Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajisikiaje? Unanufaikaje? Ng'ombe ya longido kabisa wewe!Waislam oyeee
Waislam oyeee
Kama sijakosea origin yake ni malawi.Wazazi ukiwa na pesa somesha mtoto sana huyo balozi mwanasheria Chipeta kulikuwa na jaji mheshimiwa jaji Chipeta
Maji hufuata mkondo
Kabisaa huyu dada ni Mkwe wake jaji Chipeta,kaolewa na Walter mtoto wa jaji chipeta ambaye pia ni advocate,mzee jaji baada ya kustaafu anafanya kwenye firm ya mwanae WalterWazazi ukiwa na pesa somesha mtoto sana huyo balozi mwanasheria Chipeta kulikuwa na jaji mheshimiwa jaji Chipeta
Maji hufuata mkondo
Acha kuongea vitu usivyovijuaKama sijakosea origin yake ni malawi.
Hawa ndio Nyerere aliwachukua miaka ile tukiwa na uhaba wa wasomi watusaidie kwenye Judiciary.
AbarikiweBalozi Caroline Kitana Chipeta ameteuliwa kuwa Balozi wa Tanzania, The Hague nchini Uholanzi
Balozi Chipeta alikuwa Mkurugenzi wa Kitengo cha Sheria, Wizara ya Mambo ya Nje
View attachment 2304489
Hamjaelewana padogo sana. Yeye kaongozwa na jina tu. Ni kweli Chipetas ni Malawi kwa asiliAcha kuongea vitu usivyovijua
Wanyasa wa Tanzania kibao wanaitwa chipetaHamjaelewana padogo sana. Yeye kaongozwa na jina tu. Ni kweli Chipetas ni Malawi kwa asili
Huo ndio ukweli wenyewe.Acha kuongea vitu usivyovijua
Baba Yake Ni Mmalawi alikua Judge Chipeta.Hamjaelewana padogo sana. Yeye kaongozwa na jina tu. Ni kweli Chipetas ni Malawi kwa asili
Unaona sasa unavyochemsha.Baba Yake Ni Mmalawi alikua Judge Chipeta.
Nyerere aliwachukua kusaidia Judiciary.
Mbona Wamalawi wengi tu kwenye system yetu.
Hatuna tatizo nao.
Hiyo haiondoi ukweli kuwa Huyo Jaji ni Mmalawi.Unaona sasa unavyochemsha.
huyo mteule sio mtoto wa jaji Chipeta bali ni mkwe wake
Ameolewa na mtoto wa jaji Chipeta anaitwa Walter
Chipeta ni jina la makabila ya mipakaniHamjaelewana padogo sana. Yeye kaongozwa na jina tu. Ni kweli Chipetas ni Malawi kwa asili
Hayo ni makabila ya mipakani majina yanafanana kila upandeBaba Yake Ni Mmalawi alikua Judge Chipeta.
Nyerere aliwachukua kusaidia Judiciary.
Mbona Wamalawi wengi tu kwenye system yetu.
Hatuna tatizo nao.
Kaula hongera zake. Siyo unachaguliwa Malawi halafu unakata mauno mbele ya kamera jikonina kuposti kukera watu.Balozi Caroline Kitana Chipeta ameteuliwa kuwa Balozi wa Tanzania, The Hague nchini Uholanzi
Balozi Chipeta alikuwa Mkurugenzi wa Kitengo cha Sheria, Wizara ya Mambo ya Nje
View attachment 2304489