazima apewe Cr7 tu,hakukuwa na namna nyingine.
Sishangai
Hii ndio raha ya kuwa team ushindi,kama asiposhinda kombe kupitia club/nation team basi atashinda tuzo.
#Cr7Baby#
[emoji123] [emoji122] [emoji122]
Huyo mwenyewe akifika Morocco huitwa Baby na anapakatwa kabisa sasa usijiangaishe kwa kushabikia wanaume wa typ ya[emoji108]
 
January asipo chukua Cr 7 nahamia Aleppo Syria, yaani kitendo cha yeye kushind UCL na EUROPA cup of nations , na Messi kukosa penalt yake dhid ya Chile.
Basi mwaka ndio uliishia pale
Kwani Huyo Mmoocco yeye hajakosa Penati?

Au akikosa KING dunia inashangaa
 
Jamani Messi akipoteza huwa nafurahi balaa.
Napenda kusikia Messi akipoteza ila kombe la Dunia (2014) huruma ya kibinadamu ilinijea sijui kwanini!
Ndiyo siku pekee niliyomuonea huruma Messi maishani mwangu.
Messi hajawai kupoteza sababu hajawai shindana na mtu kwani Level zake ni za juu sana
[HASHTAG]#asante[/HASHTAG]
 
Tupe vigezo vyako au andaa tuzo zako....hukuwaona EATV?
Kwa hyo tuzo zenu za EATV ndio unafananisha na za FIFA?

halafu unafikir Barcelona kuna mpumbav wa kufatilia mambo ya kijinga hadi kututolea mifano ya EATV
 
Haaa
Hao balon d or mbona maandazi hivi !! Messi kawaje wa pili Messi alitakiwa awe wa 4 baada ya Suarez na Griez
Hivi wewe unajua lolote kwenye ulimwengu wa Soka kweli? Au una comment tu ili na wewe usisahauliwe uonekane upo kwenye hii Dunia?
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Yote yatapita na tukiweka ushabiki pembeni.Kwa upande wangu Lionel Messi au simba mtoto,ladha ya mpira wake,yaani mwili kunyumbulika na mpira kadiri apendavyo inawaacha mbali baadhi ya washindani wake.Kipaji kinahusika.Mwanafunzi ambaye ni Genius ukimpa mtihani pamoja na wanafunzi wa kawaida ukaweka sharti kwamba mtihani lazima ufanyike kwa saa mbili lakini yeye akimaliza ndani ya dakika kumi,muache atoke nje akapumzike.Uking'ang'ania aendelee kubaki darasani ni kuichosha akili yake.Hii ina maana gani?Ni kwamba mwenye kipaji haitaji promo au wachambuzi wa siasa ya soka.Kipaji au ile ladha ya kuchezea mpira kila mtu anaweza kuona mwenyewe.Naposema ladha ya mpira angalia watu kama; Zidane,Maradona,JJ Okocha,Neymer,Suarez,Garincha nk.
Nawasilisha.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
January asipo chukua Cr 7 nahamia Aleppo Syria, yaani kitendo cha yeye kushind UCL na EUROPA cup of nations , na Messi kukosa penalt yake dhid ya Chile.
Basi mwaka ndio uliishia pale
2014 ronaldo alitoka kapa makombe yote hakuchukua hata moja huku watu walichukua worldcup nk ila tuzo akachukua yy..usije shangaa
 
Fifa ballondor ni January

Aliyoshinda ni la jarida la France

Tuzo gani kila mtu yupo kwake,messi yupo Qatar,Griezman alikuwa anacheza dhidi ya Villarreal ,..January ndio kila kitu FIFA award
Fifa balon dor haipo tena,iliyotolewa jana ni balon dor ya january ni Fifa player of the year
 
Hii tuzo sijaielewa jinsi walivyo itoa bila sherehe tofauti na miaka mingine,pia akukuwa na mdaalo wa wachezaji waliokuwa wanagombania kama miaka mingine,kwa nini mwaka huu hawakupiga kura wachezaji na makocho,hii tuzo kumbe haitolewi na FIFA?mwenye majibu anisaidie
 
za mwaka huu zimetengana na za fifa
hizi zimetolewa na jarida la michezo la ufaransa
hivyo za fifa zitagaiwa mwakani

ziliungana mwaka 2008 zimetengana tena
 
Back
Top Bottom