Balozi Joseph Sokoine ateuliwa kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki

Balozi Joseph Sokoine ateuliwa kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki

Acha uongo wewe

Mheshimiwa balozi Joseph Sokoine, aliteuliwa na hayati Rais Dr John Pombe Joseph Magufuli kuwa naibu katibu mkuu wa ofisi ya makamu wa Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, kutoka kuwa balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji

Kwa taarifa yako, katibu mkuu( Permanent Secretary) / Naibu katibu mkuu( Deputy Permanent Secretary) wa wizara yeyote, ni wakubwa kuliko balozi wa Tanzania anayetuwakulisha kwenye nchi yeyote hapa duniani

Hata kwa majukumu ya kazi, katibu mkuu/ naibu katibu mkuu wa wizara, wana majukuku makubwa zaidi na mazito kuliko balozi

Kwa taarifa yako, balozi ana ripoti kwa mkurugenzi wa idara( eneo husika ambalo nchi ya balozi ipo) kwenye wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa

Kwa mfano, balozi wa Tanzania nchini China, ana ripoti kwa mkurugenzi wa idara ya Asia na Australia, kwenye wizara ya mambo ya nchi na ushirikiano wa kimataifa

Na wakurugenzi wa idara wizarani, wapo chini ya katibu mkuu na naibu katibu mkuu

Kwa hiyo balozi Joseph Sokoine kuteuliwa kuwa naibu katibu mkuu, ilikuwa ni promotion na sio demotion

Kws hiyo tuache propaganda za hovyo juu ya hayati Rais Dr John Pombe Joseph Magufuli

..ni kweli, lakini pia sio kweli.

..wako mabalozi wanaripoti kwa Raisi moja kwa moja.

..tunao mabalozi waliopata kutumikia kama mawaziri unadhani hao wanaripoti kwa wakurugenzi wa idara?

..pia tofautisha kati ya " kuripoti " kwa mkurugenzi wa idara, na mamlaka ya nidhamu ya balozi ambaye anateuliwa na Raisi.
 
Back
Top Bottom