Tetesi: Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi anaandaliwa kumrithi Rais Samia

Tuokoeni Katolikii,nchii imepoteza mwelekeo.Ila huyu uliotajaaa simkubali kwakweli.............
 
ukweli na uhakika vimekaribiana sana juu ya tetesi hii dah πŸ’
 
Rais baada ya Samia ni David Kafulila


Ova.
Ndoa tu imemshinda ataweza nchi.
Mtu ameshindwa kum control mwanamke mmoja ataweza kusimamia majeshi?
Kashindwa kuiweka familia pamoja ataweza Baraza la mawaziri?
 
Anaeandaliwa keshajulikana huyo anapiga deki tu
 
Ok. Tuseme anafaa. Tuseme wachangiaji wote tunamkubali. Lengo la hii mada hapa JF ni lipi hasa? Tumpigie kura? Tumpigie kampeni? Anakuwaje Rais?
 
Mimi pia namtaka Nchimbi
 
Baada ya Jose kukata moto huyu ndio aliandaliwa kuwa Makamu. Kigoma ikafanya yake
 
Huyu ni Bora mara 1000 , akapewa nafasi 2025.

Yule bibi hapana,hapana
 
Sawa

Nilidhani Zamu ya Walokole akina Waumini wa Mwamposa πŸ˜„πŸŒΉ
Wale ni big NO ...kuliko kuongozwa na mlokole Bora aje atheist...
NB: WALOKOLE WANA MENTALITY MBOVU SANA KUHUSU NON-MLOKOLE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…