Tetesi: Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi anaandaliwa kumrithi Rais Samia

Tetesi: Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi anaandaliwa kumrithi Rais Samia

NewChapter

Senior Member
Joined
May 17, 2024
Posts
173
Reaction score
123
IMG-20240922-WA0031.jpg

Kuna kila dalili asasi na azaki mbalimbali pamoja na watu mbalimbali wanaonesha kiu ya kuongozwa na mwanadiplomasia huyu mbobevu wa Kimataifa.

Sababu za kwanini awe Nchimbi,

1. Unyenyekevu kwa Mama Tanzania, huyu Nchimbi yeye yuko tayari awe chini ila Tanzania iwe juu kwa lolote ( rejea press yake ya majuzi )

2. Hana tuhuma yoyote ya wizi Wala Ufisadi au rushwa popote the man is totally clean.

3. Anamahusiano mazuri sana na vyama vyote 19 rafiki nchini.

4. Anaungwa mkono na Viongozi wa dini hasa kanisa kubwa Katoliki kwani ni mseminari kwa Elimu yake.

5. Maneno yake mengi ni katika kuliunganisha Taifa na yeye ndio nembo ya umoja na amani kwa Taifa ndani ya CCM na nje ya CCM Kwa Sasa.

6. Nchimbi ni muumini wa nchi kuongozwa kidiplomasia zaidi huku akithamini zaidi mahusiano ya Kimataifa kwani si rahisi kuishi kama Kijiji.

7. Anaamini katika haki za kila kundi huku akichukizwa zaidi na aina yoyote ya uonevu kwa mtanzania yeyote wa itikadi au rangi yoyote.


#WATANZANIA KWA SASA NI NCHIMBI
 
Naona unataka umponze Mheshimiwa Katibu Mkuu

Katika vitu watu wanajutia ni Msiba wa 21/3/2021 maana wengi walishajiandaa kwa Uchaguzi wa Mwaka 2025

Sasa aliyepo anataka aende hadi 2030

Kwahiyo huu ni muda wa WanaCCM kutoachiniana Maji ya kunywa mezani

Ukiyaacha, hakikisha hauyanywi hata ukiyakuta sealed
 
View attachment 3102746
Kuna kila dalili asasi na azaki nyingi pamoja na watu mbalimbali wanaonesha kiu ya kuongozwa na mwanadiplomasia huyu mbobevu wa Kimataifa.

Sababu za kwanini awe Nchimbi,

1. Unyenyekevu kwa Mama Tanzania, huyu Nchimbi yeye yuko tayari awe chini ila Tanzania iwe juu kwa lolote ( rejea press yake ya majuzi )

2. Hana tuhuma yoyote ya wizi Wala Ufisadi au rushwa popote the man is totally clean.

3. Anamahusiano mazuri sana na vyama vyote 19 rafiki nchini.

4. Anaungwa mkono na Viongozi wa dini hasa kanisa kubwa Katoliki kwani ni mseminari kwa Elimu yake.

5. Maneno yake mengi ni katika kuliunganisha Taifa na yeye ndio nembo ya umoja na amani kwa Taifa ndani ya CCM na nje ya CCM Kwa Sasa.

6. Nchimbi ni muumini wa nchi kuongozwa kidiplomasia zaidi huku akithamini zaidi mahusiano ya Kimataifa kwani si rahisi kuishi kama Kijiji.

7. Anaamini katika haki za kila kundi huku akichukizwa zaidi na aina yoyote ya uonevu kwa mtanzania yeyote wa itikadi au rangi yoyote.


#WATANZANIA KWA SASA NI NCHIMBI
Akishika rungu ndio unaweza kumjua mtu ,kabla sio rahisi.
 
View attachment 3102746
Kuna kila dalili asasi na azaki nyingi pamoja na watu mbalimbali wanaonesha kiu ya kuongozwa na mwanadiplomasia huyu mbobevu wa Kimataifa.

Sababu za kwanini awe Nchimbi,

1. Unyenyekevu kwa Mama Tanzania, huyu Nchimbi yeye yuko tayari awe chini ila Tanzania iwe juu kwa lolote ( rejea press yake ya majuzi )

2. Hana tuhuma yoyote ya wizi Wala Ufisadi au rushwa popote the man is totally clean.

3. Anamahusiano mazuri sana na vyama vyote 19 rafiki nchini.

4. Anaungwa mkono na Viongozi wa dini hasa kanisa kubwa Katoliki kwani ni mseminari kwa Elimu yake.

5. Maneno yake mengi ni katika kuliunganisha Taifa na yeye ndio nembo ya umoja na amani kwa Taifa ndani ya CCM na nje ya CCM Kwa Sasa.

6. Nchimbi ni muumini wa nchi kuongozwa kidiplomasia zaidi huku akithamini zaidi mahusiano ya Kimataifa kwani si rahisi kuishi kama Kijiji.

7. Anaamini katika haki za kila kundi huku akichukizwa zaidi na aina yoyote ya uonevu kwa mtanzania yeyote wa itikadi au rangi yoyote.


#WATANZANIA KWA SASA NI NCHIMBI
Asimame amkemee dadake kwa kuwazuia watanzania kuandamana ndio tutajua kama anafaa au la.
 
View attachment 3102746
Kuna kila dalili asasi na azaki nyingi pamoja na watu mbalimbali wanaonesha kiu ya kuongozwa na mwanadiplomasia huyu mbobevu wa Kimataifa.

Sababu za kwanini awe Nchimbi,

1. Unyenyekevu kwa Mama Tanzania, huyu Nchimbi yeye yuko tayari awe chini ila Tanzania iwe juu kwa lolote ( rejea press yake ya majuzi )

2. Hana tuhuma yoyote ya wizi Wala Ufisadi au rushwa popote the man is totally clean.

3. Anamahusiano mazuri sana na vyama vyote 19 rafiki nchini.

4. Anaungwa mkono na Viongozi wa dini hasa kanisa kubwa Katoliki kwani ni mseminari kwa Elimu yake.

5. Maneno yake mengi ni katika kuliunganisha Taifa na yeye ndio nembo ya umoja na amani kwa Taifa ndani ya CCM na nje ya CCM Kwa Sasa.

6. Nchimbi ni muumini wa nchi kuongozwa kidiplomasia zaidi huku akithamini zaidi mahusiano ya Kimataifa kwani si rahisi kuishi kama Kijiji.

7. Anaamini katika haki za kila kundi huku akichukizwa zaidi na aina yoyote ya uonevu kwa mtanzania yeyote wa itikadi au rangi yoyote.


#WATANZANIA KWA SASA NI NCHIMBI
Jamaa mpaka Sasa ni Rais kwa 90%
 
View attachment 3102746
Kuna kila dalili asasi na azaki mbalimbali pamoja na watu mbalimbali wanaonesha kiu ya kuongozwa na mwanadiplomasia huyu mbobevu wa Kimataifa.

Sababu za kwanini awe Nchimbi,

1. Unyenyekevu kwa Mama Tanzania, huyu Nchimbi yeye yuko tayari awe chini ila Tanzania iwe juu kwa lolote ( rejea press yake ya majuzi )

2. Hana tuhuma yoyote ya wizi Wala Ufisadi au rushwa popote the man is totally clean.

3. Anamahusiano mazuri sana na vyama vyote 19 rafiki nchini.

4. Anaungwa mkono na Viongozi wa dini hasa kanisa kubwa Katoliki kwani ni mseminari kwa Elimu yake.

5. Maneno yake mengi ni katika kuliunganisha Taifa na yeye ndio nembo ya umoja na amani kwa Taifa ndani ya CCM na nje ya CCM Kwa Sasa.

6. Nchimbi ni muumini wa nchi kuongozwa kidiplomasia zaidi huku akithamini zaidi mahusiano ya Kimataifa kwani si rahisi kuishi kama Kijiji.

7. Anaamini katika haki za kila kundi huku akichukizwa zaidi na aina yoyote ya uonevu kwa mtanzania yeyote wa itikadi au rangi yoyote.


#WATANZANIA KWA SASA NI NCHIMBI
Rais baada ya Samia ni David Kafulila


Ova.
 
View attachment 3102746
Kuna kila dalili asasi na azaki mbalimbali pamoja na watu mbalimbali wanaonesha kiu ya kuongozwa na mwanadiplomasia huyu mbobevu wa Kimataifa.

Sababu za kwanini awe Nchimbi,

1. Unyenyekevu kwa Mama Tanzania, huyu Nchimbi yeye yuko tayari awe chini ila Tanzania iwe juu kwa lolote ( rejea press yake ya majuzi )

2. Hana tuhuma yoyote ya wizi Wala Ufisadi au rushwa popote the man is totally clean.

3. Anamahusiano mazuri sana na vyama vyote 19 rafiki nchini.

4. Anaungwa mkono na Viongozi wa dini hasa kanisa kubwa Katoliki kwani ni mseminari kwa Elimu yake.

5. Maneno yake mengi ni katika kuliunganisha Taifa na yeye ndio nembo ya umoja na amani kwa Taifa ndani ya CCM na nje ya CCM Kwa Sasa.

6. Nchimbi ni muumini wa nchi kuongozwa kidiplomasia zaidi huku akithamini zaidi mahusiano ya Kimataifa kwani si rahisi kuishi kama Kijiji.

7. Anaamini katika haki za kila kundi huku akichukizwa zaidi na aina yoyote ya uonevu kwa mtanzania yeyote wa itikadi au rangi yoyote.


#WATANZANIA KWA SASA NI NCHIMBI
Anafaa kwa 100%, tumuunge mkono!
 
Kwa kipi alichokifanya kizuri Hadi awe rais?ccm wote ni watekaji na wauwaji wa watu watakuwaje wazuri
 
ahaha
Naona unataka umponze Mheshimiwa Katibu Mkuu

Katika vitu watu wanajutia ni Msiba wa 21/3/2021 maana wengi walishajiandaa kwa Uchaguzi wa Mwaka 2025

Sasa aliyepo anataka aende hadi 2030

Kwahiyo huu ni muda wa WanaCCM kutoachiniana Maji ya kunywa mezani

Ukiyaacha, hakikisha hauyanywi hata ukiyakuta sealed
dakika za majeruhi zimefika tungoje dakika za nyiongeza
 
Hivi kwanini ccm wamejipa hati miliki ya hili Taifa?
 
Back
Top Bottom