Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi Katibu Mkuu wa CCM Kuongoza Secretarieti Katika Ziara Nzito ya Mikoa Ya Kusini

Anajenga chama, hajijengi yeye binafsi kama yule aliyeenda Afrika Kusini
 
Kashiriki kumlambisha, atasema nini?

Huko ccm mtu akiwa amenyooka kama rula ajiandaye kwa mambo matatu:-1. Zengwe 2. Fitina 3. Kurogwa (by balozi Polepole)

kwa hiyo Makonda kanyooka kama rula? nilifikiri ni โ€œmuuajiโ€ what a contradictory remark โ€ฆ
 
Nahisi kama ni mbinu ya kwenda kumsafisha Nape!! Ila imekaa vibaya ni sawa na mtu upande wa kulia aweke asali na upande wa kushoto aweke Sukari utachagua mwenyewe uchovye wapi. Nchimbi ni rafiki yake mkubwa na Nape sasa atachagua kumsafisha Nape au kuendelea kusifia yaliyofanywa na boss wake patamu hapo๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Nahisi kama ni mbinu ya kwenda kumsafisha Nape!! Ila imekaa vibaya ni sawa na mtu upande wa kulia aweke asali na upande wa kushoto aweke Sukari utachagua mwenyewe uchovye wapi. Nchimbi ni rafiki yake mkubwa na Nape sasa atachagua kumsafisha Nape au kuendelea kusifia yaliyofanywa na boss wake patamu hapo๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Wewe pimbi umemchulia Shoga yako Tumbili mpaka teuzi zinampita tu!!

Wewe una kimavi
 
Acheni maneno ya kichonganishi ndugu zanguni Watanzania mnaopenda umbeya umbeya.
 
Umeitaja Chadema mara 5 kwenye mada yako, kwani hakuna vyama vingine? Inauma eeh? Na bado!
 
Kashiriki kumlambisha, atasema nini?

Huko ccm mtu akiwa amenyooka kama rula ajiandaye kwa mambo matatu:-1. Zengwe 2. Fitina 3. Kurogwa (by balozi Polepole)
Kama wanavyomfanyia LM wa Kisesa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ