Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Balozi Joseph Edward Sokoine alimtembelea Tundu Lissu Hospital Belgian baada ya tukio hili alirejeshwa nyumbani haraka.
Leo Mh Rais Mama Samia Suluhu kamteua kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki.
Pia soma> Tundu Lissu: Balozi Joseph Sokoine alirudishwa Tanzania baada ya kunitembelea Hospitali nchini Ubelgiji