Bwashe mbona huyu chipeta ni Mmalawi? Hiyo nchi ndo imekuwa mwakilishi Wa TZ The Hague? Nauliza tu, zote ni nchi za kiafrika na tupo SADC. Wala haina shida? Au ni impact ya mzee Polepole huko?Ni jambo jema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwashe mbona huyu chipeta ni Mmalawi? Hiyo nchi ndo imekuwa mwakilishi Wa TZ The Hague? Nauliza tu, zote ni nchi za kiafrika na tupo SADC. Wala haina shida? Au ni impact ya mzee Polepole huko?Ni jambo jema
Sahihi sanaKama sijakosea origin yake ni malawi.
Hawa ndio Nyerere aliwachukua miaka ile tukiwa na uhaba wa wasomi watusaidie kwenye Judiciary.
Utasomesha sana, if you are no body in this country, utaomesha hadi suruali itoboke matak9 hutoona matokeo. Usiige Tembo kunya utapasuka msamba.Wazazi ukiwa na pesa somesha mtoto sana huyo balozi mwanasheria Chipeta kulikuwa na jaji mheshimiwa jaji Chipeta
Maji hufuata mkondo