Balozi Joseph Sokoine ateuliwa kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki

Balozi Joseph Sokoine ateuliwa kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki

Mama anazidi tu Kumdhalilisha Mwendazake Kidiplomasia na Kutudhihirishia rasmi kuwa kwa 99% alikuwa hakubaliani na aina ya Uongozi wake sema tu alikuwa hana namna.

..hata kumteua balozi mulamula wizara ya mambo ya nje ni kubatilisha maamuzi ya magufuli.

..mulamula aliondolewa ktk nafasi ya ukatibu mkuu wa wizara ktk namna ambayo baadhi wanaitafsiri kuwa haikuwa sahihi.
 
Ni sawa na siasa za Kenya,Uhuru na Ruto si wamoja tena lakini uhuru hana mamlaka wa ubavu wa kumwondoa Ruto.
Or Trump na Pence, ilifika kipindi walikuwa hata hawaongei, wanakutana kwenye vikao kila mtu kapiga kimya, ila Trump na jeuri yote ile alishindwa kumtoa Pence.
 
Ila mbona Jiwe alikuwa anamuogopa Samia
Magufuli hakumuogopa Samia, per se.

Mikono yake ilikuwa imefungwa, chama ndio kilimpachika Samia kwa Magufuli. Sikiliza maelezo ya Samia mwenyewe akiongea freely na mabinti wa shule kuhusu alivyofanywa VP candidate hapa:




Kamati Kuu, kwa mujibu wa Katiba ya chama, ndio inachagua nani awe mgombea mwenza. Samia alikuwa mjumbe wa Kamati Kuu, lakini anakwambia kuna kikundi cha vingunge na wastaafu ndio wanaenda chemba kujifungia na mgombea Urais halafu wanarudi na jina. Na hao vingunge kumbuka ndio wamekuchagua wewe mgombea Urais, ni vigumu kuwakatalia wanapokupa mwanamke stranger wanaemjua wao, kwa sababu zao wao, na mahusiano yao wao na huyo Mama.

Kingine ni jinamizi la Muungano. Zanzibar ina watu wachache na eneo dogo kuliko Nachingwea. Si rahisi kupata mtu unaemjua, mweledi, mwanamke, msomi, mzalendo, mwadilifu, mwenye mawazo kama yako kutoka Zanzibar. Again, wa Zanzibar, Unguja na Pemba, hawajazi Kinondoni, unafanyaje?

Mikono ya Magufuli ilikuwa imefungwa.
 
Mama tunazidi kukuelewa sana. Uko kuirudisha nchi mahala pake. Corrections lazima.
 
..hata kumteua balozi mulamula wizara ya mambo ya nje ni kubatilisha maamuzi ya magufuli.

..mulamula aliondolewa ktk nafasi ya ukatibu mkuu wa wizara ktk namna ambayo baadhi wanaitafsiri kuwa haikuwa sahihi.
Sijui kwanini Mwendazake alipenda na Kuabudu sana Visasi, Chuki na Ubabe japo alikuwa anafululiza Kwenda ibadani Makanisani na mpaka kutuomba tuwe tunamuombea utadhani Yeye alikuwa hawezi na hajui Kusali.
 
Mwenyezi Mungu fundi sana huyu hakutenda kosa lolote zaidi ya kuonyesha ubinadamu wake wa kumjulia hali Mtanzania mwenzie kwa kulazwa ughaibuni na kumpa pole. Joseph ni mtu poa sana. Mwenyezi Mungu ashukuriwe sana 🙏🏾
Nina nadharia inayoweza kukushangaza sana juu ya hili, lakini kwa kulinda heshima kubwa ninayompa mtu wa pili katika maelezo ya nadharia hiyo, inanilazimu ni'mute', ibaki tu ni siri yangu.

Kuna miujiza mkuu, hata leo hii hutokea.
 
Niwekee kwenye pm Mkuu nisome halafu nifute.
Nina nadharia inayoweza kukushangaza sana juu ya hili, lakini kwa kulinda heshima kubwa ninayompa mtu wa pili katika maelezo ya nadharia hiyo, inanilazimu ni'mute', ibaki tu ni siri yangu.

Kuna miujiza mkuu, hata leo hii hutokea.
 
Utaratibu wa kumuondoa Makamu wa Rais ni mgumu kidogo,kama angekuwa Waziri Mkuu unapeleka jina lingine kwa spika wa Bunge wabunge wanampigia biashara yake inaingia hapo.

Rejea issue ya Lowassa au Warioba
Na kikatiba haupo utaratibu kumng'oa V.P.
 
Unayo picha?
1621130979506.jpeg
 
Acha kupotosha wewe, mheshimiwa Balozi Joseph Sokoine, aliteuliwa na Rais hayati Dr John Pombe Joseph Magufuli kuwa naibu katibu mkuu ofisi ya makamu wa Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania kutoka kuwa balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji, hapo alifanya kazi na mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan alipokuwa makamu wa Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, inawezekana ndipo alitambua uwezo wake

Kwa taarifa yako, katibu mkuu/ naibu katibu wa wizara yeyote mkuu ana hadhi kubwa kuliko balozi anayetuwakilisha kwenye taifa lolote

Kwa maana hiyo, hayati Rais Magufuli alimpa promotion kutoka kuwa balozi kwenda kuwa naibu katibu mkuu ofisi ya makamu wa Rais

Na hata alipoteuliwa kuwa naibu katibu mkuu, bado aliendelea kuwa na hadhi yake ya BALOZI

Acheni upotoshaji wa hovyo hovyo
Ngamanya Kitangalala bahati mbaya una miwani ya mbao. Huwezi kuona tunachokiona.

Mwendazake alikuwa Ibilisi, Shetani Mkuu. Wewe unaiona promotion lakini jamaa alikerwa na kitendo cha kumtembelea Lissu
 
Ngamanya Kitangalala bahati mbaya una miwani ya mbao. Huwezi kuona tunachokiona.

Mwendazake alikuwa Ibilisi, Shetani Mkuu. Wewe unaiona promotion lakini jamaa alikerwa na kitendo cha kumtembelea Lissu
Na mara nyingi shetani yule alikua akitoka mbele ya watu hujivika ngozi ya kondoo ili aonekane mwema na kuita wenzake wanyonge,bahati mbaya alisahau kua ngozi ya kondoo imeondolewa mkia,makalio yake yote yalikua wazi na ushetani wake ulionekana kupitia ngozi ya ta,ko!
 
Uzuri ni kwamba Kiongozi wa Serikali aliyemtembelea Lissu Nairobi amempa shavu kiongozi wa Serikali aliyemtembelea Lissu Belgium.

Halafu Mwendazake aliyeamuru Lissu apigwe risasi 16 amekufa na aliyepigwa risasi yuko hai. Mwacheni Mungu aitwe Mungu

Huyu Lissu huyu?? Zile risasi 17 zina myth ambayo sisi binadamu hatuijui.
Zile risasi 17 za lissu ni SADAKA( damu) watu wanashindwa tu kuelewa

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Daaah! Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje alitoka JWTZ, diplomasia na manguvu nguvu wapi na wapi, Balozi na Wana diplomasia wanakuja Wizaran wanakutana na Katibu mkuu yupo kwenye mavazi ya Kijeshi

Allah anaweza akafanya lake mkasikitika sana kumbe hilo jambo lina kheri na nyinyi na kukuepushen na mabalaa
 
Back
Top Bottom