Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi Ni Kiongozi Makini Na hodari sana kiuongozi

Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi Ni Kiongozi Makini Na hodari sana kiuongozi

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Katika mambo ambayo CCM huwa makini nayo na kutofanya mzaha au majaribio au kukosea basi ni katika suala zima la kusuka safu nzima ya uongozi wake ndani ya chama.inafanya hivi kwa sababu inatambua kuwa CCM ndio moyo wa Nchi,ndio itoayo Dira na muelekeo wa Taifa letu.

Inajuwa kuwa CCM ikiwa dhaifu na legelege ni lazima serikali iyumbe na kukosa muelekeo pamoja na kulitikisa Taifa.ndio maana ukiangalia safu yake ya uongozi hushikwa na kuongozwa na watu makini,watulivu,hodari,majasiri, Wazalendo na wenye uzoefu wa kutosha kiuongozi.

Kwa hakika na kiukweli Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi ni kiongozi makini,hodari , shupavu, madhubuti na imara kwelikweli. Ni kiongozi mwenye uwezo mkubwa sana wa kujenga hoja,kutetea hoja, kufafanua na kuichambua hoja kwa utulivu ,umakini na uhodari wa hali ya juu sana. Hana mihemuko wala jazba wala ukurupukaji.ni msikivu sana katika kusikiliza hoja Kabla ya kufungua kinywa chake na kujibu au kutoa ufafanuzi au maelezo.

Hii ndio sababu ya kushuhudia CCM ikiendelea kuwa chama chenye nguvu,ushawishi ndani na nje ya mipaka ya Tanzania pamoja na kuendelea kuaminika ,kuungwa mkono na kukubalika kwa watanzania.ndio sababu ya kushuhudia nidhamu ikitawala na kutamalaki ndani ya chama.

Maana ikumbukwe chama ambacho ndani yake hakuna nidhamu wala kuheshimu misingi ,kanuni ,taratibu ,sheria na katiba ya chama ni ngumu sana chama hicho kupata ushindi na kuimarika.hata jeshi ambalo askari wake hawana nidhamu ni ngumu sana kushinda vita ya aina yoyote ile.

Lakini tunashuhudia namna Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi namna ambavyo amekuwa mlezi wa jumuiya zote na kuzifanya kuendelea kuimarika na kuwa zenye nguvu.lakini pia tumeona namna ambavyo akikemea na kumkemea yeyote yule atakayeonekana kukichafua chama kwa kauli au maneno au matendo yake hadharani.

Kwa hakika Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi alikuwa chaguo na pendekezo sahihi kabisa la kushika nafasi ya ukatibu mkuu wa CCM .kwa sababu ni kiongozi mwenye misimamo,uadilifu,utulivu, unyenyekevu,usikivu,uzoefu wa kiuongozi ndani ya chama na serikalini pamoja na kuwa mtu mwenye hofu ya Mungu,.na kwa hakika anaendelea kukiheshimisha sana chama cha Mapinduzi kwa watanzania.

Ndio maana amekuwa akikemea sana hadharani Vitendo vyote vyenye kukiuka maadili na kwenda kinyume na misingi ya kidemokrasia. Kwa ufupi ni kuwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi ni mtu Mwema,muungwana,mpenda haki ,mwenye moyo wa huruma ,mwana demokrasia wa kweli na mzalendo kwelikweli.Ni hazina kwa chama Na Taifa letu kwa ujumla wake.

Soma Pia: Dkt Nchimbi: CCM imekasirishwa sana na mauwaji ya Ali Kibao na serikali iharakishe haraka uchunguzi na matukio yakomeshwe

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Katika mambo ambayo CCM huwa makini nayo na kutofanya mzaha au majaribio au kukosea basi ni katika suala zima la kusuka safu nzima ya uongozi wake ndani ya chama.inafanya hivi kwa sababu inatambua kuwa CCM ndio moyo wa Nchi,ndio itoayo Dira na muelekeo wa Taifa letu.

Inajuwa kuwa CCM ikiwa dhaifu na legelege ni lazima serikali iyumbe na kukosa muelekeo pamoja na kulitikisa Taifa.ndio maana ukiangalia safu yake ya uongozi hushikwa na kuongozwa na watu makini,watulivu,hodari,majasiri, Wazalendo na wenye uzoefu wa kutosha kiuongozi.

Kwa hakika na kiukweli Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi ni kiongozi makini,hodari , shupavu, madhubuti na imara kwelikweli. Ni kiongozi mwenye uwezo mkubwa sana wa kujenga hoja,kutetea hoja, kufafanua na kuichambua hoja kwa utulivu ,umakini na uhodari wa hali ya juu sana. Hana mihemuko wala jazba wala ukurupukaji.ni msikivu sana katika kusikiliza hoja Kabla ya kufungua kinywa chake na kujibu au kutoa ufafanuzi au maelezo.

Hii ndio sababu ya kushuhudia CCM ikiendelea kuwa chama chenye nguvu,ushawishi ndani na nje ya mipaka ya Tanzania pamoja na kuendelea kuaminika ,kuungwa mkono na kukubalika kwa watanzania.ndio sababu ya kushuhudia nidhamu ikitawala na kutamalaki ndani ya chama.

Maana ikumbukwe chama ambacho ndani yake hakuna nidhamu wala kuheshimu misingi ,kanuni ,taratibu ,sheria na katiba ya chama ni ngumu sana chama hicho kupata ushindi na kuimarika.hata jeshi ambalo askari wake hawana nidhamu ni ngumu sana kushinda vita ya aina yoyote ile.

Lakini tunashuhudia namna Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi namna ambavyo amekuwa mlezi wa jumuiya zote na kuzifanya kuendelea kuimarika na kuwa zenye nguvu.lakini pia tumeona namna ambavyo akikemea na kumkemea yeyote yule atakayeonekana kukichafua chama kwa kauli au maneno au matendo yake hadharani.

Kwa hakika Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi alikuwa chaguo na pendekezo sahihi kabisa la kushika nafasi ya ukatibu mkuu wa CCM .kwa sababu ni kiongozi mwenye misimamo,uadilifu,utulivu, unyenyekevu,usikivu,uzoefu wa kiuongozi ndani ya chama na serikalini pamoja na kuwa mtu mwenye hofu ya Mungu,.na kwa hakika anaendelea kukiheshimisha sana chama cha Mapinduzi kwa watanzania.

Ndio maana amekuwa akikemea sana hadharani Vitendo vyote vyenye kukiuka maadili na kwenda kinyume na misingi ya kidemokrasia. Kwa ufupi ni kuwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi ni mtu Mwema,muungwana,mpenda haki ,mwenye moyo wa huruma ,mwana demokrasia wa kweli na mzalendo kwelikweli.Ni hazina kwa chama Na Taifa letu kwa ujumla wake.

Soma Pia: Dkt Nchimbi: CCM imekasirishwa sana na mauwaji ya Ali Kibao na serikali iharakishe haraka uchunguzi na matukio yakomeshwe

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
We Mafwele ww
 
Hakuna cha maana alichosema....Anachukizwa na watekaji wakati watekaji chama chake kinawalinda kwa kuwapa kinga kwenye sheria ya TEETH mliyoipitisha mwaka jana.

Mtekaji mkuu ametambuliwa na SATIVA lakini mpaka sasa hajasimamishwa kazi kwa uchunguzi.

Tukio kubwa kama lile kutokea halafu hakuna aliyekamatwa means lina baraka za sirikali kama lingekuwa halina baraka ndani ya nusu saa wale watekaji wasingeweza kutoka maana wamelifanya kizembe sana....Wamelifanya vile walikuwa hawna wasiwasi kwakuwa wanalindwa na katiba na wamekuja na magari ya sirikali.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Katika mambo ambayo CCM huwa makini nayo na kutofanya mzaha au majaribio au kukosea basi ni katika suala zima la kusuka safu nzima ya uongozi wake ndani ya chama.inafanya hivi kwa sababu inatambua kuwa CCM ndio moyo wa Nchi,ndio itoayo Dira na muelekeo wa Taifa letu.

Inajuwa kuwa CCM ikiwa dhaifu na legelege ni lazima serikali iyumbe na kukosa muelekeo pamoja na kulitikisa Taifa.ndio maana ukiangalia safu yake ya uongozi hushikwa na kuongozwa na watu makini,watulivu,hodari,majasiri, Wazalendo na wenye uzoefu wa kutosha kiuongozi.

Kwa hakika na kiukweli Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi ni kiongozi makini,hodari , shupavu, madhubuti na imara kwelikweli. Ni kiongozi mwenye uwezo mkubwa sana wa kujenga hoja,kutetea hoja, kufafanua na kuichambua hoja kwa utulivu ,umakini na uhodari wa hali ya juu sana. Hana mihemuko wala jazba wala ukurupukaji.ni msikivu sana katika kusikiliza hoja Kabla ya kufungua kinywa chake na kujibu au kutoa ufafanuzi au maelezo.

Hii ndio sababu ya kushuhudia CCM ikiendelea kuwa chama chenye nguvu,ushawishi ndani na nje ya mipaka ya Tanzania pamoja na kuendelea kuaminika ,kuungwa mkono na kukubalika kwa watanzania.ndio sababu ya kushuhudia nidhamu ikitawala na kutamalaki ndani ya chama.

Maana ikumbukwe chama ambacho ndani yake hakuna nidhamu wala kuheshimu misingi ,kanuni ,taratibu ,sheria na katiba ya chama ni ngumu sana chama hicho kupata ushindi na kuimarika.hata jeshi ambalo askari wake hawana nidhamu ni ngumu sana kushinda vita ya aina yoyote ile.

Lakini tunashuhudia namna Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi namna ambavyo amekuwa mlezi wa jumuiya zote na kuzifanya kuendelea kuimarika na kuwa zenye nguvu.lakini pia tumeona namna ambavyo akikemea na kumkemea yeyote yule atakayeonekana kukichafua chama kwa kauli au maneno au matendo yake hadharani.

Kwa hakika Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi alikuwa chaguo na pendekezo sahihi kabisa la kushika nafasi ya ukatibu mkuu wa CCM .kwa sababu ni kiongozi mwenye misimamo,uadilifu,utulivu, unyenyekevu,usikivu,uzoefu wa kiuongozi ndani ya chama na serikalini pamoja na kuwa mtu mwenye hofu ya Mungu,.na kwa hakika anaendelea kukiheshimisha sana chama cha Mapinduzi kwa watanzania.

Ndio maana amekuwa akikemea sana hadharani Vitendo vyote vyenye kukiuka maadili na kwenda kinyume na misingi ya kidemokrasia. Kwa ufupi ni kuwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi ni mtu Mwema,muungwana,mpenda haki ,mwenye moyo wa huruma ,mwana demokrasia wa kweli na mzalendo kwelikweli.Ni hazina kwa chama Na Taifa letu kwa ujumla wake.

Soma Pia: Dkt Nchimbi: CCM imekasirishwa sana na mauwaji ya Ali Kibao na serikali iharakishe haraka uchunguzi na matukio yakomeshwe

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Nakubaliana na wewe 100%
 
Nchimbi ametofautiana hadharani na IGP.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Katika mambo ambayo CCM huwa makini nayo na kutofanya mzaha au majaribio au kukosea basi ni katika suala zima la kusuka safu nzima ya uongozi wake ndani ya chama.inafanya hivi kwa sababu inatambua kuwa CCM ndio moyo wa Nchi,ndio itoayo Dira na muelekeo wa Taifa letu.

Inajuwa kuwa CCM ikiwa dhaifu na legelege ni lazima serikali iyumbe na kukosa muelekeo pamoja na kulitikisa Taifa.ndio maana ukiangalia safu yake ya uongozi hushikwa na kuongozwa na watu makini,watulivu,hodari,majasiri, Wazalendo na wenye uzoefu wa kutosha kiuongozi.

Kwa hakika na kiukweli Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi ni kiongozi makini,hodari , shupavu, madhubuti na imara kwelikweli. Ni kiongozi mwenye uwezo mkubwa sana wa kujenga hoja,kutetea hoja, kufafanua na kuichambua hoja kwa utulivu ,umakini na uhodari wa hali ya juu sana. Hana mihemuko wala jazba wala ukurupukaji.ni msikivu sana katika kusikiliza hoja Kabla ya kufungua kinywa chake na kujibu au kutoa ufafanuzi au maelezo.

Hii ndio sababu ya kushuhudia CCM ikiendelea kuwa chama chenye nguvu,ushawishi ndani na nje ya mipaka ya Tanzania pamoja na kuendelea kuaminika ,kuungwa mkono na kukubalika kwa watanzania.ndio sababu ya kushuhudia nidhamu ikitawala na kutamalaki ndani ya chama.

Maana ikumbukwe chama ambacho ndani yake hakuna nidhamu wala kuheshimu misingi ,kanuni ,taratibu ,sheria na katiba ya chama ni ngumu sana chama hicho kupata ushindi na kuimarika.hata jeshi ambalo askari wake hawana nidhamu ni ngumu sana kushinda vita ya aina yoyote ile.

Lakini tunashuhudia namna Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi namna ambavyo amekuwa mlezi wa jumuiya zote na kuzifanya kuendelea kuimarika na kuwa zenye nguvu.lakini pia tumeona namna ambavyo akikemea na kumkemea yeyote yule atakayeonekana kukichafua chama kwa kauli au maneno au matendo yake hadharani.

Kwa hakika Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi alikuwa chaguo na pendekezo sahihi kabisa la kushika nafasi ya ukatibu mkuu wa CCM .kwa sababu ni kiongozi mwenye misimamo,uadilifu,utulivu, unyenyekevu,usikivu,uzoefu wa kiuongozi ndani ya chama na serikalini pamoja na kuwa mtu mwenye hofu ya Mungu,.na kwa hakika anaendelea kukiheshimisha sana chama cha Mapinduzi kwa watanzania.

Ndio maana amekuwa akikemea sana hadharani Vitendo vyote vyenye kukiuka maadili na kwenda kinyume na misingi ya kidemokrasia. Kwa ufupi ni kuwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi ni mtu Mwema,muungwana,mpenda haki ,mwenye moyo wa huruma ,mwana demokrasia wa kweli na mzalendo kwelikweli.Ni hazina kwa chama Na Taifa letu kwa ujumla wake.

Soma Pia: Dkt Nchimbi: CCM imekasirishwa sana na mauwaji ya Ali Kibao na serikali iharakishe haraka uchunguzi na matukio yakomeshwe

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
ni mtu hodari wa kusema na kutenda,

na ana hulka za chukua hatua bila kupepesa macho wala kuomuonea mtu haya au aibu ikiwa amebaini na kuthibisha ukweli wa jambo kuhusu yeyote iwe ni serikalini au chamani..

ni miongoni mwa viongozi waandamizi wa chama ambao wanafikiriwa na waTanzania wengi kwenye uongozi wa Juu wa nchi na taifa siku zijazo 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Ndugu zangu Watanzania,

Katika mambo ambayo CCM huwa makini nayo na kutofanya mzaha au majaribio au kukosea basi ni katika suala zima la kusuka safu nzima ya uongozi wake ndani ya chama.inafanya hivi kwa sababu inatambua kuwa CCM ndio moyo wa Nchi,ndio itoayo Dira na muelekeo wa Taifa letu.

Inajuwa kuwa CCM ikiwa dhaifu na legelege ni lazima serikali iyumbe na kukosa muelekeo pamoja na kulitikisa Taifa.ndio maana ukiangalia safu yake ya uongozi hushikwa na kuongozwa na watu makini,watulivu,hodari,majasiri, Wazalendo na wenye uzoefu wa kutosha kiuongozi.

Kwa hakika na kiukweli Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi ni kiongozi makini,hodari , shupavu, madhubuti na imara kwelikweli. Ni kiongozi mwenye uwezo mkubwa sana wa kujenga hoja,kutetea hoja, kufafanua na kuichambua hoja kwa utulivu ,umakini na uhodari wa hali ya juu sana. Hana mihemuko wala jazba wala ukurupukaji.ni msikivu sana katika kusikiliza hoja Kabla ya kufungua kinywa chake na kujibu au kutoa ufafanuzi au maelezo.

Hii ndio sababu ya kushuhudia CCM ikiendelea kuwa chama chenye nguvu,ushawishi ndani na nje ya mipaka ya Tanzania pamoja na kuendelea kuaminika ,kuungwa mkono na kukubalika kwa watanzania.ndio sababu ya kushuhudia nidhamu ikitawala na kutamalaki ndani ya chama.

Maana ikumbukwe chama ambacho ndani yake hakuna nidhamu wala kuheshimu misingi ,kanuni ,taratibu ,sheria na katiba ya chama ni ngumu sana chama hicho kupata ushindi na kuimarika.hata jeshi ambalo askari wake hawana nidhamu ni ngumu sana kushinda vita ya aina yoyote ile.

Lakini tunashuhudia namna Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi namna ambavyo amekuwa mlezi wa jumuiya zote na kuzifanya kuendelea kuimarika na kuwa zenye nguvu.lakini pia tumeona namna ambavyo akikemea na kumkemea yeyote yule atakayeonekana kukichafua chama kwa kauli au maneno au matendo yake hadharani.

Kwa hakika Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi alikuwa chaguo na pendekezo sahihi kabisa la kushika nafasi ya ukatibu mkuu wa CCM .kwa sababu ni kiongozi mwenye misimamo,uadilifu,utulivu, unyenyekevu,usikivu,uzoefu wa kiuongozi ndani ya chama na serikalini pamoja na kuwa mtu mwenye hofu ya Mungu,.na kwa hakika anaendelea kukiheshimisha sana chama cha Mapinduzi kwa watanzania.

Ndio maana amekuwa akikemea sana hadharani Vitendo vyote vyenye kukiuka maadili na kwenda kinyume na misingi ya kidemokrasia. Kwa ufupi ni kuwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi ni mtu Mwema,muungwana,mpenda haki ,mwenye moyo wa huruma ,mwana demokrasia wa kweli na mzalendo kwelikweli.Ni hazina kwa chama Na Taifa letu kwa ujumla wake.

Soma Pia: Dkt Nchimbi: CCM imekasirishwa sana na mauwaji ya Ali Kibao na serikali iharakishe haraka uchunguzi na matukio yakomeshwe

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ingawa wewe jamaa unaandikaga pumba+makande na huwa mara nyingi napuuzaga kusoma mabandiko yako.
Ila leo kwa Dr Nchimbi nakuunga mkono nakukupa big UP.
Nchimbi ni bonge la kiongozi huwa najifunza vitu toka kwake.
 
Naunga
Ndugu zangu Watanzania,

Katika mambo ambayo CCM huwa makini nayo na kutofanya mzaha au majaribio au kukosea basi ni katika suala zima la kusuka safu nzima ya uongozi wake ndani ya chama.inafanya hivi kwa sababu inatambua kuwa CCM ndio moyo wa Nchi,ndio itoayo Dira na muelekeo wa Taifa letu.

Inajuwa kuwa CCM ikiwa dhaifu na legelege ni lazima serikali iyumbe na kukosa muelekeo pamoja na kulitikisa Taifa.ndio maana ukiangalia safu yake ya uongozi hushikwa na kuongozwa na watu makini,watulivu,hodari,majasiri, Wazalendo na wenye uzoefu wa kutosha kiuongozi.

Kwa hakika na kiukweli Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi ni kiongozi makini,hodari , shupavu, madhubuti na imara kwelikweli. Ni kiongozi mwenye uwezo mkubwa sana wa kujenga hoja,kutetea hoja, kufafanua na kuichambua hoja kwa utulivu ,umakini na uhodari wa hali ya juu sana. Hana mihemuko wala jazba wala ukurupukaji.ni msikivu sana katika kusikiliza hoja Kabla ya kufungua kinywa chake na kujibu au kutoa ufafanuzi au maelezo.

Hii ndio sababu ya kushuhudia CCM ikiendelea kuwa chama chenye nguvu,ushawishi ndani na nje ya mipaka ya Tanzania pamoja na kuendelea kuaminika ,kuungwa mkono na kukubalika kwa watanzania.ndio sababu ya kushuhudia nidhamu ikitawala na kutamalaki ndani ya chama.

Maana ikumbukwe chama ambacho ndani yake hakuna nidhamu wala kuheshimu misingi ,kanuni ,taratibu ,sheria na katiba ya chama ni ngumu sana chama hicho kupata ushindi na kuimarika.hata jeshi ambalo askari wake hawana nidhamu ni ngumu sana kushinda vita ya aina yoyote ile.

Lakini tunashuhudia namna Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi namna ambavyo amekuwa mlezi wa jumuiya zote na kuzifanya kuendelea kuimarika na kuwa zenye nguvu.lakini pia tumeona namna ambavyo akikemea na kumkemea yeyote yule atakayeonekana kukichafua chama kwa kauli au maneno au matendo yake hadharani.

Kwa hakika Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi alikuwa chaguo na pendekezo sahihi kabisa la kushika nafasi ya ukatibu mkuu wa CCM .kwa sababu ni kiongozi mwenye misimamo,uadilifu,utulivu, unyenyekevu,usikivu,uzoefu wa kiuongozi ndani ya chama na serikalini pamoja na kuwa mtu mwenye hofu ya Mungu,.na kwa hakika anaendelea kukiheshimisha sana chama cha Mapinduzi kwa watanzania.

Ndio maana amekuwa akikemea sana hadharani Vitendo vyote vyenye kukiuka maadili na kwenda kinyume na misingi ya kidemokrasia. Kwa ufupi ni kuwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi ni mtu Mwema,muungwana,mpenda haki ,mwenye moyo wa huruma ,mwana demokrasia wa kweli na mzalendo kwelikweli.Ni hazina kwa chama Na Taifa letu kwa ujumla wake.

Soma Pia: Dkt Nchimbi: CCM imekasirishwa sana na mauwaji ya Ali Kibao na serikali iharakishe haraka uchunguzi na matukio yakomeshwe

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Naunga mkono hoja.
Napendekeza asimamishwe mwaka 2025 badala ya Mama.
 
And someone tells you that Masturbation is bad, or condoms aren't necessarily.
You are a living proof that Masturbation is okay and condoms are great.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Katika mambo ambayo CCM huwa makini nayo na kutofanya mzaha au majaribio au kukosea basi ni katika suala zima la kusuka safu nzima ya uongozi wake ndani ya chama.inafanya hivi kwa sababu inatambua kuwa CCM ndio moyo wa Nchi,ndio itoayo Dira na muelekeo wa Taifa letu.

Inajuwa kuwa CCM ikiwa dhaifu na legelege ni lazima serikali iyumbe na kukosa muelekeo pamoja na kulitikisa Taifa.ndio maana ukiangalia safu yake ya uongozi hushikwa na kuongozwa na watu makini,watulivu,hodari,majasiri, Wazalendo na wenye uzoefu wa kutosha kiuongozi.

Kwa hakika na kiukweli Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi ni kiongozi makini,hodari , shupavu, madhubuti na imara kwelikweli. Ni kiongozi mwenye uwezo mkubwa sana wa kujenga hoja,kutetea hoja, kufafanua na kuichambua hoja kwa utulivu ,umakini na uhodari wa hali ya juu sana. Hana mihemuko wala jazba wala ukurupukaji.ni msikivu sana katika kusikiliza hoja Kabla ya kufungua kinywa chake na kujibu au kutoa ufafanuzi au maelezo.

Hii ndio sababu ya kushuhudia CCM ikiendelea kuwa chama chenye nguvu,ushawishi ndani na nje ya mipaka ya Tanzania pamoja na kuendelea kuaminika ,kuungwa mkono na kukubalika kwa watanzania.ndio sababu ya kushuhudia nidhamu ikitawala na kutamalaki ndani ya chama.

Maana ikumbukwe chama ambacho ndani yake hakuna nidhamu wala kuheshimu misingi ,kanuni ,taratibu ,sheria na katiba ya chama ni ngumu sana chama hicho kupata ushindi na kuimarika.hata jeshi ambalo askari wake hawana nidhamu ni ngumu sana kushinda vita ya aina yoyote ile.

Lakini tunashuhudia namna Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi namna ambavyo amekuwa mlezi wa jumuiya zote na kuzifanya kuendelea kuimarika na kuwa zenye nguvu.lakini pia tumeona namna ambavyo akikemea na kumkemea yeyote yule atakayeonekana kukichafua chama kwa kauli au maneno au matendo yake hadharani.

Kwa hakika Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi alikuwa chaguo na pendekezo sahihi kabisa la kushika nafasi ya ukatibu mkuu wa CCM .kwa sababu ni kiongozi mwenye misimamo,uadilifu,utulivu, unyenyekevu,usikivu,uzoefu wa kiuongozi ndani ya chama na serikalini pamoja na kuwa mtu mwenye hofu ya Mungu,.na kwa hakika anaendelea kukiheshimisha sana chama cha Mapinduzi kwa watanzania.

Ndio maana amekuwa akikemea sana hadharani Vitendo vyote vyenye kukiuka maadili na kwenda kinyume na misingi ya kidemokrasia. Kwa ufupi ni kuwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi ni mtu Mwema,muungwana,mpenda haki ,mwenye moyo wa huruma ,mwana demokrasia wa kweli na mzalendo kwelikweli.Ni hazina kwa chama Na Taifa letu kwa ujumla wake.

Soma Pia: Dkt Nchimbi: CCM imekasirishwa sana na mauwaji ya Ali Kibao na serikali iharakishe haraka uchunguzi na matukio yakomeshwe

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Yuko vizuri kwakweli
 
Back
Top Bottom