Balozi Ami Mpungwe: Tanzania bado inanunua sukari Uganda, Rais Museveni hakumpa taarifa sahihi Rais Samia

Balozi Ami Mpungwe: Tanzania bado inanunua sukari Uganda, Rais Museveni hakumpa taarifa sahihi Rais Samia

Hangaya kweli mweupe ina maana alikua hajui?

..hangaya alitakiwa awe na taarifa sahihi kuhusu biashara kati ya Tz na Ug wakati anakutana na rais museveni.

..na taarifa hizo alitakiwa apewe na wasaidizi wake, au aziagize toka kwa wasaidizi wake, kama sehemu ya kujiandaa na mkutano wake na raisi wa Ug.

..katika hili hangaya na timu yake wametuangusha. They did not do their home work.
 
Kumwambia Msaidizi wake....nonsense ,mbele ya wageni,nacho ni kitendo. ...no....😄😄
 
..hangaya alitakiwa awe na taarifa sahihi kuhusu biashara kati ya Tz na Ug wakati anakutana na rais museveni.

..na taarifa hizo alitakiwa apewe na wasaidizi wake, au aziagize toka kwa wasaidizi wake, kama sehemu ya kujiandaa na mkutano wake na raisi wa Ug.

..katika hili hangaya na timu yake wametuangusha. They did not do their home work.
Tushazoea ripoti za kupika sasa wewe unategemea jipya lipi?
 
Sasa tumwamini nani aliyegoma kwenye video yake kuwa kamwe hataruhusu au au mwenye mamlaka ya juu
Waziri hakugoma kuagiza bali alisema kama kuna uhitaji na vibali atatoa yeye,
Alichokataa ni watu kupewa vibali na kushindwa kulinda wazalishaji.
 
Back
Top Bottom