Watavimba mpaka wapasukeKwani wazee wa Legacy wanasemaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watavimba mpaka wapasukeKwani wazee wa Legacy wanasemaje?
Eid Pili Mama kafanya jambo tenaHata Rais Samia Suluhu Hassan mwenyewe alimtembelea Tundu Nairobi hospital
Angemtumia wa2 wasiojulikana wamle 0716Angemfanya mfanya nini wakati wamepigiwa kura wote wawili na wananchi hakuna wa kumfukuza kazi mwenzake pale
Una akili za kipumbavu sanaAngemtumia wa2 wasiojulikana wamle 0716
Kumbe mpuuzi
Balozi Joseph Edward Sokoine alimtembelea Tundu Lissu Hospital Belgian baada ya tukio hili alirejeshwa nyumbani haraka.
Leo Mh Rais Mama Samia Suluhu kamteua kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki.
Pia soma> Tundu Lissu: Balozi Joseph Sokoine alirudishwa Tanzania baada ya kunitembelea Hospitali nchini Ubelgiji
Huyu ni carrier diplomat,sio kupereka watu wenye mijicho mikubwa wanaojuwa kutumbua mimacho kama Kabudi.
Balozi Joseph Edward Sokoine alimtembelea Tundu Lissu Hospital Belgian baada ya tukio hili alirejeshwa nyumbani haraka.
Leo Mh Rais Mama Samia Suluhu kamteua kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki.
Pia soma> Tundu Lissu: Balozi Joseph Sokoine alirudishwa Tanzania baada ya kunitembelea Hospitali nchini Ubelgiji
Kwakweli sasa naanza kujisikia kama Mtanzania
Uzuri ni kwamba Kiongozi wa Serikali aliyemtembelea Lissu Nairobi amempa shavu kiongozi wa Serikali aliyemtembelea Lissu Belgium.Hata Rais Samia Suluhu Hassan mwenyewe alimtembelea Tundu Nairobi hospital
Uzuri ni kwamba Kiongozi wa Serikali aliyemtembelea Lissu Nairobi amempa shavu kiongozi wa Serikali aliyemtembelea Lissu Belgium.
Halafu Mwendazake aliyeamuru Lissu apigwe risasi 16 amekufa na aliyepigwa risasi yuko hai. Mwacheni Mungu aitwe Mungu
Huyu Lissu huyu?? Zile risasi 17 zina myth ambayo sisi binadamu hatuijui.
Sokoine ana mtoto wake mmoja jina limenitoka, ila jamaa alisoma Cuba
Ila mtata sana,nashangaa hapewi teuzi
[emoji23][emoji23]
Ova
Angeweza kumuacha kwenye awamu ya pili kama ambavyo alifanya Kikwete kwa SheinUtaratibu wa kumuondoa Makamu wa Rais ni mgumu kidogo,kama angekuwa Waziri Mkuu unapeleka jina lingine kwa spika wa Bunge wabunge wanampigia biashara yake inaingia hapo.
Rejea issue ya Lowassa au Warioba
Hauendelei...sema kija mwingine mwenye matatzo ya akili kama mwenda zake tutaumizwa tena. Tubadilishe katibaNa bila Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi dhuluma na udhalimu utaendelea.
Hauendelei...sema kija mwingine mwenye matatzo ya akili kama mwenda zake tutaumizwa tena. Tubadilishe katiba
Shein hakuachwa, alipelekwa kule kuokoa muungano, yule mtata akaletwa kwenye ugombea mwenza. Ngoma ikazima.Angeweza kumuacha kwenye awamu ya pili kama ambavyo alifanya Kikwete kwa Shein