Tetesi: Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi anaandaliwa kumrithi Rais Samia

Tetesi: Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi anaandaliwa kumrithi Rais Samia

View attachment 3102746
Kuna kila dalili asasi na azaki mbalimbali pamoja na watu mbalimbali wanaonesha kiu ya kuongozwa na mwanadiplomasia huyu mbobevu wa Kimataifa.

Sababu za kwanini awe Nchimbi,

1. Unyenyekevu kwa Mama Tanzania, huyu Nchimbi yeye yuko tayari awe chini ila Tanzania iwe juu kwa lolote ( rejea press yake ya majuzi )

2. Hana tuhuma yoyote ya wizi Wala Ufisadi au rushwa popote the man is totally clean.

3. Anamahusiano mazuri sana na vyama vyote 19 rafiki nchini.

4. Anaungwa mkono na Viongozi wa dini hasa kanisa kubwa Katoliki kwani ni mseminari kwa Elimu yake.

5. Maneno yake mengi ni katika kuliunganisha Taifa na yeye ndio nembo ya umoja na amani kwa Taifa ndani ya CCM na nje ya CCM Kwa Sasa.

6. Nchimbi ni muumini wa nchi kuongozwa kidiplomasia zaidi huku akithamini zaidi mahusiano ya Kimataifa kwani si rahisi kuishi kama Kijiji.

7. Anaamini katika haki za kila kundi huku akichukizwa zaidi na aina yoyote ya uonevu kwa mtanzania yeyote wa itikadi au rangi yoyote.


#WATANZANIA KWA SASA NI NCHIMBI
Daaah
 
View attachment 3102746
Kuna kila dalili asasi na azaki mbalimbali pamoja na watu mbalimbali wanaonesha kiu ya kuongozwa na mwanadiplomasia huyu mbobevu wa Kimataifa.

Sababu za kwanini awe Nchimbi,

1. Unyenyekevu kwa Mama Tanzania, huyu Nchimbi yeye yuko tayari awe chini ila Tanzania iwe juu kwa lolote ( rejea press yake ya majuzi )

2. Hana tuhuma yoyote ya wizi Wala Ufisadi au rushwa popote the man is totally clean.

3. Anamahusiano mazuri sana na vyama vyote 19 rafiki nchini.

4. Anaungwa mkono na Viongozi wa dini hasa kanisa kubwa Katoliki kwani ni mseminari kwa Elimu yake.

5. Maneno yake mengi ni katika kuliunganisha Taifa na yeye ndio nembo ya umoja na amani kwa Taifa ndani ya CCM na nje ya CCM Kwa Sasa.

6. Nchimbi ni muumini wa nchi kuongozwa kidiplomasia zaidi huku akithamini zaidi mahusiano ya Kimataifa kwani si rahisi kuishi kama Kijiji.

7. Anaamini katika haki za kila kundi huku akichukizwa zaidi na aina yoyote ya uonevu kwa mtanzania yeyote wa itikadi au rangi yoyote.


#WATANZANIA KWA SASA NI NCHIMBI
Nitamtafuta nimueleze nilichotendewa na Ccm maslahi kama akiweza kulimaliza jambo hili basi nami nitamuunga mkono kwamba kweli anafaa kupeperusha bendera ya Ccm 2030 😳🙄🙌
 
View attachment 3102746
Kuna kila dalili asasi na azaki mbalimbali pamoja na watu mbalimbali wanaonesha kiu ya kuongozwa na mwanadiplomasia huyu mbobevu wa Kimataifa.

Sababu za kwanini awe Nchimbi,

1. Unyenyekevu kwa Mama Tanzania, huyu Nchimbi yeye yuko tayari awe chini ila Tanzania iwe juu kwa lolote ( rejea press yake ya majuzi )

2. Hana tuhuma yoyote ya wizi Wala Ufisadi au rushwa popote the man is totally clean.

3. Anamahusiano mazuri sana na vyama vyote 19 rafiki nchini.

4. Anaungwa mkono na Viongozi wa dini hasa kanisa kubwa Katoliki kwani ni mseminari kwa Elimu yake.

5. Maneno yake mengi ni katika kuliunganisha Taifa na yeye ndio nembo ya umoja na amani kwa Taifa ndani ya CCM na nje ya CCM Kwa Sasa.

6. Nchimbi ni muumini wa nchi kuongozwa kidiplomasia zaidi huku akithamini zaidi mahusiano ya Kimataifa kwani si rahisi kuishi kama Kijiji.

7. Anaamini katika haki za kila kundi huku akichukizwa zaidi na aina yoyote ya uonevu kwa mtanzania yeyote wa itikadi au rangi yoyote.


#WATANZANIA KWA SASA NI NCHIMBI
ccm wakalitazame hili kuliponya Taifa 2025. Mwl Nyerere alisema mabadiliko yasipatikana ndani ya CCM yatapatikana nje ya CCM.
 
Kwa kweli binafsi ni matamanio yangu pia

PLus:
1.Ana msimamo usioyumba
2.Ana uzoefu ndani na nje ya nchi.(exposure)
3.Ni mwadilifu- sjawahi kusikia kashfa kumhusu
4.Anapenda democrasia na ana uwezo wa kukidhibiti chama vyema maana anakijua vyema.
5.Sio bepari kindakindaki bado ana ujamaa ndani yake (uchumi bora kwa wate nq sio kwq mqkundi flani)
 
Naona unataka umponze Mheshimiwa Katibu Mkuu

Katika vitu watu wanajutia ni Msiba wa 21/3/2021 maana wengi walishajiandaa kwa Uchaguzi wa Mwaka 2025

Sasa aliyepo anataka aende hadi 2030

Kwahiyo huu ni muda wa WanaCCM kutoachiniana Maji ya kunywa mezani

Ukiyaacha, hakikisha hauyanywi hata ukiyakuta sealed
Ikulu si pango la walanguzi by Mwl Nyerere. Ikulu kuna biashara gani hadi watu wanang'ang'ania madaraka namna hii?
 
Kwa kweli binafsi ni matamanio yangu pia

PLus:
1.Ana msimamo usioyumba
2.Ana uzoefu ndani na nje ya nchi.(exposure)
3.Ni mwadilifu- sjawahi kusikia kashfa kumhusu
4.Anapenda democrasia na ana uwezo wa kukidhibiti chama vyema maana anakijua vyema.
5.Sio bepari kindakindaki bado ana ujamaa ndani yake (uchumi bora kwa wate nq sio kwq mqkundi flani)
Mseminari Nchimbi
 
Ikulu si pango la walanguzi by Mwl Nyerere. Ikulu kuna biashara gani hadi watu wanang'ang'ania madaraka namna hii?
Hupendi kuwa Mungu wa Tanzania

Maana Kwa Katiba yetu, Rais wa Nchi anafananishwa na Mungu wa mbinguni

Yupo above all
 
Back
Top Bottom