Ballon d'Or : Christiano Ronaldo ashinda tuzo ya mchezaji bora wa Dunia 2016

Ballon d'Or : Christiano Ronaldo ashinda tuzo ya mchezaji bora wa Dunia 2016

Messi ndiye kapata tuzo ya mchezaj bora wa dunia mara nyingi zaidi. KAPATA MARA TANO WENGINE WANAFUATA MATAKONI.
 
Sasa we shoga unahisi mi ni dada.
Kwa hiyo wewe mwanaume kuolewa ndio unahisi kila mtu yuko hivo ee!?
Uache hayo mambo asee, halafu unatuchafulia mpira wetu.

Kweli umekubuhu
Umejitahidi kujificha ficha mwisho umeamua kujiachia bila kujijua,nilijua tu nikikuvuta vuta utajiachia tu, mpira gani unaoujua wewe dada? Nimecheki comment zako hapa JF zimejaa vineno vya kipumbavu tu!
 
Umejitahidi kujificha ficha mwisho umeamua kujiachia bila kujijua,nilijua tu nikikuvuta vuta utajiachia tu, mpira gani unaoujua wewe dada? Nimecheki comment zako hapa JF zimejaa vineno vya kipumbavu tu!
Tatizo we ushoga wako una uleta hadi kwenye mpira.
Huo ni ujinga.
 
Wakuu haina maana ya kuhitilafiana sote ni wamoja

tusitamkiane maneno gombanishi
[emoji120] [emoji120] [emoji120]
Kauli bora sana hii ifanyieni kazi mwisho wa siku hata kila mmoja wetu akibaki na misimamo yake lakini tusiwe la lugha za kuchukiza naamini katika great thinker.
 
Unajua hawa waandaaji wa hizi tuzo ushabiki wao wa soccer sio kama wa kwetu sisi tunaoangalia mpira SS3 kumshindanisha messi na ronaldo sio battle ya kitoto kule india jamaa walibishana mpaka wakachomana visu nyi mnabishana huku mnakunywa kahawa.....alichokifanya ronaldo ni kama alichofanya mwanafunzi aliekuwa tanzania 1 kibaha na kwenda mzumbe pia kuwa tanzania one......huyu lazima apewe sifa kuliko yule aliekuwa tanzania 1 pale kibaha tu......pia kingine hebu tujaribu kujenga fikra za kufikirika tumchukue huyu messi akacheze pale madrid alafu ronaldo aje acheze na iniesta anaetoa pasi ambazo hata kichunya anaweza akafunga sijui itakuwaje......tuliache hilo tukumbuke pia wachezaji wa bara la ulaya na wachezaji wa bara la america kusin uchezaji wao wa mpira ni tofauti sana hawa wa ulaya (Zidane, beckam,bale,ronaldo,figo) mpira wanautanguliza mbele Na wale wa @America kusini wanatembea na mpira (Messi, ronaldinho,neymer,suarez)
 
Back
Top Bottom