Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi Katibu Mkuu wa CCM Kuongoza Secretarieti Katika Ziara Nzito ya Mikoa Ya Kusini

Naona humfahamu vyema Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi.yule ni jembe kwelikweli.ambapo hata CHADEMA wenyewe Wanamuogopa sana maana wanajuwa anawasambaratisha kabisa.
Umeitaja mara ya 6 Chadema Kwa jinsi inavyokutia kiwewe. Na bado!
 
Ccm hakuna Mzalendo kuna wezi tuu hivyo usipende kutumia neno Mzalendo kwenye wezi watu mliodanganya raisi aweke mabango yenye picha yake kama cocacola Pepsi tigo na vodacom mkapiga billion 4 huo uzalendo mnautoa wapi.
CCM principle no 1 ni wizi
 
Chadema kinakufa🤣🤣🤣 leo wanakiwasha hapa Nzega stendi ya zamani. Karibu.
 
CCM YOTE NI MAJIZI MAMA, BABA NA WATOTO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…