Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
Hizo ulizotaja ndio sifa za kuwa Rais Tanzania?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna namna 😂Hivi kwanini ccm wamejipa hati miliki ya hili Taifa?
DaaahView attachment 3102746
Kuna kila dalili asasi na azaki mbalimbali pamoja na watu mbalimbali wanaonesha kiu ya kuongozwa na mwanadiplomasia huyu mbobevu wa Kimataifa.
Sababu za kwanini awe Nchimbi,
1. Unyenyekevu kwa Mama Tanzania, huyu Nchimbi yeye yuko tayari awe chini ila Tanzania iwe juu kwa lolote ( rejea press yake ya majuzi )
2. Hana tuhuma yoyote ya wizi Wala Ufisadi au rushwa popote the man is totally clean.
3. Anamahusiano mazuri sana na vyama vyote 19 rafiki nchini.
4. Anaungwa mkono na Viongozi wa dini hasa kanisa kubwa Katoliki kwani ni mseminari kwa Elimu yake.
5. Maneno yake mengi ni katika kuliunganisha Taifa na yeye ndio nembo ya umoja na amani kwa Taifa ndani ya CCM na nje ya CCM Kwa Sasa.
6. Nchimbi ni muumini wa nchi kuongozwa kidiplomasia zaidi huku akithamini zaidi mahusiano ya Kimataifa kwani si rahisi kuishi kama Kijiji.
7. Anaamini katika haki za kila kundi huku akichukizwa zaidi na aina yoyote ya uonevu kwa mtanzania yeyote wa itikadi au rangi yoyote.
#WATANZANIA KWA SASA NI NCHIMBI
WanaSiasa Wana windana sana, hasa inapofikia stage ya madarakaahaha
dakika za majeruhi zimefika tungoje dakika za nyiongeza
ngoja namimi siku moja nijitose.ukoWanaSiasa Wana windana sana, hasa inapofikia stage ya madaraka
Ukiingia huko inabidi uwe mjanja mjanja kidogo, vinginevyo hautachelewa kupandikiziwa madawa ya kulevya na kufunguliwa kesingoja namimi siku moja nijitose.uko
mwone tu alivyo huyo jama ni hatari kuliko hata maguSawa
Nilidhani Zamu ya Walokole akina Waumini wa Mwamposa 😄🌹
Nitamtafuta nimueleze nilichotendewa na Ccm maslahi kama akiweza kulimaliza jambo hili basi nami nitamuunga mkono kwamba kweli anafaa kupeperusha bendera ya Ccm 2030 😳🙄🙌View attachment 3102746
Kuna kila dalili asasi na azaki mbalimbali pamoja na watu mbalimbali wanaonesha kiu ya kuongozwa na mwanadiplomasia huyu mbobevu wa Kimataifa.
Sababu za kwanini awe Nchimbi,
1. Unyenyekevu kwa Mama Tanzania, huyu Nchimbi yeye yuko tayari awe chini ila Tanzania iwe juu kwa lolote ( rejea press yake ya majuzi )
2. Hana tuhuma yoyote ya wizi Wala Ufisadi au rushwa popote the man is totally clean.
3. Anamahusiano mazuri sana na vyama vyote 19 rafiki nchini.
4. Anaungwa mkono na Viongozi wa dini hasa kanisa kubwa Katoliki kwani ni mseminari kwa Elimu yake.
5. Maneno yake mengi ni katika kuliunganisha Taifa na yeye ndio nembo ya umoja na amani kwa Taifa ndani ya CCM na nje ya CCM Kwa Sasa.
6. Nchimbi ni muumini wa nchi kuongozwa kidiplomasia zaidi huku akithamini zaidi mahusiano ya Kimataifa kwani si rahisi kuishi kama Kijiji.
7. Anaamini katika haki za kila kundi huku akichukizwa zaidi na aina yoyote ya uonevu kwa mtanzania yeyote wa itikadi au rangi yoyote.
#WATANZANIA KWA SASA NI NCHIMBI
Karibu sanaNitamtafuta nimueleze nilichotendewa na Ccm maslahi kama akiweza kulimaliza jambo hili basi nami nitamuunga mkono kwamba kweli anafaa kupeperusha bendera ya Ccm 2030 😳🙄🙌
weee si utakuwa mwanasheria wanguUkiingia huko inabidi uwe mjanja mjanja kidogo, vinginevyo hautachelewa kupandikiziwa madawa ya kulevya na kufunguliwa kesi
Huyu tumbili mchawi..Rais baada ya Samia ni David Kafulila
Ova.
😂😂😂Kamloga nani?Huyu tumbili mchawi..
Upuuzi mtupuHakuna namna 😂
2025 ni Samia...2030 hiyo vipi na 2025 kuna uchaguzi!
ccm wakalitazame hili kuliponya Taifa 2025. Mwl Nyerere alisema mabadiliko yasipatikana ndani ya CCM yatapatikana nje ya CCM.View attachment 3102746
Kuna kila dalili asasi na azaki mbalimbali pamoja na watu mbalimbali wanaonesha kiu ya kuongozwa na mwanadiplomasia huyu mbobevu wa Kimataifa.
Sababu za kwanini awe Nchimbi,
1. Unyenyekevu kwa Mama Tanzania, huyu Nchimbi yeye yuko tayari awe chini ila Tanzania iwe juu kwa lolote ( rejea press yake ya majuzi )
2. Hana tuhuma yoyote ya wizi Wala Ufisadi au rushwa popote the man is totally clean.
3. Anamahusiano mazuri sana na vyama vyote 19 rafiki nchini.
4. Anaungwa mkono na Viongozi wa dini hasa kanisa kubwa Katoliki kwani ni mseminari kwa Elimu yake.
5. Maneno yake mengi ni katika kuliunganisha Taifa na yeye ndio nembo ya umoja na amani kwa Taifa ndani ya CCM na nje ya CCM Kwa Sasa.
6. Nchimbi ni muumini wa nchi kuongozwa kidiplomasia zaidi huku akithamini zaidi mahusiano ya Kimataifa kwani si rahisi kuishi kama Kijiji.
7. Anaamini katika haki za kila kundi huku akichukizwa zaidi na aina yoyote ya uonevu kwa mtanzania yeyote wa itikadi au rangi yoyote.
#WATANZANIA KWA SASA NI NCHIMBI
Ikulu si pango la walanguzi by Mwl Nyerere. Ikulu kuna biashara gani hadi watu wanang'ang'ania madaraka namna hii?Naona unataka umponze Mheshimiwa Katibu Mkuu
Katika vitu watu wanajutia ni Msiba wa 21/3/2021 maana wengi walishajiandaa kwa Uchaguzi wa Mwaka 2025
Sasa aliyepo anataka aende hadi 2030
Kwahiyo huu ni muda wa WanaCCM kutoachiniana Maji ya kunywa mezani
Ukiyaacha, hakikisha hauyanywi hata ukiyakuta sealed
Mpaka leo hii sijui!2025 ni Samia...
Wakati inaitwa awamu ya 6 hukujua maana yake?
Mseminari NchimbiKwa kweli binafsi ni matamanio yangu pia
PLus:
1.Ana msimamo usioyumba
2.Ana uzoefu ndani na nje ya nchi.(exposure)
3.Ni mwadilifu- sjawahi kusikia kashfa kumhusu
4.Anapenda democrasia na ana uwezo wa kukidhibiti chama vyema maana anakijua vyema.
5.Sio bepari kindakindaki bado ana ujamaa ndani yake (uchumi bora kwa wate nq sio kwq mqkundi flani)
Hupendi kuwa Mungu wa TanzaniaIkulu si pango la walanguzi by Mwl Nyerere. Ikulu kuna biashara gani hadi watu wanang'ang'ania madaraka namna hii?