Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Akiwa katika Mkutano na waandishi wa habari, Dr Wilbroad Slaa amewalaumu waandishi wa habari kuwa walipewa fedha ili kuandika habari kuwa Dr. Slaa akubali mkataba wa bandari. Ambapo amesema kuonesha kuwa wamepokea fedha hata vichwa ya habari vilifanana kwa magazeti saba. Slaa ameongeza kuwa anayetaka hotuba aliyoandaa atampatia softcopy kuliko kwenda kutumia gharama ku-print copy halafu waandishi wasiandike.
Slaa amesema kwa sababu hiyo, ktk hotuba hii hatoisoma bali ataongea kwa uhuru na amesisitiza kuwa yeye hapingi uwekezaji bali anapinga masharti ya mkataba. Hicho ndicho anachoomaanisha.
Aidha ametoa wito kwa rais kuteua watu kutokana na uwezo na sio kwa sababu ya uchawa akitolea mfano wa Msigwa ambaye amemuona kama ni chawa.
Pia soma: Mkutano wa Dkt. Slaa, Askofu Mwamakula, Wakili Mwabukusi na Madeleka
Slaa amesema kwa sababu hiyo, ktk hotuba hii hatoisoma bali ataongea kwa uhuru na amesisitiza kuwa yeye hapingi uwekezaji bali anapinga masharti ya mkataba. Hicho ndicho anachoomaanisha.
Aidha ametoa wito kwa rais kuteua watu kutokana na uwezo na sio kwa sababu ya uchawa akitolea mfano wa Msigwa ambaye amemuona kama ni chawa.
Pia soma: Mkutano wa Dkt. Slaa, Askofu Mwamakula, Wakili Mwabukusi na Madeleka