Tetesi: Balozi Dkt. Wilbroad Slaa afichua siri mpya ya mikakati ya Mbowe kushinda uenyekiti. Apewa mapesa zaidi na Rais Samia na M/kiti CCM kummaliza Lissu

CDM sio ya kufa leo wala kesho mkuu...

Hizi hoja za Rushwa na Ubaridi kwenye Vyama vya upinzani lazima tujiulize tunefikajd hapa?

Magufuli alisababisha kwa kias kikubwa sana huu ubaridi wa Upinzani, lazima tukubali muda ni element muhimu sana kwenye kuchambua mambo
 
Mbowe imekula kwake. Hizo hela wajumbe wamesema watachukua lkn kura zitaenda kwa Lisu
 
Mchakato wa uchaguzi huu umeonyesha kwa kiasi kikubwa mno namna gani vyama vyetu vipo compromised

Whether huu ni uzushi au la, tayari reputation ya FAM na CHADEMA yake ipo tainted perhaps beyond repair
 
Libaba lizima linang'ang'ania madaraka kitu ambacho kimemshinda zaidi ya miaka 20 sasa

Kipi kipya atafanya sasa?
Agenda yake kuu ni kuchukua tena na kuondoka akifikisha miaka 68. Akifikisha miaka 68, anaweza kudai ameombwa sana asiachie chama na wampe mitano tena ya mwisho🙂

It is madness kung’ang’ania madaraka kwa 21+ years unless hii taasisi ni mali binafsi ya familia
 
Yeye Mbowe afanye hivi, kwenye huu uchaguzi arudishe hela zake tu mana akishinda atapunguza mashabiki wa upinzani kumuelewa, atabaki na hao wanaokula naye ruzuku. Hata akiitisha mkutano wa hadhara wa zile kampeni zao kama kipindi kile watakuwa wanahudhuria wachache au hakuna kabisa.
 

Magufuli hakuwahi kuwa Mungu.
Ubaridi ulisababishwa na Mbowe maana alizoea rushwa ya awamu ya Nne na ushikaji. Biashara za kukwepa kodi n.k.Akajenga chuki na kutafuta urafiki kwa mahasimu wa JPM . Hapo moto ukawaka
 
Mbowe akiwa tena mwenyekiti atakuwa kama huyu hapa chini
 

Attachments

  • GfuY-ekXQAAK7pI.jpeg
    68.5 KB · Views: 4
Silaa kila kitu kinaishia katikati upadre,Uccm,ukatibu mkuu,ndoa,ubalozi na mengineyo,bora Lisu asingemhusisha,mzee muongo na anazeeka vibaya.Nani anaweza kumwamini hata Rostam alimshangaa sana
 
Hakuna ukweli kwenye siasa

Ndiyo mwamba anavyoamini? Kama ndivyo basi haina shaka u CUFU uleeee unazidi kujongea:



Tuna imani na Li-ssu, oya oya oya ..!
Lissu kweli, ..!
Oya oya oyaa!

Siasa za kiujanja ujanja, machale machale, zisizokuwa na sera nani anataka?
 
Yupo location anafanya bongo movie au yupo kwenye mtukano?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…