Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi Katibu Mkuu wa CCM Kuongoza Secretarieti Katika Ziara Nzito ya Mikoa Ya Kusini

Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi Katibu Mkuu wa CCM Kuongoza Secretarieti Katika Ziara Nzito ya Mikoa Ya Kusini

Ndugu zangu Watanzania,

Wakati vyama kama CHADEMA viking'ang'aniana na kila mtu alijitangaza kuwa ndiye mgombea Urais,wakati CHADEMA ikiendelea kupukutika na kukimbiwa na wanachama wote wenye akili Timamu na wanaojitambua,wakati vyama kama CHADEMA vikiwa vimepoteza kabisa mitaani kutokama na kuishiwa ajenda na sera,wakati CHADEMA ikiwa imepoteza ushawishi nakupuuzwa na watanzania pamoja na hivyo kushindwa hata kufanya ziara mikoani.

Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi Jasusi Mbobezi wa kisiasa,Mwamba wa kusini,kiboko ya upinzani, Kiongozi Mwenye misimamo na mzalendo wa kweli asiye teteleka wala kuyumba ,aliyejenga nidhamu na heshima ndani ya CCM kwa kushirikiana na Mwenyekiti wetu Shujaa na Jemedari wetu hodari Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.

Anatarajia kufanya ziara nzito sana mikoa ya Kusini ya Mtwara na Lindi akiongozana na wajumbe wa secretarieti.Ambapo katika ziara hiyo nzito atazungumzia na kugusa masuala mbalimbali pamoja na kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na kuwasikiliza wananchi kero zao kama ilivyo kawaida ya usikivu wa CCM kwa watanzania.ikumbukwe ya kuwa kwa utafiti imeonyesha huyu ndiye katibu mkuu bora Mwenye nguvu , Ushawishi,anayeheshimika ,kukubalika na kusikilizwa sana kwa vyama vyote vya ukombozi kusini Mwa jangwa la Sahara.

Ni Katibu Mkuu ambaye haogopi kusema ukweli na kumkemea mtu yeyote yule atakayekwenda kinyume na maadili,ni kiongozi ambaye kwake nyeupe ni nyeupe na nyeusi ni nyeusi.Kwake cheo ni dhamana na utumishi kwa watu. tutarajie makubwa katika ziara hiyo na kuona utofauti wa katibu Mkuu wa chama Tawala na vile vyama vya kuokoteza vijihoja na usaka Tonge kama ilivyo kwa CHADEMA.View attachment 3053315

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Anajenga chama, hajijengi yeye binafsi kama yule aliyeenda Afrika Kusini
 
Kashiriki kumlambisha, atasema nini?

Huko ccm mtu akiwa amenyooka kama rula ajiandaye kwa mambo matatu:-1. Zengwe 2. Fitina 3. Kurogwa (by balozi Polepole)

kwa hiyo Makonda kanyooka kama rula? nilifikiri ni “muuaji” what a contradictory remark …
 
Ndugu zangu Watanzania,

Wakati vyama kama CHADEMA viking'ang'aniana na kila mtu alijitangaza kuwa ndiye mgombea Urais,wakati CHADEMA ikiendelea kupukutika na kukimbiwa na wanachama wote wenye akili Timamu na wanaojitambua,wakati vyama kama CHADEMA vikiwa vimepoteza kabisa mitaani kutokama na kuishiwa ajenda na sera,wakati CHADEMA ikiwa imepoteza ushawishi nakupuuzwa na watanzania pamoja na hivyo kushindwa hata kufanya ziara mikoani.

Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi Jasusi Mbobezi wa kisiasa,Mwamba wa kusini,kiboko ya upinzani, Kiongozi Mwenye misimamo na mzalendo wa kweli asiye teteleka wala kuyumba ,aliyejenga nidhamu na heshima ndani ya CCM kwa kushirikiana na Mwenyekiti wetu Shujaa na Jemedari wetu hodari Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.

Anatarajia kufanya ziara nzito sana mikoa ya Kusini ya Mtwara na Lindi akiongozana na wajumbe wa secretarieti.Ambapo katika ziara hiyo nzito atazungumzia na kugusa masuala mbalimbali pamoja na kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na kuwasikiliza wananchi kero zao kama ilivyo kawaida ya usikivu wa CCM kwa watanzania.ikumbukwe ya kuwa kwa utafiti imeonyesha huyu ndiye katibu mkuu bora Mwenye nguvu , Ushawishi,anayeheshimika ,kukubalika na kusikilizwa sana kwa vyama vyote vya ukombozi kusini Mwa jangwa la Sahara.

Ni Katibu Mkuu ambaye haogopi kusema ukweli na kumkemea mtu yeyote yule atakayekwenda kinyume na maadili,ni kiongozi ambaye kwake nyeupe ni nyeupe na nyeusi ni nyeusi.Kwake cheo ni dhamana na utumishi kwa watu. tutarajie makubwa katika ziara hiyo na kuona utofauti wa katibu Mkuu wa chama Tawala na vile vyama vya kuokoteza vijihoja na usaka Tonge kama ilivyo kwa CHADEMA.View attachment 3053315

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Nahisi kama ni mbinu ya kwenda kumsafisha Nape!! Ila imekaa vibaya ni sawa na mtu upande wa kulia aweke asali na upande wa kushoto aweke Sukari utachagua mwenyewe uchovye wapi. Nchimbi ni rafiki yake mkubwa na Nape sasa atachagua kumsafisha Nape au kuendelea kusifia yaliyofanywa na boss wake patamu hapo😂😂
Ndugu zangu Watanzania,

Wakati vyama kama CHADEMA viking'ang'aniana na kila mtu alijitangaza kuwa ndiye mgombea Urais,wakati CHADEMA ikiendelea kupukutika na kukimbiwa na wanachama wote wenye akili Timamu na wanaojitambua,wakati vyama kama CHADEMA vikiwa vimepoteza kabisa mitaani kutokama na kuishiwa ajenda na sera,wakati CHADEMA ikiwa imepoteza ushawishi nakupuuzwa na watanzania pamoja na hivyo kushindwa hata kufanya ziara mikoani.

Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi Jasusi Mbobezi wa kisiasa,Mwamba wa kusini,kiboko ya upinzani, Kiongozi Mwenye misimamo na mzalendo wa kweli asiye teteleka wala kuyumba ,aliyejenga nidhamu na heshima ndani ya CCM kwa kushirikiana na Mwenyekiti wetu Shujaa na Jemedari wetu hodari Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.

Anatarajia kufanya ziara nzito sana mikoa ya Kusini ya Mtwara na Lindi akiongozana na wajumbe wa secretarieti.Ambapo katika ziara hiyo nzito atazungumzia na kugusa masuala mbalimbali pamoja na kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na kuwasikiliza wananchi kero zao kama ilivyo kawaida ya usikivu wa CCM kwa watanzania.ikumbukwe ya kuwa kwa utafiti imeonyesha huyu ndiye katibu mkuu bora Mwenye nguvu , Ushawishi,anayeheshimika ,kukubalika na kusikilizwa sana kwa vyama vyote vya ukombozi kusini Mwa jangwa la Sahara.

Ni Katibu Mkuu ambaye haogopi kusema ukweli na kumkemea mtu yeyote yule atakayekwenda kinyume na maadili,ni kiongozi ambaye kwake nyeupe ni nyeupe na nyeusi ni nyeusi.Kwake cheo ni dhamana na utumishi kwa watu. tutarajie makubwa katika ziara hiyo na kuona utofauti wa katibu Mkuu wa chama Tawala na vile vyama vya kuokoteza vijihoja na usaka Tonge kama ilivyo kwa CHADEMA.View attachment 3053315

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Nahisi kama ni mbinu ya kwenda kumsafisha Nape!! Ila imekaa vibaya ni sawa na mtu upande wa kulia aweke asali na upande wa kushoto aweke Sukari utachagua mwenyewe uchovye wapi. Nchimbi ni rafiki yake mkubwa na Nape sasa atachagua kumsafisha Nape au kuendelea kusifia yaliyofanywa na boss wake patamu hapo😂😂
 
Ndugu zangu Watanzania,

Wakati vyama kama CHADEMA viking'ang'aniana na kila mtu alijitangaza kuwa ndiye mgombea Urais,wakati CHADEMA ikiendelea kupukutika na kukimbiwa na wanachama wote wenye akili Timamu na wanaojitambua,wakati vyama kama CHADEMA vikiwa vimepoteza kabisa mitaani kutokama na kuishiwa ajenda na sera,wakati CHADEMA ikiwa imepoteza ushawishi nakupuuzwa na watanzania pamoja na hivyo kushindwa hata kufanya ziara mikoani.

Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi Jasusi Mbobezi wa kisiasa,Mwamba wa kusini,kiboko ya upinzani, Kiongozi Mwenye misimamo na mzalendo wa kweli asiye teteleka wala kuyumba ,aliyejenga nidhamu na heshima ndani ya CCM kwa kushirikiana na Mwenyekiti wetu Shujaa na Jemedari wetu hodari Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.

Anatarajia kufanya ziara nzito sana mikoa ya Kusini ya Mtwara na Lindi akiongozana na wajumbe wa secretarieti.Ambapo katika ziara hiyo nzito atazungumzia na kugusa masuala mbalimbali pamoja na kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na kuwasikiliza wananchi kero zao kama ilivyo kawaida ya usikivu wa CCM kwa watanzania.ikumbukwe ya kuwa kwa utafiti imeonyesha huyu ndiye katibu mkuu bora Mwenye nguvu , Ushawishi,anayeheshimika ,kukubalika na kusikilizwa sana kwa vyama vyote vya ukombozi kusini Mwa jangwa la Sahara.

Ni Katibu Mkuu ambaye haogopi kusema ukweli na kumkemea mtu yeyote yule atakayekwenda kinyume na maadili,ni kiongozi ambaye kwake nyeupe ni nyeupe na nyeusi ni nyeusi.Kwake cheo ni dhamana na utumishi kwa watu. tutarajie makubwa katika ziara hiyo na kuona utofauti wa katibu Mkuu wa chama Tawala na vile vyama vya kuokoteza vijihoja na usaka Tonge kama ilivyo kwa CHADEMA.View attachment 3053315

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wewe pimbi umemchulia Shoga yako Tumbili mpaka teuzi zinampita tu!!

Wewe una kimavi
 
Nahisi kama ni mbinu ya kwenda kumsafisha Nape!! Ila imekaa vibaya ni sawa na mtu upande wa kulia aweke asali na upande wa kushoto aweke Sukari utachagua mwenyewe uchovye wapi. Nchimbi ni rafiki yake mkubwa na Nape sasa atachagua kumsafisha Nape au kuendelea kusifia yaliyofanywa na boss wake patamu hapo😂😂

Nahisi kama ni mbinu ya kwenda kumsafisha Nape!! Ila imekaa vibaya ni sawa na mtu upande wa kulia aweke asali na upande wa kushoto aweke Sukari utachagua mwenyewe uchovye wapi. Nchimbi ni rafiki yake mkubwa na Nape sasa atachagua kumsafisha Nape au kuendelea kusifia yaliyofanywa na boss wake patamu hapo😂😂
Acheni maneno ya kichonganishi ndugu zanguni Watanzania mnaopenda umbeya umbeya.
 
Umeitaja Chadema mara 5 kwenye mada yako, kwani hakuna vyama vingine? Inauma eeh? Na bado!
 
Kashiriki kumlambisha, atasema nini?

Huko ccm mtu akiwa amenyooka kama rula ajiandaye kwa mambo matatu:-1. Zengwe 2. Fitina 3. Kurogwa (by balozi Polepole)
Kama wanavyomfanyia LM wa Kisesa.
 
Back
Top Bottom