Tetesi: Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi anaandaliwa kumrithi Rais Samia

Tetesi: Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi anaandaliwa kumrithi Rais Samia

Tutafute watu aina ya Mtaka na Mavunde...

Ni watendaji wazuri na hawana makundi...

Bashe atairudisha team Lowassa...
Huwa naona Bashe yuko Ngangari sana kwenye kilimo hatanii anataka kuona kilimo kiko juu na naamini akipewa rungu la Urais huyu ni next Magufuli trust me.

Binafsi sioni waziri mwingine mwenye mzuka na kazi yake zaidi ya Bashe. Naamini akipewa Urais hiyo 2030 atanyoosha kila kisicho sawa, wasomali ngangari sana wakipewa rungu angalia Eng Hersi kule Yanga.

Mamvi keshaenda na kundi lake mzee!! Hiyo 2030 wengi wao watakuwa hawana tena maajabu! Kumbuka kwenye siasa there is no permanent friend or enemy!!
 
Huwa naona Bashe yuko Ngangari sana kwenye kilimo hatanii anataka kuona kilimo kiko juu na naamini akipewa rungu la Urais huyu ni next Magufuli trust me. Binafsi sioni waziri mwingine mwenye mzuka na kazi yake zaidi ya Bashe.

Mamvi kaenda na kundi lake mzee!!
Ni kweli Bashe anajitahidi kwenye kilimo...

Mfano kwenye kilimo cha tumbaku hatuna deni nae...

Hayo makundi hayafagi mkuu, angalia watu kama kina Bashiru, Kabudi, Lukuvi kina Makonda

Hawa wanaweza kua wanamtii Magufuli ambaye hayupo kuliko Samia...

Hapa mmoja akiwa raisi, utaiona serikali inayoakisi maono ya Magufuli yanashika kasi...

Hata hao kina Makamba wakishika madaraka, serikali zao zitakua Kikwete mtupu...

So na huyu Bashe hatokua tofauti na Godfather wake, japo hayupo...

Ni vizuri tupate test mpya ya uongozi, ambaye atakuja kuyaunganisha hayo makundi yote tuijenge nchi yetu...
 
View attachment 3102746
Kuna kila dalili asasi na azaki mbalimbali pamoja na watu mbalimbali wanaonesha kiu ya kuongozwa na mwanadiplomasia huyu mbobevu wa Kimataifa.

Sababu za kwanini awe Nchimbi,

1. Unyenyekevu kwa Mama Tanzania, huyu Nchimbi yeye yuko tayari awe chini ila Tanzania iwe juu kwa lolote ( rejea press yake ya majuzi )

2. Hana tuhuma yoyote ya wizi Wala Ufisadi au rushwa popote the man is totally clean.

3. Anamahusiano mazuri sana na vyama vyote 19 rafiki nchini.

4. Anaungwa mkono na Viongozi wa dini hasa kanisa kubwa Katoliki kwani ni mseminari kwa Elimu yake.

5. Maneno yake mengi ni katika kuliunganisha Taifa na yeye ndio nembo ya umoja na amani kwa Taifa ndani ya CCM na nje ya CCM Kwa Sasa.

6. Nchimbi ni muumini wa nchi kuongozwa kidiplomasia zaidi huku akithamini zaidi mahusiano ya Kimataifa kwani si rahisi kuishi kama Kijiji.

7. Anaamini katika haki za kila kundi huku akichukizwa zaidi na aina yoyote ya uonevu kwa mtanzania yeyote wa itikadi au rangi yoyote.


#WATANZANIA KWA SASA NI NCHIMBI


1,000,000% nakubali, anafaa zaidi kutuongoza watanzania baada ya Mama Samia kumaliza muda wake 👍👍
 
View attachment 3102746
Kuna kila dalili asasi na azaki mbalimbali pamoja na watu mbalimbali wanaonesha kiu ya kuongozwa na mwanadiplomasia huyu mbobevu wa Kimataifa.

Sababu za kwanini awe Nchimbi,

1. Unyenyekevu kwa Mama Tanzania, huyu Nchimbi yeye yuko tayari awe chini ila Tanzania iwe juu kwa lolote ( rejea press yake ya majuzi )

2. Hana tuhuma yoyote ya wizi Wala Ufisadi au rushwa popote the man is totally clean.

3. Anamahusiano mazuri sana na vyama vyote 19 rafiki nchini.

4. Anaungwa mkono na Viongozi wa dini hasa kanisa kubwa Katoliki kwani ni mseminari kwa Elimu yake.

5. Maneno yake mengi ni katika kuliunganisha Taifa na yeye ndio nembo ya umoja na amani kwa Taifa ndani ya CCM na nje ya CCM Kwa Sasa.

6. Nchimbi ni muumini wa nchi kuongozwa kidiplomasia zaidi huku akithamini zaidi mahusiano ya Kimataifa kwani si rahisi kuishi kama Kijiji.

7. Anaamini katika haki za kila kundi huku akichukizwa zaidi na aina yoyote ya uonevu kwa mtanzania yeyote wa itikadi au rangi yoyote.


#WATANZANIA KWA SASA NI NCHIMBI
Huyo ndiye mgombea wa CCM mwaka 2025
 
View attachment 3102746
Kuna kila dalili asasi na azaki mbalimbali pamoja na watu mbalimbali wanaonesha kiu ya kuongozwa na mwanadiplomasia huyu mbobevu wa Kimataifa.

Sababu za kwanini awe Nchimbi,

1. Unyenyekevu kwa Mama Tanzania, huyu Nchimbi yeye yuko tayari awe chini ila Tanzania iwe juu kwa lolote ( rejea press yake ya majuzi )

2. Hana tuhuma yoyote ya wizi Wala Ufisadi au rushwa popote the man is totally clean.

3. Anamahusiano mazuri sana na vyama vyote 19 rafiki nchini.

4. Anaungwa mkono na Viongozi wa dini hasa kanisa kubwa Katoliki kwani ni mseminari kwa Elimu yake.

5. Maneno yake mengi ni katika kuliunganisha Taifa na yeye ndio nembo ya umoja na amani kwa Taifa ndani ya CCM na nje ya CCM Kwa Sasa.

6. Nchimbi ni muumini wa nchi kuongozwa kidiplomasia zaidi huku akithamini zaidi mahusiano ya Kimataifa kwani si rahisi kuishi kama Kijiji.

7. Anaamini katika haki za kila kundi huku akichukizwa zaidi na aina yoyote ya uonevu kwa mtanzania yeyote wa itikadi au rangi yoyote.


#WATANZANIA KWA SASA NI NCHIMBI
Nchimbi oyeeeeeeee, Nchimbi safiiiiiii
 
Back
Top Bottom