Hangaya kweli mweupe ina maana alikua hajui?
Imeishaaaa hiyoooo bado maswali kwetu sisi lkn balozi kamaliza kazi yakeBalozi anamanisha M7 na Chifu Ni waongo woote?
In other words, running a government is not like running a company or familyso what
Sisi ni kuagiza popcorn tu na kahawaNdio kama wao kwa wao wanagombana sisi tufanyeje?
Keshazoea vya kupikiwa tuHangaya kweli mweupe ina maana alikua hajui?
Wametuvua nguo sasa wacha tuwasubiri wale wafia chama watetea nini huu ujingaBalozi ndiyo muwakikishi wa nchi alikotoka
Hakuambiwa yeye bali hilo ni tusi la jumla kwa wahusikaHuyo balozi anayepingana na marais wawili. Nonsense
Wamedemkamihemko inaendelea ......haikuwa lugha ile....NON SENSE
Wale wanaosema wahuni bado wapoWametuvua nguo sasa wacha tuwasubiri wale wafia chama watetea nini huu ujinga
Tushazoea ripoti za kupika sasa wewe unategemea jipya lipi?..hangaya alitakiwa awe na taarifa sahihi kuhusu biashara kati ya Tz na Ug wakati anakutana na rais museveni.
..na taarifa hizo alitakiwa apewe na wasaidizi wake, au aziagize toka kwa wasaidizi wake, kama sehemu ya kujiandaa na mkutano wake na raisi wa Ug.
..katika hili hangaya na timu yake wametuangusha. They did not do their home work.
Sasa hivi tupo kwenye kipindi kigumu sana cha mpitoWale wanaosema wahuni bado wapo
Sasa tumwamini nani aliyegoma kwenye video yake kuwa kamwe hataruhusu au au mwenye mamlaka ya juu
Waziri hakugoma kuagiza bali alisema kama kuna uhitaji na vibali atatoa yeye,Sasa tumwamini nani aliyegoma kwenye video yake kuwa kamwe hataruhusu au au mwenye mamlaka ya juu