Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Kwa umri nilionao nitakuwa nimezeeka zaidi hivyo nitakuwa nimeshaanza kusahau vifungu vya Sheria 😜weee si utakuwa mwanasheria wangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa umri nilionao nitakuwa nimezeeka zaidi hivyo nitakuwa nimeshaanza kusahau vifungu vya Sheria 😜weee si utakuwa mwanasheria wangu
ngo'mbe hazeeki mainiKwa umri nilionao nitakuwa nimezeeka zaidi hivyo nitakuwa nimeshaanza kusahau vifungu vya Sheria 😜
Nchimbi na Kafulila wanaiweza hiyo nafasiHupendi kuwa Mungu wa Tanzania
Maana Kwa Katiba yetu, Rais wa Nchi anafananishwa na Mungu wa mbinguni
Yupo above all
Wana mtandao wataridhia hilo wakati walishajiandaa?Nchimbi na Kafulila wanaiweza hiyo nafasi
Naunga mkono hoja yakoRais baada ya Samia ni David Kafulila
Ova.
ukweli na uhakika vimekaribiana sana juu ya tetesi hii dah 🐒View attachment 3102746
Kuna kila dalili asasi na azaki mbalimbali pamoja na watu mbalimbali wanaonesha kiu ya kuongozwa na mwanadiplomasia huyu mbobevu wa Kimataifa.
Sababu za kwanini awe Nchimbi,
1. Unyenyekevu kwa Mama Tanzania, huyu Nchimbi yeye yuko tayari awe chini ila Tanzania iwe juu kwa lolote ( rejea press yake ya majuzi )
2. Hana tuhuma yoyote ya wizi Wala Ufisadi au rushwa popote the man is totally clean.
3. Anamahusiano mazuri sana na vyama vyote 19 rafiki nchini.
4. Anaungwa mkono na Viongozi wa dini hasa kanisa kubwa Katoliki kwani ni mseminari kwa Elimu yake.
5. Maneno yake mengi ni katika kuliunganisha Taifa na yeye ndio nembo ya umoja na amani kwa Taifa ndani ya CCM na nje ya CCM Kwa Sasa.
6. Nchimbi ni muumini wa nchi kuongozwa kidiplomasia zaidi huku akithamini zaidi mahusiano ya Kimataifa kwani si rahisi kuishi kama Kijiji.
7. Anaamini katika haki za kila kundi huku akichukizwa zaidi na aina yoyote ya uonevu kwa mtanzania yeyote wa itikadi au rangi yoyote.
#WATANZANIA KWA SASA NI NCHIMBI
Ndoa tu imemshinda ataweza nchi.Rais baada ya Samia ni David Kafulila
Ova.
Anaeandaliwa keshajulikana huyo anapiga deki tuView attachment 3102746
Kuna kila dalili asasi na azaki mbalimbali pamoja na watu mbalimbali wanaonesha kiu ya kuongozwa na mwanadiplomasia huyu mbobevu wa Kimataifa.
Sababu za kwanini awe Nchimbi,
1. Unyenyekevu kwa Mama Tanzania, huyu Nchimbi yeye yuko tayari awe chini ila Tanzania iwe juu kwa lolote ( rejea press yake ya majuzi )
2. Hana tuhuma yoyote ya wizi Wala Ufisadi au rushwa popote the man is totally clean.
3. Anamahusiano mazuri sana na vyama vyote 19 rafiki nchini.
4. Anaungwa mkono na Viongozi wa dini hasa kanisa kubwa Katoliki kwani ni mseminari kwa Elimu yake.
5. Maneno yake mengi ni katika kuliunganisha Taifa na yeye ndio nembo ya umoja na amani kwa Taifa ndani ya CCM na nje ya CCM Kwa Sasa.
6. Nchimbi ni muumini wa nchi kuongozwa kidiplomasia zaidi huku akithamini zaidi mahusiano ya Kimataifa kwani si rahisi kuishi kama Kijiji.
7. Anaamini katika haki za kila kundi huku akichukizwa zaidi na aina yoyote ya uonevu kwa mtanzania yeyote wa itikadi au rangi yoyote.
#WATANZANIA KWA SASA NI NCHIMBI
Ok. Tuseme anafaa. Tuseme wachangiaji wote tunamkubali. Lengo la hii mada hapa JF ni lipi hasa? Tumpigie kura? Tumpigie kampeni? Anakuwaje Rais?View attachment 3102746
Kuna kila dalili asasi na azaki mbalimbali pamoja na watu mbalimbali wanaonesha kiu ya kuongozwa na mwanadiplomasia huyu mbobevu wa Kimataifa.
Sababu za kwanini awe Nchimbi,
1. Unyenyekevu kwa Mama Tanzania, huyu Nchimbi yeye yuko tayari awe chini ila Tanzania iwe juu kwa lolote ( rejea press yake ya majuzi )
2. Hana tuhuma yoyote ya wizi Wala Ufisadi au rushwa popote the man is totally clean.
3. Anamahusiano mazuri sana na vyama vyote 19 rafiki nchini.
4. Anaungwa mkono na Viongozi wa dini hasa kanisa kubwa Katoliki kwani ni mseminari kwa Elimu yake.
5. Maneno yake mengi ni katika kuliunganisha Taifa na yeye ndio nembo ya umoja na amani kwa Taifa ndani ya CCM na nje ya CCM Kwa Sasa.
6. Nchimbi ni muumini wa nchi kuongozwa kidiplomasia zaidi huku akithamini zaidi mahusiano ya Kimataifa kwani si rahisi kuishi kama Kijiji.
7. Anaamini katika haki za kila kundi huku akichukizwa zaidi na aina yoyote ya uonevu kwa mtanzania yeyote wa itikadi au rangi yoyote.
#WATANZANIA KWA SASA NI NCHIMBI
Ongeza zakoHizo ulizotaja ndio sifa za kuwa Rais Tanzania?
Mwamposa Hana waumini anawagonjwa wa akili--arostoSawa
Nilidhani Zamu ya Walokole akina Waumini wa Mwamposa 😄🌹
Mimi pia namtaka NchimbiView attachment 3102746
Kuna kila dalili asasi na azaki mbalimbali pamoja na watu mbalimbali wanaonesha kiu ya kuongozwa na mwanadiplomasia huyu mbobevu wa Kimataifa.
Sababu za kwanini awe Nchimbi,
1. Unyenyekevu kwa Mama Tanzania, huyu Nchimbi yeye yuko tayari awe chini ila Tanzania iwe juu kwa lolote ( rejea press yake ya majuzi )
2. Hana tuhuma yoyote ya wizi Wala Ufisadi au rushwa popote the man is totally clean.
3. Anamahusiano mazuri sana na vyama vyote 19 rafiki nchini.
4. Anaungwa mkono na Viongozi wa dini hasa kanisa kubwa Katoliki kwani ni mseminari kwa Elimu yake.
5. Maneno yake mengi ni katika kuliunganisha Taifa na yeye ndio nembo ya umoja na amani kwa Taifa ndani ya CCM na nje ya CCM Kwa Sasa.
6. Nchimbi ni muumini wa nchi kuongozwa kidiplomasia zaidi huku akithamini zaidi mahusiano ya Kimataifa kwani si rahisi kuishi kama Kijiji.
7. Anaamini katika haki za kila kundi huku akichukizwa zaidi na aina yoyote ya uonevu kwa mtanzania yeyote wa itikadi au rangi yoyote.
#WATANZANIA KWA SASA NI NCHIMBI
Baada ya Jose kukata moto huyu ndio aliandaliwa kuwa Makamu. Kigoma ikafanya yakeView attachment 3102746
Kuna kila dalili asasi na azaki mbalimbali pamoja na watu mbalimbali wanaonesha kiu ya kuongozwa na mwanadiplomasia huyu mbobevu wa Kimataifa.
Sababu za kwanini awe Nchimbi,
1. Unyenyekevu kwa Mama Tanzania, huyu Nchimbi yeye yuko tayari awe chini ila Tanzania iwe juu kwa lolote ( rejea press yake ya majuzi )
2. Hana tuhuma yoyote ya wizi Wala Ufisadi au rushwa popote the man is totally clean.
3. Anamahusiano mazuri sana na vyama vyote 19 rafiki nchini.
4. Anaungwa mkono na Viongozi wa dini hasa kanisa kubwa Katoliki kwani ni mseminari kwa Elimu yake.
5. Maneno yake mengi ni katika kuliunganisha Taifa na yeye ndio nembo ya umoja na amani kwa Taifa ndani ya CCM na nje ya CCM Kwa Sasa.
6. Nchimbi ni muumini wa nchi kuongozwa kidiplomasia zaidi huku akithamini zaidi mahusiano ya Kimataifa kwani si rahisi kuishi kama Kijiji.
7. Anaamini katika haki za kila kundi huku akichukizwa zaidi na aina yoyote ya uonevu kwa mtanzania yeyote wa itikadi au rangi yoyote.
#WATANZANIA KWA SASA NI NCHIMBI
Huyu ni Bora mara 1000 , akapewa nafasi 2025.View attachment 3102746
Kuna kila dalili asasi na azaki mbalimbali pamoja na watu mbalimbali wanaonesha kiu ya kuongozwa na mwanadiplomasia huyu mbobevu wa Kimataifa.
Sababu za kwanini awe Nchimbi,
1. Unyenyekevu kwa Mama Tanzania, huyu Nchimbi yeye yuko tayari awe chini ila Tanzania iwe juu kwa lolote ( rejea press yake ya majuzi )
2. Hana tuhuma yoyote ya wizi Wala Ufisadi au rushwa popote the man is totally clean.
3. Anamahusiano mazuri sana na vyama vyote 19 rafiki nchini.
4. Anaungwa mkono na Viongozi wa dini hasa kanisa kubwa Katoliki kwani ni mseminari kwa Elimu yake.
5. Maneno yake mengi ni katika kuliunganisha Taifa na yeye ndio nembo ya umoja na amani kwa Taifa ndani ya CCM na nje ya CCM Kwa Sasa.
6. Nchimbi ni muumini wa nchi kuongozwa kidiplomasia zaidi huku akithamini zaidi mahusiano ya Kimataifa kwani si rahisi kuishi kama Kijiji.
7. Anaamini katika haki za kila kundi huku akichukizwa zaidi na aina yoyote ya uonevu kwa mtanzania yeyote wa itikadi au rangi yoyote.
#WATANZANIA KWA SASA NI NCHIMBI
Wale ni big NO ...kuliko kuongozwa na mlokole Bora aje atheist...Sawa
Nilidhani Zamu ya Walokole akina Waumini wa Mwamposa 😄🌹