Tetesi: Balozi Dkt. Wilbroad Slaa afichua siri mpya ya mikakati ya Mbowe kushinda uenyekiti. Apewa mapesa zaidi na Rais Samia na M/kiti CCM kummaliza Lissu

Aibu gani hiyo iliyoibuliwa na Lissu!!??
Ameshamalizwa tayari. Mkimsikia tena mniite mbwa. Si ajabu hata altare ataikinbia kwa aibu ile iliyoibiliwa na Lisu. Mungu anafichua kidogo kidogo wachumia tumbo eti ni watumishi wake
 
Mbowe kaamua kuiua Chadema!!! Ajue akishinda atabaki na chama mfu kama CUF ya Lipumba
 
Mwenzio walau umemtambua kwa hayo, wewe ni nani sasa?

Mbowe ni pandikizi lenu ndani ya Chadema, hana hata haya

Libaba lizima linang'ang'ania madaraka kitu ambacho kimemshinda zaidi ya miaka 20 sasa

Kipi kipya atafanya sasa?
Mbowe must go! Heshima yake imeporomoka Kwa Kasi ya mwanga.
 
Katika wapumbavu bora jukwaani utakuwa unaongoza, ametiaje mkataba? Akiwa afisa wa serikali au kanisa? Na alikuwa ana mamlaka gani kanisani ya kuingia mkataba kwa niaba ya kanisa?

Upumbavu wako wa udini unakufanya uonekane hopeless
Huyo jamaa ni mpuuzi sana.
 
Rais apewe heshima yake kuliko kutoa hoja kwa kumuadress kihuni. Mzee Slaa hajanifurahisa sawa na Lissu qnavyomuadress rais bila kuzingatia yeye ni kiongozi wetu
 
Balozi😳
 
Suala ni kupiga kura, ama ni uasisi wa siasa chafu umeanzishwa na chama gani?
Kwani si tunazungumzia uchaguzi ndani ya CDM mkuu?

Au ni uchaguzi wa nchi nzima
 
Kwani si tunazungumzia uchaguzi ndani ya CDM mkuu?

Au ni uchaguzi wa nchi nzima
Ulisema cdm ndio waasisi wa siasa chafu hapa nchini, nikakukumbusha chama waasisi wa siasa chafu hapa nchini kwa ushahidi. Una jingine kwa ufafanuzi zaidi?
 
Chukua Maua yako Dr.Slaa💐💐💐💐
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…