Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati tunapata uhuru Tanganyika ilikua na wasomi wachache mno.Hayo ni makabila ya mipakani majina yanafanana kila upande
Kwa nini useme ni wa Malawi na sio watanzania? Hata kama Malawi wakipata kiongozi anaitwa Chipeta?
Naibu mkuu wa majeshi Zambia alikuwa mtanzania alipokufa Zambia alikuja kuzikwa Tanzania aliletwa kwa gharama zao
Mipakani miingiliano sana
Watu walishangaa inakuwaje Naibu mkuu wa majeshi Zambia hazikwi Zambia familia inataka azikwe Tanzania ambako wengi wa wana familia wapo
Afadhali ya ng'ombe wa longido ana akili, kuliko wewe kuku wa kisasa.Unajisikiaje? Unanufaikaje? Ng'ombe ya longido kabisa wewe!
Wao ndio wana tatizo na sisi,kile kiande cha ziwa nyasa.Baba Yake Ni Mmalawi alikua Judge Chipeta.
Nyerere aliwachukua kusaidia Judiciary.
Mbona Wamalawi wengi tu kwenye system yetu.
Hatuna tatizo nao.
Mimi mnyasa, Mtanzania org. Hatuna watu kule nyasa wanaitwa chipetaWanyasa wa Tanzania kibao wanaitwa chipeta
huna akili.Waislam oyeee
Huo ndio ukweli wenyewe.
Chipeta ni watu wa Malawi
Na Mzee wake ni Mmalawi.
That's it.
Hadi 2025 ukivaa sketi au gauni unapata uteuzi.Balozi Caroline Kitana Chipeta ameteuliwa kuwa Balozi wa Tanzania, The Hague nchini Uholanzi
Balozi Chipeta alikuwa Mkurugenzi wa Kitengo cha Sheria, Wizara ya Mambo ya Nje
View attachment 2304489
Hapa JF kuna watu hawafahamu historia ya nchi yetu vizuri.Mimi mnyasa, Mtanzania org. Hatuna watu kule nyasa wanaitwa chipeta
Lakini nchini kwako wanaletwa wa hivyo kutoka mataifa mengine. Tanzania bado tumedumaa sana kichwani na hatujui mambo mengi sana na hatuna exposure hata kidogo. Tanzania mtu akisikia engineer fulani kateuliwa kuwa balozi yeye anaona ni sawa, lakini akisikia Polisi au Jeshi kateuliwa Balozi anaona sio sawa, yaani hata kama huyo Police ana degree zake za kutosha tu. Kiukweli sisi ni washamba sana na IQ zetu is very lowTumpe hongera zake.
Heri aende yeye kuliko wanajeshi na mapolisi wanaopewa kazi za kidiplomasia.
Ficha ujinga wako.Waislam oyeee
Mimi kama mimi ningependa wanadiplomasia ndio wawe mabalozi. Hii itawapa moyo watu kusomea hiyo fani.Lakini nchini kwako wanaletwa wa hivyo kutoka mataifa mengine. Tanzania bado tumedumaa sana kichwani na hatujui mambo mengi sana na hatuna exposure hata kidogo. Tanzania mtu akisikia engineer fulani kateuliwa kuwa balozi yeye anaona ni sawa, lakini akisikia Polisi au Jeshi kateuliwa Balozi anaona sio sawa, yaani hata kama huyo Police ana degree zake za kutosha tu. Kiukweli sisi ni washamba sana na IQ zetu is very low
Ng'ombe mwingine huyu! Unashangilia udini kindezi Sana! Hicho kijeni lowasa anakusaga kingese!Afadhali ya ng'ombe wa longido ana akili, kuliko wewe kuku wa kisasa.
Uongo unakusaidia nini?Baba Yake Ni Mmalawi alikua Judge Chipeta.
Nyerere aliwachukua kusaidia Judiciary.
Mbona Wamalawi wengi tu kwenye system yetu.
Hatuna tatizo nao.
Haiwezekani kuwarudisha kwao saa hii?Kama sijakosea origin yake ni malawi.
Hawa ndio Nyerere aliwachukua miaka ile tukiwa na uhaba wa wasomi watusaidie kwenye Judiciary.
Angekuwa muislamu tungejua,Dini gani huyo balozi
Sio ujinga, ni mjanja kawahi kujihamiFicha ujinga wako.
Khe nawe umechanganya mamboKabisaa huyu dada ni Mkwe wake jaji Chipeta,kaolewa na Walter mtoto wa jaji chipeta ambaye pia ni advocate,mzee jaji baada ya kustaafu anafanya kwenye firm ya mwanae Walter